Ijumaa, 17 Februari 2017

Polisi yaongea kwanini Diamond Platnumz hakufikishwa Mahakamani kama wale wa Singida

Mohamed Mpinga ni Mkuu wa kikosi cha usalama barabarani Tanzania na amekubali kukaa kwenye Interview na Ayo kujibu baada ya watu ku-comment kwenye mitandao ya kijamii baada ya kuona Diamond amepost picha akiwa na Kamanda na hakupelekwa Mahakamani.
Kamanda Mpinga ameeleza kwanini Mwimbaji Diamond Platnumz hakupelekwa Mahakamani baada ya video yake kusambaa akiendesha gari huku akiimba na kucheza wakati kuna wale wa Singida walipelekwa mpaka Mahakamani kwa kosa hilohilo……

Ulimi Kisimini-Siri Ya Mwanamke Kufika Kileleni.

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa tendo) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea.
Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 3 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo la ndoa.
Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/tendo la ndoa (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Mwanaume hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi anaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja.
Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine wasijue hata utamu huo ukoje (well ule wa kipele ni tofauti kabisa na ule wa kisimi) lakini sio mbaya kama utapata hata huo wa juu kwa juu ambao ni wa kisimini.
Sehemu pekee ambayo itakufanya wewe mwanamke ufike kileleni kwa haraka ni kwa kufanyiwa kazi kwenye kisimi chako. Kuna wanaume ambao ni “wajanja” na hawaoni tabu kutumia ndimi zao kuwaridhisha wapenzi wao, wengine hutumia vidole na wengi hutumia uume wao.

Ndugu zangu!
Lakini ngoja nikuambie, fanya yote lakini kama unaweza kutumia ulimi ni mwisho wa mambo ikiwa ulimi huo utachezea kisimi katka mitindo ya a-z, mzunguuko, #8, pembe 2 pembe. Sio wajilambia kama “ice cream”, anatakiwa kutumia ncha ya ulimi kulamba na midomo ya nje + ulimi kukinyonya kisimi.

Issue ya Masogange Kushikiliwa na Polisi ka Kuhusika na Madawa ya Kulevya, Uwoya Amlipua Wema...!!

Lile sakata la masogange kuwekwa ndani kwa shutuma za madawa ya kulevya, limeingia ukurasa mpya baada ya hivi karibuni rafiki wa masogange ambaye pia ni staa wa filamu aitwaye Irene uwoya, kumjia juu wema sepetu baada ya kumtaja masogange kuwa mi miongoni mwa ma staa wanaotumia na kuuza madawa ya kulevya, staa hyo alitumia tafsida kufikisha ujumbe kwa wema sepetu kuwa alichokifanya sio ustaarabu ,alimtaka staa hyo kujifunza kutatua matatizo yake bila kumshirikisha mtu. 
Wema na uwoya ni mastaa ambao inasadikiwa wako kwenye bifu la chini kwa chini kwa muda mrefu, uenda sakata hili linaweza kuibua ugomvi mkubwa kwa mastaa hao wawili wenye mvuto wa aina yake

Uwoya ni Gusa Unate..!!!!

Msanii maarufu wa filamu Bongo, Irene Uwoya (pichani)  anatajwa kuwa kati ya mastaa wa kike Bongo aliyewahi kutoka na mastaa na vigogo mbalimbali huku ikidaiwa kuwa, kila aliyekuwa naye alimuacha yeye na si kuachwa. Kwa mujibu wa rafiki wa karibu wa Uwoya aliyeomba hifadhi ya jila lake, staa huyo mwenye shepu na mvuto wa kudatisha kimahaba amekuwa akipapatikiwa sana na wan aume lakini mwisho wa siku huishia kuwaliza kwani yeye ndiye anayeamua kuendelea na wewe au akuache.
“Uwoya namjua vizuri sana, yule ni hatari kwa wanaume. Kwanza anajijua kuwa ni mzuri hivyo amekuwa akiwadenguliwa wanaume wengi sana na orodha ya wanaomtokea kila siku ni kubwa.
“Lakini akitokea kukupenda atakupenda kweli hadi unaweza kuona kero. Kwa kifupi anajua kupenda, kujali na kubembeleza kiasi kwamba ukinasa kwake ni vigumu kutoka ndiyo maana wapo wanaosema kwamba, Uwoya ni gusa unate!
“Ila sasa, anaweza kukuchanganya kwa mahaba mazito lakini siku akiamua kukuacha, anakuacha na si mtu anayependa sana kudumu na mwanaume mmoja kwa muda mrefu, fuatilia utagundua hili.

UWOYA ALIWAHI KUKIRI HILO
Katika moja ya mazungumzo na mwandishi wetu, staa huyo aliwahi kukiri kuwa, hapendi kugandwa sana na mwanaume mmoja kwa muda mrefu. “Yaani mimi kukaa muda mrefu na mwanaume sipendagi kabisa na sina mzuka huo. Ndiyo maana mtu nikiamua kumbwaga anahaha na wengine watabembeleza weee lakini wala sina tabia ya kurudi nyuma, kwa kifupi sipendi kudumu na mpenzi,” aliwahi kusema Uwoya.
KUMBUKUMBU ZINAONGEA
Hata hivyo, kumbukumbu zinaonesha kuwa, wanaume wengi waliowahi kutoka na staa huyo ukiacha mumewe, Hamad Ndikumana ambaye alionekana kufa na kuoza kwake kiasi kwamba hakukubali kirahisi kuachwa, wengi wao walioonja penzi lake ilikuwa vigumu kutoka hadi walipoachwa.
UWOYA ANASEMAJE?
Kufuatia ripoti hiyo, mwandishi wetu alimtafuta Uwoya ili kuzungumzia siri ya kugandwa na wanaume hadi kufikia hatua ya kuitwa gusa unate ambapo alikuwa na haya ya kusema: “Kwanza ujue mimi ni mwanamke ambaye sipapatikii mwanaume, anayetokea na kuonesha kunipenda, nikazungumza na moyo wangu ukakubali kumpa nafasi, namkubalia lakini ujue siku moyo wangu ukisema basi, hakuna mjadala, nakuacha. “Lakini lingine ni kwamba, moja ya sifa ya mwanamke ni kujua kumshika mwanaume, kwamba akiwa na wewe ujue kumfanya asifikirie kukuacha, ufanye kila unaloweza anase kwako, kwa hiyo utundu na ubunifu ndiyo siri yangu.”
HISTORIA YAKE!
Uwoya katika maisha yake ya kimapenzi amewahi kutoka kwa siri na vigogo pamoja na mastaa mbalimbali akiwemo pedeshee mmoja aliyekuwa akifahamika kwa jina la Ababuu, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Hamis Baba ‘H-Baba’, Jovann Msami na wengineo.

Baada ya Kumuita Nyani, Iyobo Amvaa Tena Harmorapa...!!!!

KIONGOZI wa madansa ambaye ni dansa tegemezi wa Wasafi Classic Baby (WCB) Mose Iyobo amefunguka kuwa yeye hana imani na Harmorapa na anashangaa anavyotajwa kila mahali kwani yeye hajawahi kusikia kazi yake yoyote hivyo hajui uwezo wake kimuziki.
Iyobo aliendelea kwa kutoa povu kuwa yeye anamchukulia Harmorapa kama mtu aliyekurupuka kwenye muziki na hajui ni nini anachotakiwa kufanya.
Kupitia eNewz ya EATV Iyobo alifunguka hayo huku akikazia kuwa muziki si jambo la mchezo mchezo bali unahitaji kujipanga.
“Mimi ni mtu ambaye nipo kwenye muziki muda mrefu, kila siku nyimbo mpya zinapotoka ziwe za watu maarufu hata wasio maarufu nazisikia lakini mimi sijawahi kusikia kazi yoyote ya Harmorapa, kwa hiyo sina cha kumshauri ila hiyo kazi anayofanya inahitaji mtu makini, anayekwenda na wakati na siyo kukurupuka tu na kufanya ghafla sababu hiyo kazi ina pesa nyingi na inatia umasikini kwa haraka sana kama hufanyi vile inavyotakiwa,” alisema Mose Iyobo

MSUMBIJI: Mwanamke wa Kitanzania Abakwa Mpaka Kufa. Serikali Imefungwa Pasta?

Jamani, Hii inasikitisha sana tangu kuanza kusikika kwa sakata la watanzania kufurushwa uko msumbiji mengi yametokea lakini serikali yetu inaonesha kuwakandamiza watanzania kuwaonesha hawakuwa wakiish kihalali kabisa.
Okay Yote sawa mtu kwao lakini serikali ya msumbiji inafata utaratbu kuwarudsha watanzania?
Je, sisi huwa tunavunja sheria kuwarudsha kistarabu??
Maofisa wa msumbiji wamekuwa wakifanya vitendo vya kikatili ikiwemo kuwapora mali zao, pesa, na hati za kusafiria.
Sikuridhika nliamua kufunga safari kwenda mtwara kuonana na wahanga.
Katika yote kilichoniumiza nlipofanya mahojiano na mwanamke ambaye rafiki yake kutoka Morogoro alokuwa akiishi Msumbiji kubakwa na maofisa wa Msumbiji mpaka kufa akiwa anawahishwa hospital huko Msumbiji.
Tukio hilo liltokea usiku maofisa hao walivamia nyumba ya huyo mdada kisha kumbaka kwa zamu hatimaye akawa na hali mbaya hadi anakuja kupata msaada kupelekwa hospitali hali yake ilikuwa mbaya sana na kufariki dunia
Je, serikali hawajui haya? Mbona hawazungumzii lolote?
Kwanini wanaishia kuwakandamiza watanzania na kuwaonesha dunia watanzania wale hawakufata sheria?
Nimeweza kuona vibali vya wengine walofankiwa kurudi navyo vibali vya kuishi na kufanyia kazi lakini bado wamewafurusha.
Kama sheria hao wote wamevunja sheria za ukaazi?
Yupo mwingine ambaye alikuwa akiishi na mkewe na mtoto na mkewe ni mjamzito lakini alipohitaji kurudi na mkewe Tanzania maofisa wa Msumbiji walimkatalia.Je, sheria ipi inayoruhusu hayo??
Mbona wao wanarudishwa na familia zao ikiwa wamekuja nazo?
Serikali ya Tz inawaogopa Msumbiji kutetea Raia wao?
Rais wa Msumbiji, Filipe Nyusi alizaliwa Tanzania na kusoma Tunduru na kupata mafunzo ya kijeshi hapa Tanzania.
Lakini watu hawa ambao wamesaidiwa na Tanzania wameshindwa kuagiza vikosi vyao wawarudishe kistarabu na kufata utaratbu bila kuvunja sheria?
Vipi wawafukuze kama Mbwa? Wamewafunga mahabusu bila kuwapa chakula siku tatu.
Wakawapakiza kwenye malori bila ya chakula wala mali zao.
Inasikitisha Mtanzania mwenzetu anabakwa mpaka kufa serikali haina inalosema?
Sisi mbona hawathamini watanzania na kuwaonesha dunai raia wa Kitanzania wana makosa?
Hakuna ofisa wa Msumbiji alochukuliwa sheria mpaka sasa kwa mujibu wa chanzo cha uhakika ndani ya Msumbiji.
Ofisa mmoja ambaye mama yake ni mtanzania na baba yake ni Msumbiji ameambia chanzo chetu kawaida na maofisa wa Msumbiji hufanya vitendo vya kikatili kwa wageni.
Ameongeza na kusema kuwa tatizo mabalozi wa Tanzania pia sio wakali kutetea raia wao bali kuwakandamiza.
Anazidi kusema kuwa anaumia sana kuona watanzania wenzake kwa wanayofanyiwa lakini hana mamlaka ya kuweza kuzuia.
Amethibitisha pia kuwa ni kweli mwanamke huyo wa kitanzania alibakwa na maofisa wa Msumbiji wapatao sita hadi saba kwa uchunguzi wake.
Jamani tuungane tusaidie wenzetu lazima tujifunze kupendana serikali inahisi hawa watu sijui manyani sijui sio raia wao nashindwa kuelewa.

Taarifa ya Kikao cha Kamati Ndogo ya Kamati Kuu cha Dharura cha CHADEMA...!!!


CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI JUU YA MAAZIMIO YA KIKAO CHA KAMATI NDOGO YA KAMATI KUU
1.0 UTANGULIZI

Kikao cha Kamati Ndogo ya Kamati Kuu cha dharura kilichoketi tarehe 14 Februari, 2017 Jijini Dar es Salaam katika Hoteli ya Bahari Beach kilipata nafasi ya kujadiliana kwa kina kuhusu matukio mbalimbali yanayoeendelea hapa nchini ikiwa ni pamoja na kutolewa kwa kauli mbalimbali na viongozi wa kiserikali na ambazo zimeendelea kuuthibitishia umma wa watanzania kuwa nchi yetu haiendeshwi kwa misingi ya kuzingatia Katiba, Sheria na Kanuni tulizojiwekea kama Taifa .
Aidha Kamati hiyo ilipata muda wa kutafakari kwa kina zaidi juu ya Operesheni UKUTA ambayo tumeendelea kufanikiwa katika kuitekeleza kwa vitendo na pia watanzania wengi zaidi sasa wameona umuhimu wa kuendelea na Operesheni UKUTA kwani Taifa linaelekea kwenye kutumbukia kwenye utawala wa kutokufuata Katiba na Sheria za Nchi (Udikteta kamili).
Mwalimu Nyerere Julai 19, 1967 alisema hivi kuhusu udikteta “Udikteta ni serikali ya mtu mmoja au kikundi cha watu wachache na wao ndiyo huwa sheria.Anayepinga watakayo,basi huonyeshwa cha mtema kuni”
Kamati hiyo imejiridhisha bila shaka kuwa sasa Chama chetu kinawindwa na watawala pamoja na Rais Mwenyewe na hii ni katika kuelekea kufikia lengo la Rais alilolitangaza alipokuwa Singida mwezi Juni ,2016 ya kuhakikisha kuwa upinzani unakufa ,ifikapo au kabla ya mwaka 2020.
Aidha Kamati hiyo imejiridhisha bila shaka ya kuwa sasa zinatengenezwa chuki za makusudi baina ya vyombo vya dola na wananchi . Hii inatokana na ukweli kuwa Amiri Jeshi Mkuu alisikika akiagiza Polisi wawe na utaratibu unaofanana na Jeshi la Wananchi. Hii ina maana kwamba Polisi lisiwe tena ni jeshi la kulinda wananchi na mali zao bali ni jeshi la kuilinda serikali .
Tumeshaona tayari Polisi wamepiga marufuku (Tamko la Advera –msemaji wa jeshi la Polisi) wananchi kwenda kuwatembelea ndugu , jamaa na marafiki wanapokuwa katika vituo vya polisi bila hata kutaja kifungu cha sheria kinachowapa mamlaka hayo.
2.0 KAMATAKAMATA NA FUNGAFUNGA YA WAPINZANI
Mara baada ya Uchaguzi Mkuu wa 2015 viongozi na wanachama wa CHADEMA wamekuwa wakikamatwa na kushtakiwa kwa makosa ya kubambikiziwa kwa kisingizio cha uchochezi na mpaka sasa kuna jumla ya wanachama na viongozi 215 ambao wamefunguliwa kesi zaidi ya 78 katika nchi nzima .Wengi wao wamenyimwa dhamana bila sababu za msingi . Na wale ambao walipatikana na hatia walipewa adhabu za vifungo bila ya kupewa fursa ya faini.
Hivi sasa umekuwa ni mtindo kwa mahakama kuwakatalia dhamana wanachama wa CHADEMA bila ya sababu za msingi.Pia imekuwa ni mtindo kuwahukumu vifungo bila kuwapa fursa ya kulipa faini.
Tumeamua na tunandaa orodha kamili itakayoainisha kesi zote za jinai ambazo ziko mahakamani na kuonyesha aina ya mashtaka na vifungo vilivyotolewa ambayo itawekwa wazi kwa vyombo vya habari na taasisi za ndani na nje ya nchi kuthibitisha kuwa kuna mpango wa kuwafunga viongozi wa upinzani kwa kusudi ili kuudhoofisha upinzani.
3.0 VITUKO VYA MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM KUTANGAZA MAJINA YA WATU HADHARANI KUWA WANAHUSIKA NA DAWA ZA KULEVYA
Chama kinaunga mkono jitihada za dhati za kupambana na madawa ya kulevya nchini, kama sheria na taratibu tulizojiwekea zitafuatwa kikamilifu wakati wa mapambano hayo.
Kamati kuu inalaani kwa nguvu zote kitendo cha Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam (Paul Makonda) kutangaza majina ya watu mbele ya vyombo vya habari na kuwatuhumu kuwa ama wanahusika katika kusambaza, kuuza au kutumia madawa ya kulevya kwa lengo la kuwachafulia majina, kuwadhalilisha,kuwafedhehesha na kuwaondolea heshima yao kwa umma .Tunalaani kitendo hiki kwa sababu zifuatazo:
i. Mkuu wa Mkoa amekiuka masharti ya Katiba ibara ya 13(6) (b) na (e) ambavyo vinaweka bayana kuwa mtu hatachukuliwa kuwa ametenda kosa la jinai mpaka itakapothibitika kuwa anayo hatia ya kosa hilo na kuwa ni marufuku kwa mtu kuteswa ,kuathibiwa kinyama au kupewa adhabu zinazomtweza au kumdhalilisha
ii. Mkuu wa Mkoa amekiuka kifungu cha 54 cha Sheria ya Mwenendo wa Mashtaka ya Jinai
iii. Mkuu wa Mkoa hana mamlaka kwa mujibu wa sheria iliyotungwa na Bunge inayompa kazi na majukumu yake yaani ‘sheria ya Tawala za Mikoa ya 1997’ kuwa ana wajibu wa kutaja majina ya watu anaowatuhumu kuhusika na madawa ya kulevya .
iv. Mkuu wa Mkoa alikiuka ‘sheria ya Kuthibiti na kupambana na dawa za Kulevya,2015’ ambayo haimpi mamlaka ya kutangaza na au kuwataka watu ambao yeye anawatuhumu kujihusisha na usambazaji, uuzaji na au utumiaji wa dawa za kulevya kufika katika vituo vya Polisi .
v. Mkuu wa Mkoa alienda kinyume kabisa na mila na desturi za Kitanzania ,kuwachafulia watu majina na kuwadhalilisha mbele ya jamii huku akijua kuwa hawezi kuwasafisha na wengine ni viongozi wa dini ambao wanaaminiwa na waumini wao .
4.0 HATUA 
a. Kamati hiyo inaunga mkono hatua ya Mwenyekiti wetu Taifa Mhe.Freeman Mbowe (MB) ya kumfungulia kesi ya Kikatiba na ya Madai Paulo Makonda katika Mahakama Kuu ya Tanzania na itaungana naye katika kesi hiyo kwa kumpatia mawakili wa Chama .
b. Aidha inatoa wito kwa wale wengine wote ambao walitajwa na wanaamini kuwa walionewa,kuchafuliwa majina na au kudhalilishwa wafungue mashauri mahakamani , kwani hii ndio njia pekee ya kuzuia wengine wasifanyiwe uonevu kama huu siku zijazo.
c. Kamati hiyo inawapongeza kwa dhati kabisa wabunge wote wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kukubaliana, kuungana na kuweka itikadi za vyama vyao pembeni wakati wa mjadala wa kulinda hadhi na madaraka ya Bunge. Inatoa rai kuwa waendeleze moyo huohuo kwa siku zijazo kwa maslahi mapana ya Taifa letu.
5.0 HITIMISHO.
Kamati hiyo inatoa wito ufuatao kwa viongozi, asasi za Serikali, wananchi wazalendo na wanachama wa CHADEMA, kufanya mambo yafuatayo;
1. Viongozi wana wajibu wa kuitetea , kuilinda na kuitekeleza Katiba ya Jamhuri ya Muungano na Sheria za Nchi. Mwalimu Nyerere aliwahi kutuasa kuwa Rais asiyeweza kuilinda,kuitetea na kuihifadhi Katiba hatufai.
2. Mahakama Itekeleze wajibu wake kwa weledi uliotukuka kuhakikisha kuwa haki sio tu inatendeka bali inaonekana kutendeka bila ya vitisho kwake kutoka kwa mtu yeyote.Iige mfano wa uhuru wa mahakama na weledi wa Majaji wa Afrika ya Kusini, Zimbabwe na Marekani ambao waliweza kutengua amri batili zilizotolewa na Marais wa nchi zao.
3. Polisi na Jeshi la Wananchi wa Tanzania watekeleze majukumu yao kwa weledi kwa mujibu wa sheria na taratibu zilizowekwa.Wasikubali kuwaonea watu kwa misingi ya Vyama ,Itikadi au misimamo yao.Polisi Wajibu wao Kisheria ni kulinda usalama wa raia na mali zao , Jeshi la Wananchi wa Tanzania wajibu wao Kikatiba ni kulinda mipaka ya Nchi.
4. Mawakili wana wajibu mkubwa kuisaidia mahakama kutekeleza majukumu yake kwa weledi kuhakikisha haki inatendeka bila woga ,vitisho au vishawishi .Wasikubali kutishwa na mtu au asasi yeyote katika kuitetea ,kuilinda na kuitekeleza Katiba na Sheria za Nchi.
5. Wasomi na wanataaluma wana wajibu wa kutambua na kuitikia mwito wao wa kutetea ukweli na kulinda haki za jamii hata kama kwa kufanya hivyo kutaathiri maslahi yao binafsi
6. Wanachama tuendelee kudai demokrasia kwa nguvu zote bila woga kwa mujibu wa Katiba na sheria za Nchi.Tushikamane kukikuza Chama kuanzia ngazi ya Misingi hadi Taifa kuendelea na Operesheni UKUTA .
7. Wananchi nchi hii ni yetu sote ni lazima tufaidike nayo kwa mujibu wa Katiba na Sheria za nchi bila vitisho .Tuungane kudai demokrasia na uhuru wa kweli wa kisiasa na kiuchumi. Wasikubali kuyumbishwa na mbinu ovu kama hizi ambazo zimelenga kutupotezea lengo la kuhoji masuala ya msingi kama ufaulu hafifu wa matokeo ya Kidato cha nne Mkoa wa Dar Es Salaam, hali ya chakula nchini (njaa),zilipo milioni 50 za kila kijiji zilizoahidiwa , upatikanaji wa Tume huru ya Uchaguzi,Katiba Mpya na hali mbaya ya kiuchumi kwa wananchi .
Mwisho Kamati Ndogo ya Kamati Kuu inawashukuru watanzania wote kwa kuendelea kuunga mkono jitihada za kupambana na udikteta nchini na inawaomba waendelee kuwakumbuka kwa sala/dua viongozi mbalimbali wa Chama waliopo kwenye mateso ya kesi, mahabusu na wengine wanatumikia vifungo kutokana na kuonewa na watawala.​




……………………

Prof. Abdalah Jumbe Safari

Makamu Mwenyekiti Taifa –Bara

16 Februari, 2017

Yaliyojiri Mahakamani Kisutu Kesi ya Masogange..!!!!

KIMUHEMUHE kilitanda kwenye viunga vya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo  Feb 17, 2017, kufuatia ndugu, jamaa na marafiki wa model, Agness Masogange kufurika huku wakitarajia kumuona ndugu yao huyo akifikishwa mahakamani hapo .
Ndugu hao waliwasili Kisutu mapema asubuhi na kuweka kambi mahakami ili kusikiliza kesi ya masogange anayehusishwa na tuhuma za matumizi ya dawa za kuleya.
Licha ya Masogange kutokufikishwa mahakamani hapo kwa kile kinachodaiwa kuwa majibu ya Mkemia Mkuu wa Serikali kuhusu kipimo endapo mwanadada huyo anatumia madawa ya kulevya, kilikuwa hakijatoka lakini mpaka ilipotimu majira ya saa 9:00 mchana, ndugu hao walikuwa hawajakata tamaa. Baada ya kuona hakuna dalili zozote kwa ndugu yao kuletwa mahakamani hapo huku muda wa mahakama wa saa 9:30 ukiisha, ndipo ndugu hao waliamua kuondoka kwa unyonge eneo la Kisutu.
Taarifa iliyotolewa jana na Kamnada wa Polisi Kanda Maalum ya Dar, Kamishna Somon Sirro ilieleza kuwa, Masogange na wenzake 17, wanashikiliwa na jeshi hilo kwa tuhuma za kuhusika na matumizi ya dawa za kulevya, na kwamba jana walipelekwa kwa Mkemia Mkuu wa Serkali kwa ajili ya vipimo na endapo ikibainika wanatumia madawa ya kulevya, leo Ijumaa au Jumatatu ijayo watafikishwa mahakamani kujibu tuhuma zinazowakabili.