Home »
» Je Amisi Tambwe atacheza leo! Simba watoa majibu hapa
MSHAMBULIAJI wa Simba SC, Amisi
Tambwe juzi alizua hofu kwa kocha
Patrick Phiri na rais wa klabu hiyo,
Evans Aveva baada ya kuumia
mazoezi Uwanja wa Boko ,
Dar es Salaam.
Tambwe aliumia goti baada ya
kugongana na beki Abdi Banda na
kushindwa kuendelea na mazoezi hadi
akafungwa barafu baada ya kutibiwa
kwa muda na Dk Yassin Gembe.
Kocha Phiri alionekana mwenye
wasiwasi na kufuatilia kwa karibu hali
ya mchezaji huyo wakati akitoka nje. “Hakikisha anakuwa vizuri, ni
mchezaji wangu ninayemtegemea,”alisema Phiri
kumuambia Dk Gembe wakati anatoka
nje na mchezaji huyo.
Lakini sasa yakiwa yamebaki masaa kadhaa kabla ya mchezo wa Simba
dhidi ya Stand United, mshambuliaji huyo aliyekuwa mfungaji bora msimu
uliopita amethibitishwa kuwa fiti kuivaa timu hiyo ya Stand ambayo
imepanda daraja msimu huu.
Tambwe anaweza kuanza leo kwenye safu ya ushambuliaji kwa pamoja na Emannuel Okwi.
Wakati huo huo kiungo Jonas Mkude amerejea kwenye timu baada ya kuandamwa na majeruhi kwa muda kiasi.
Related Posts:
WAATHIRIWA WA MABOMU MBAGALA WALALAMIKA
Nyumba iliyoharibiwa na bomu kama inavyoonekana.
Mkutano kati ya waandishi habari na Waathirika
wa Mabomu Mbagala, ambao umefanyika katika Viwanja vya Shule ya Msingi
Mbagala Kuu ,jijini Dar-Es-Salaam mapema leo .
Waathi… Read More
MFUNGWA AKUTWA NA SIMU MWILINI
Tatizo la kuingiza bidhaa kimagendo ndani ya magereza ya Kenya imekuwa kero kubwa kwa maafisa wa magereza.
Kwa baadhi ya watu simu ya mkononi ni kifaa tu
cha mawasIliano ilihali kwa wengine ni kifa ambacho kinaweza … Read More
Alichokiandika Steve Nyerere kuhusu kujiuzulu uongozi Bongo Movie.
Kupitia
mtandao wa picha yaani Instagram aliyekuwa Rais wa Bongo Movie
Unity,Steve Nyerere leo ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo kwenye klabu
hiyo ya Bongo Movie huku akishindwa kuweka sababu iliyomfanya kujiu… Read More
WANACHAMA 100 WA BOKO HARAM WAUAWA
jeshi la Nigeria
Jeshi la Nigeria linasema kuwa limewaua zaidi
ya wanamgambo 100 wa kundi la Boko Haram kufuatia shambulizi la
wapiganaji hao siku ya ijumaa kazkazini mashariki mwa jimbo la Borno.
Vikosi
vya ser… Read More
Shearer asema Welbeck atang'ara Arsenal
Mshambuliaji wa Arsenal Danny Wellbeck kushoto
Mshambuliaji mpya wa kilabu ya Arsenal Danny
Welbeck anaweza kufunga mabao 25 kwa msimu mmoja ,hayo ni matamshi ya
aliyekuwa … Read More
0 comments:
Chapisha Maoni