Pages - Menu

Pages - Menu

SAMPLE

Jumanne, 1 Julai 2014

Alichokisema diamond baada ya kukosa tuzo

Hii ndio kauli ya diamond baada ya davido kutwaa tuzo ya BET.Amewashuku watanzania na mashabiki wake duniani kote kwa kumsapoti hadi kufika pale alipofikia ingawa hakubahatika kupata tuzo yoyote ya kimataifa kwa  mwaka huu.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni