Akitumia
lugha ya mafumbo na moja kwa moja alisema hata ukiwa na fedha hata
ukiwa na uwezo wa kufoji documents jua serikali ipo tena ya Magufuli.
Akauliza
hivi wakazi milioni nne wa DSM wakiamua kuvamia na kutwaa eneo lao
utaenda wapi? Kwanini msitafute maeneo sehemu nyingine na si hili la
wanyonge wanapopumzikia?
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni