Mwanajeshi wa Umoja wa Matifa mali
Ujumbe wa Umoja wa mataifa nchini
Mali unasema kuwa watu waliokuwa na silaha ambao walikuwa wakitumia
pikipiki wamewaua walinda amani tisa wa Umoja wa Mataifa kaskazini
mashariki mwa taifa hilo.
Uvamizi huo ndio mbaya zaidi kuwai kuwakumba wanajeshi hao wa Umoja wa Mataifa
Wanajeshi hao kutoka nchini Niger walikuwa wakisafiri...
Jumamosi, 4 Oktoba 2014
Mtoto wa kizazi cha 'msaada' azaliwa
Womb Transplant baby
Mwanamke mmoja nchini Sweden amejifungua mtoto kutokana na kizazi alichowekewa kupitia upasuaji.
Mwanamke
huyo mwenye umri wa miaka 36 alizaliwa bila kizazi kabla ya kuwekewa
kizazi cha mwanamke aliyekuwa katika miaka yake ya sitini.
Jarida
la afya la Uingereza ,the Lancet linasema kuwa mtoto huyo alizaliwa
kabla ya mda wake kufika mnamo...
Je Amisi Tambwe atacheza leo! Simba watoa majibu hapa
MSHAMBULIAJI wa Simba SC, Amisi
Tambwe juzi alizua hofu kwa kocha
Patrick Phiri na rais wa klabu hiyo,
Evans Aveva baada ya kuumia
mazoezi Uwanja wa Boko ,
Dar es Salaam.
Tambwe aliumia goti baada ya
kugongana na beki Abdi Banda na
kushindwa kuendelea na mazoezi hadi
akafungwa barafu baada ya kutibiwa
kwa muda na Dk Yassin Gembe.
Kocha Phiri alionekana mwenye
wasiwasi na...