Watu kumi walikanyagwa na gari lililokuwa
linakwenda kwa mwendo wa kasi walipokuwa wanajaribu kujipatia angalau
kipande cha nyama ya Kiboko mwishoni mwa wiki.
Taarifa hii ni kwa mujibu wa mtandao wa Daily Nation.
Kiboko
huyo alikuwa amegongwa na gari na kufariki Jumamosi jioni katika mkoa
wa Limpopo wakati ambapo wanakijiji walikimbia katika sehemu hiyo
angalau kujipatia...
Jumanne, 9 Septemba 2014
EBOLA INAENEA KWA KASI NCHINI LIBERIA.
Ugonjwa wa Ebola unaenea kwa kasi nchini Liberia
huku maelfu ya watu wakiambukizwa upya na idadi hiyo inatarajiwa
kuongezeka katika muda wa wiki tatu zijazo.
Hii ni kwa mujibu wa shirika la afya duniani WHO.
Shirika hilo linasema kuwa njia zinazotumika kukabiliana na janga la Ebola hazijafanikisha vita dhidi ya Ebola.
Takriban
watu 2,100 wamefariki kutokana na ugonjwa...
EURO 2015:ENGLAND YAIFUNGA USWISI
England imeanza kusaka tiketi ya kucheza fainali za kombe la Ulaya kwa kuifunga Uswisi.
England
imeanza harakati hizo za kucheza fainali hizo zitakazofanyika huko
Ufaransa baada ya kuishindilia Uswisi mabao 2-0 usiku wa kuamkia leo.
Mshambuliaji mpya wa Arsenal, Danny Welbeck, aliibuka nyota wa kocha
Roy Hodgson kwa kazi nzuri ya kutumbukiza kimiani mabao yote mawili,...
WACHUNGUZI WASEMA MH17 ILIDUNGULIWA.
Wachunguzi wa Kijerumani dhidi ya ndege ya abiria ya Malaysia ambayo
ilipata ajali huko Ukraine mwezi July na kuripuka angani wanaeleza kua
ndege hiyo baada ya kukumbwa na kitu chenye ncha na kugongwa mara kadhaa
na vifaa vyenye mionzi mikali ndio chanzo cha ajali.
Mwandishi wa youngluvega.blogspot.com amesema kwamba ushahidi huo ni wawazi na kwamba
ndege hiyo ilishambuliwa...
Wasanii waliporudi tena kutoa misaada kwa majeruhi wa ajali ya Musoma baada ya Fiesta.
September
05 zaidi ya watu 35 walipoteza maisha yao kutokana na ajali ya mabus
mawili kugongana uso kwa uso eneo la Saba saba ambalo liko nje kidogo na
mji wa Musoma,wasanii waliahidi kwenda kutoa misaada kwa watu
waliokutwa na matatizo ya ajali hiyo.
Asubuhi
ya leo September 08 kabla wasanii kuanza safari ya kurudi Dar walitiza
ahadi yao kwa ndugu na jamaa...