Ni msanii mwingine hatari ambae anachipukia kwenye game Mkasulu Junior huku akisindikizwa ngoma yake kali inayokwenda kwa jina la tulichart ambayo amefanya kwa producer makini MARO.Hofu yangu mi kuwapoteza hawa wakongwe ambao ametoka nao mkoa mmoja,mkoa ambao unatamba katika game ya muziki Tanzania si mwingine nazungumzia Kigoma.Tumpokee kwa mikono miwili wapenzi wa bongo fleva ili alete ushindani ndani ya sanaa ya muziki Tanzania.
Download ngoma yake hapo chini au kwenye link Mkasulu - tulichart ili upate kuisikiliza.
http://www.hulkshare.com/youngluvega/unknown-artist-unknown-album-01-01-track-01-01
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni