
Naibu Waziri Wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto, Dkt.
Hamis Kigwangalla amesema kuwa atawaweka hadharani wanaume wote
wanaojihusisha na mapenzi ya jinsi moja (mashoga) ambao hufanya biashara
hiyo kupitia mitandao ya kijamii.
Naibu Waziri aliyasema hao jana usiku kupitia ukurasa wake wa Twitter
ambapo alieleza kuwa yupo katika ziara jimboni kwake na...