
Taasisi ya mwalimu Nyerere imeitaka tume ya uchaguzi ya Zanzibar ZEC
kufanya kazi kwa kuzingatia katiba ya nchi na sheria na sio kutanguliza
mbele maslahi binafsi ya kisiasa hatua ambayo inaweza kusababisha
machafuko na umwagaji wa damu.
Akizungumza na vyombo vya habari mjini Musoma, mkurugenzi mtendaji wa
taasisi hiyo mzee Joseph Butiku, amesema amekerwa na tabia...