Alhamisi, 15 Septemba 2016

MAGAZETI YA TANZANIA SEPTEMBER 16, 2016 KUANZIA, UDAKU, HARDNEWS NA MICHEZO

.

September 16 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook, twitter na instagram @millardayo ili niwe nakutumia kila kinachonifikia.
20160916_050558
20160916_050607
20160916_050616
20160916_050624
20160916_050633
20160916_050642
20160916_050650
20160916_050658
20160916_050708
20160916_050717
20160916_050726
20160916_050733
20160916_050756
20160916_050808
20160916_050816
20160916_050823
20160916_050833
20160916_050840
20160916_050848
20160916_050855
20160916_050903
20160916_050909
20160916_050917
20160916_050924
20160916_050938
20160916_050944
20160916_050954
20160916_051002
20160916_051010
20160916_051016
20160916_051031
20160916_051037
20160916_051111
20160916_051119
20160916_051141

20160916_051147
Source:millad ayo

FEYENOORD KAVUNJA REKODI YA MAN UNITED KATIKA HISTORIA


Bado mashabiki wa Man United wanashangazwa na maamuzi ya kocha Jose Mourinho kumuacha nahodha wao Wayne Rooney jijini Manchester na kusafiri hadi Uholanzi kucheza mchezo wao wa kwanza wa Kundi A dhidi ya Feyenoord, huo ni mchezo ambao umechezwa katika dimba la Stadion Feijenoord.
3867052900000578-3791550-image-a-74_1473964112533
Kabla ya dakika 90 za mchezo huo kumalizika kwa Man United kuondoka vichwa chini kwa kukubali kipigo cha goli 1-0 lililofungwa na Tonny Vilhena dakika ya 79, takwimu ilikuwa inaonesha mara ya mwisho Novemba 5 1997 Man United alicheza katika uwanja huo na kuondoka na ushindi wa goli 3-1.
38668c6b00000578-0-image-a-37_1473960278617
Rekodi dhidi ya Feyenoord haikuisaidia Man United na badala yake wameondoka na huzuni kwa kuvunjwa rekodi yao ya kufungwa mechi nne za Europa League mfululizo ugenini katika historia , Man United sasa watashuka dimbani Septemba 29 Old Traffordkucheza dhidi ya Zorya ya Ukraine katika mchezo wao wa pili
.

DAKIKA 10 ZILIZOBADILI FURAHA YA KRC GENK YA SAMATTA EUROPA LEAGUE


Usiku wa Alhamisi ya Septemba 15 2016 ilikuwa siku ambayo macho ya watanzania wengi waliyaelekeza Australia kumuangalia nahodha wao wa timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars Mbwana Samatta akiandika historia mpya katika maisha yake ya soka kwa kucheza mchezo wake wa kwanza wa hatua ya makundi ya Europa League akiwa naKRC Genk.
0025-1
Samatta ambaye alicheza kwa dakika 77 kabla ya kocha wake Peter Maes kumtoa na kumuingiza mgiriki Nokolaos Karelis, alitolewa wakati ambao timu yake ipo nyuma kwa goli 3-1 kabla ya dakika ya 90 mjamaica Leon Bailey kufunga goli la pili kwa mkwaju wa penati na kuufanya mchezo umalizike kwa sare ya goli 3-2.
67
Kipindi cha kwanza licha ya Genk kuzidiwa hali ya umiliki wa mpira kwa asilimia 53 kwa 47 walienda mapumziko wakiwa mbele kwa goli moja lililofungwa na Leon Bailey ikiwa ni assist safi iliyotoka kwa Pozuelo alipewa mpira na Samatta, hali ilibadilika kuanzia dakika ya 51 hadi 60 Genk waliporuhusu kufungwa goli 3 ndani ya dakika 10.
Magoli ya Rapid Wien yalifungwa na Stefan Schwab dakika ya 51, Joelinton Cassiodakika ya 59 na nyota wa Genk aliyejifunga baada ya kumrudishia mpira kipa wakeMarco Bizot na kuukosa dakika ya 60, KRC Genk watacheza mchezo wao wa pili waEuropa League Septemba 29 wakiwa nyumbani dhidi ya klabu ya Sassuolo Calcio yaItalia.

GOLI LA RONALD0 DHIDI YA SPORING CP LIMEVUNJA REKODI ZA UEFA


Baada ya michezo nane kuchezwa usiku wa Septemba 13 2016, Jumanne ya septemba 14 michezo 9 ya hatua ya makundi ya michuano ya klabu Bingwa barani Ulaya ilichezwa barani Ulaya, miongoni mwa michezo iliyochezwa usiku wa Septemba 14 ni pamoja na mchezo wa Real Madrid dhidi ya Sporting CP.
Sporting CP ni klabu ilimyolea Cristiano Ronaldo kutokea academy yao, hata hivyo hiyo haikuwa mechi rahisi kwa Real Madrid kwani walifanikiwa kuibuka na ushindi wa goli 2-1 ila walilazimika kusubiri hadi dakika ya 90 kujihakikishia ushindi huo kupitia goli la kichwa la Alvaro Morata ikiwa ni dakika moja imepita toka Ronaldo asawazishe goli.
3
Goli la Sporting CP lilifungwa dakika ya 47 na Bruno Cesar lakini mchezo huo ulimalizika kwa Cristiano Ronaldo kuondoka uwanjani akiwa kavunja rekodi ya mkongweDel Piero, kufuatia goli la faulo alilofunga Ronaldo anakuwa kafunga jumla ya magoli 12 ya faulo katika UEFA na kuvunja rekodi ya Del Piero aliyekuwa kafunga goli 11 kwa faulo.
4
Matokeo ya mechi za UEFA zilizochezwa Septemba 14 201
6

SIASA WALICHOKIONGEA CUF KUHUSU KUWAVUA UANACHAMA WANACHAMA WAKE AKIWEMO PROF LIPUMBA


Baada ya headline za Chama cha wananchi CUF  kuwavua uanachama baadhi ya wanachama wake akiwemo aliyewahi kuwa mwenyekiti wake Profesa Ibrahim Lipumba JANA September 15 2016 kamati ya uongozi taifa imekutana na waandishi wa habari Dodoma na kuzungumzia hatma ya chama hicho ikiwa ni pamoja na kumtaka msajili wa vyama vya siasa asitumike kukiyumbisha chama hicho.