Jumamosi, 4 Oktoba 2014

Wanajeshi 9 wa Umoja wa Mataifa wauawa

  Mwanajeshi wa Umoja wa Matifa mali  Ujumbe wa Umoja wa mataifa nchini Mali unasema kuwa watu waliokuwa na silaha ambao walikuwa wakitumia pikipiki wamewaua walinda amani tisa wa Umoja wa Mataifa kaskazini mashariki mwa taifa hilo. Uvamizi huo ndio mbaya zaidi kuwai kuwakumba wanajeshi hao wa Umoja wa Mataifa Wanajeshi hao kutoka nchini Niger walikuwa wakisafiri...

Mtoto wa kizazi cha 'msaada' azaliwa

  Womb Transplant baby  Mwanamke mmoja nchini Sweden amejifungua mtoto kutokana na kizazi alichowekewa kupitia upasuaji. Mwanamke huyo mwenye umri wa miaka 36 alizaliwa bila kizazi kabla ya kuwekewa kizazi cha mwanamke aliyekuwa katika miaka yake ya sitini. Jarida la afya la Uingereza ,the Lancet linasema kuwa mtoto huyo alizaliwa kabla ya mda wake kufika mnamo...

Je Amisi Tambwe atacheza leo! Simba watoa majibu hapa

MSHAMBULIAJI wa Simba SC, Amisi Tambwe juzi alizua hofu kwa kocha Patrick Phiri na rais wa klabu hiyo, Evans Aveva baada ya kuumia mazoezi Uwanja wa Boko , Dar es Salaam. Tambwe aliumia goti baada ya kugongana na beki Abdi Banda na kushindwa kuendelea na mazoezi hadi akafungwa barafu baada ya kutibiwa kwa muda na Dk Yassin Gembe. Kocha Phiri alionekana mwenye wasiwasi na...