Nashangaa kuona wasanii wote wanaimba key moja mwisho wa siku
haitambuliki huyu ni nani sababu wanaigana kama wataendelea hivi
watachokwa hakuna anayetaka kubadika.
Baada yakuja huyo Lava Lava nikazani anakuja na key tofauti kumbe yale
yale leo katoa nyimbo mpya inaitwa teja anaimba kama Diamond au
harmonize.
Game ya mziki kwa sasa imepoa sana wasanii wajaribu kuja na style mpya kila siku kuimba kwa mazoea ni kero tu kwa wasikilizaji.
Pia wajaribu kutoa na Producers tofauti , midundo ya Laizer tumeshaichoka
Ijumaa, 16 Juni 2017
Home »
» WCB Wabadilike Uimbaji
WCB Wabadilike Uimbaji
Related Posts:
RAIS DKT MAGUFULI ATEUA MABALOZI SITA KUWAKILISHA TANZANIA NCHI MBALIMBALI … Read More
Tundu Lissu Abaini Mbinu Chafu kwa Chama Fulani Kuweka Mgombea Urais TLS..!!! Mwanasheria Mkuu wa Chadema na mbunge wa Singida Mashariki kupitia chama hicho, Tundu Lissu amezungumzia hatua yake ya kujitosa kuwania urais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS). Mosi, Lissu amesema amep… Read More
Jaji Chande Apewa Kazi Umoja wa Mataifa..!! Jaji Mkuu mstaafu Othman Chande ameteuliwa kuongoza jopo la wataalamu watakaochunguza mazingira yaliyosababisha ajali ya ndege iliyomuua aliyekuwa katibu mkuu wa umoja huo, Dag Hammarskjold. Uteuzi huo wa jaji mkuu … Read More
Vita Dhidi ya Madawa ya Kulevya..Wanawake Wawili Wadakwa na Kilo 114 za Bangi..!! Wanawake wawili ni miongoni mwa watu zaidi ya 15 waliokamatwa kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya mkoani Mwanza Watu hao wamekamatwa wakijihusisha nadawa hizo ndani ya wiki moja kuanzia Febuari 6. Habar… Read More
Gambia bado kwa moto, Adama Barrow kaapishiwa Urais akiwa nje ya nchiAdama Barrow ambaye ni mwanasiasa wa upinzani ambaye inaaminika ndie mshindi wa uchaguzi wa Urais Gambia ameapishwa kuwa Rais wa Gambia japokua uapisho wake umefanyika nje ya taifa hilo. Uapisho umefanyika Senegal kwenye ubal… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni