
Nabii Olivia kutoka kanisa la Repohim Ministry Sinza jijini Dar es salaam amefunguka kwa mara ya kwanza kuzungumzia clip ya video ambayo ilisambaa mtandaoni wiki hii ikimuonesha akimuamuru muumini kupiga kelele kwa nguvu wakati anamuombea hali iliyoleta taharuki mtandaoni.
0 comments:
Chapisha Maoni