Jumapili, 1 Novemba 2015

BUTIKU: WAZANZIBAR MSIKUBALI KURUDIA UCHAGUZI

Taasisi ya mwalimu Nyerere imeitaka tume ya uchaguzi ya Zanzibar ZEC kufanya kazi kwa kuzingatia katiba ya nchi na sheria na sio kutanguliza mbele maslahi binafsi ya kisiasa hatua ambayo inaweza kusababisha machafuko na umwagaji wa damu. Akizungumza na vyombo vya habari mjini Musoma, mkurugenzi mtendaji wa taasisi hiyo mzee Joseph Butiku, amesema amekerwa na tabia...

CCM Washikana 'Uchawi' Baada ya Kulipoteza Jimbo La Bunda

BAADHI ya vijana wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Bunda wamemtuhumu mwenyekiti wa chama hicho wilayani hapa, Chacha Gimanwa, kwamba alichangia jimbo la Bunda Mjini kuchukuliwa na mgombea wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) katika uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 25 mwaka huu. Vijana hao walitoa tuhuma hizo, juzi wakati wakitembea matembezi ya amani...

Matokeo ya Mtihani wa Kitaifa wa Darasa la Saba 2015 Yako Hapa

Haya  ndo  Matokeo...Bonyeza  Mkoa   husika  kuyaona ARUSHADAR ES SALAAMDODOMA IRINGAKAGERAKIGOMA KILIMANJAROLINDIMARA MBEYAMOROGOROMTWARA MWANZAPWANIRUKWA RUVUMASHINYANGASINGIDA TABORATANGAMANYARA GEITAKATAVINJOMBE SIMIYU Advertisem...

Watu Sita Wapoteza Maisha Katika Ajali ya Gari Morogoro

Watu sita wamefariki dunia baada ya gari ndogo waliokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na basi la abiria mali ya kampuni ya Princess Muro, lililokuwa likitokea Dar es salaam kuelekea Tunduma, katika eneo la hifadhi ya taifa ya Mikumi, barabara kuu ya Morogoro-Iringa. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro Leonard Paulo amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo katika eneo...

Nimeikumbuka Kauli ya DK SLAA "Chama Changu Chadema Hakiwezi Kushinda Urais Mwaka huu 2015 Kutokana na Kula Matapishi Yetu..."

DK Slaa "Chadema hakikuwa chama cha kukumbatia ufisadi na mafisadi..hakikuwa chama cha kusomba watu na magari mikutanoni...hakikuwa chama cha kuiba na kununua kura...sasa Chadema hii si ile tulioijenga.... nimeamua kustaafu siasa maana najua chama changu hakiwezi kushinda urais mwaka huu 2015 kutokana na kula matapishi yetu..." Dk Slaa: Je Slaa ni mkwel...

Mengi Azomewa Diamond Jubilee, Aokolewa na Membe

Mzee yamemkuta leo pale kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee leo.Ameokolewa na Mh Membe ambaye amemtoa kwa gari lake(pichani).Lakini pia Mwandishi Sam Maela wa ITV leo mchana kapata mshike mshike wa kushiba pale Lumumba,ilibidi aokolewa na polisi.Jamani haste haste.Kuna maisha baada ya Uchaguzi.Lile lilikuwa gemu tu.Mwacheni huyo Mzee,  SOURCE - JAMII FORU...

Bella Amfumania Kalama na Mchepuko Ambae ni Mdogo wake...Avua Pete ya Uchumba

Isabelah na Wagoni wake Tukio hilo lilijiri nyumbani kwa Bella, Makumbusho jijini Dar es Salaam baada ya kurejea ghafla kutoka safari ya kimuziki kwenye kampeni za udiwani katika Mikoa ya Iringa na Morogoro. Siku ya tukio, paparazi wetu alikuwa akipita na hamsini zake katika eneo hilo ndipo alipokutana na songombingo hilo ambapo kelele za Bella zilifika nje huku milio...