Alhamisi, 9 Machi 2017

Ishara Za Kujua Iwapo Umemkuna Mwanamke Wako Vizuri Kunako 6 X 6..!!!

 Leo acha niwape dondoo kadhaa kuhusu namna ya kujua kama umemkuna ipasavyo mwanamke wakati wa tendo la ndoa. 1.Kufinya shuka kwa nguvu au kitanda kwa nguvu wakati unampa mambo ni ishara mojawapo ya kuonyesha kwamba inamkuna vizuri. 2.Kukukumbatia kwa nguvu au kukufinya: Hii pia ni moja kati ya ishara nyingi anazoonyesha mwanamke pindi anapo -----...

Jamani Nitoke Nnje ya Ndoa..?Nahitaji Ushauri Wenu...!!!

Nimevumilia majaribu ya ndoa yamenishinda, ninaishi na mke wangu lakini hatuna furaha yaani kama tumelazimishwa!  Hakuna kabisa furaha, tumejaribu kukaa chini na kujadili mara nyingi sana lakini huwa anadai hakuna tatizo! Najiuliza sana hivi kutoka nje ya ndoa kutanosaidia nini? Nitachinwa pesa bure na ndo matatizo yataongezeka lakini pia kiimani hairuhusiwi...

Kama Umeteseka kwa Muda Mrefu,Hizi Hapa Mbinu za Kuamsha Nguvu za Kiume Kwa Muda Mrefu..!!!!

Suala la nguvu za kiume kwa sasa limeshakuwa ishu kubwa kwa vijana wengi wa sasa,kwa utafiti uliofanywa mwaka 2013 na shirika la Afya duniani unaonesha kuwa zaidi ya asilimia themanini ya wanawake hawatoshelezwi kimapenzi. Moja ya sababu kubwa inayochangia kutotoshelezwa huku kwa hawa wadada ni tatizo la upungufu wa uwezo wa mwanaume kumnyuka mwanamke kisawasawa...

Ukweli Mchungu..Uwepo wa WCB; Bongo Fleva Inachungulia Kaburi...!!!

Hayo yote nayasema kuhusu nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Adul Juma au maarufu zaidi kwa jina la Diamond. Siku za hivi karibuni, Diamond ameanzisha zoezi la kuwachukua wanamuziki na kuwaingiza kwenye kundi lake maarufu sana la Wasafi Classic Baby ‘WCB’ ambalo limetokea kupata jina kubwa katika Muziki wa Kizazi Kipya Bongo. Lebo hii ya Wasafi kwa sasa inaundwa na watu...

Exclusive..Baada ya Kutemwa Yanga,Pluijm Kutua Taifa Stars,Mpango Mzima Uko Hivi..!!!

UNAAMBIWA ukiona cha nini mwenzako anasema nitakipata lini, kwani baada ya Yanga kuamua kumtema kocha wao za zamani, Hans van der Pluijm, nyota ya Mholanzi huyo imezidi kung’aa na sasa ana ofa mbalimbali kutoka ndani na nje ya nchi ambazo zimekuwa zikimiminika kila kukicha. Pluijm alibadilishwa kutoka kuwa kocha mkuu wa klabu hiyo na kupewa cheo cha ukurugenzi...

Unatamani Kumuacha ila Unashindwa? Ngoja Nikwambie Kitu

Kuna watu wana Mikwara sana, ukiachana nae anaanza Maneno ya shombo, wengine hudiriki kukwambia ''you cant live without me utarudi tu'', unajiuliza huyu mtu ana Hisa kwenye mishipa yangu ya moyo au ana mrija wa Oxygen yangu ya kutumia kesho?? Kama nilizaliwa peke yangu kwanini nisiweze kuishi wewe ukiondoka?? Maneno ya mkosaji haya, usiyasikilize kamwe! Unapoamua...

Harmo Rappa Azidi Kutembelea Nyota za Wasanii Wakubwa...Amchokoza AY

Msanii Ay mzee wa commercial ameamua kumuachia jina lake Rapa anayekuja kwa kasi kwenye Bongo Fleva HamoRappa. Jina la Legend alikuwa akitumia mzee wa commercial kwenye mtandao wa Twitter lakini sasa ameliachia rasmi kwa rapa huyo mwenye vituko vingi bongo anayeongoza kwa kufuatiliwa kwenye 411 news. Baada ya HamoRappa kuitambulisha akaunti yake ya Twitter ikiwa...

Ukweli Mchungu Kuhusu Anayejiita Mdogo wa Gwajima...!!!!

Amejitokeza mtu mmoja na kufanya press conference kwa jina anajulikana kama Methusela Gwajima , huyu Bwana ni Mwanasheria na ameajiriwa kwenye law firm ya Francis Stolla ambaye anagombea Urais wa TLS . Huyu Mwanasheria sio mdogo wake na Gwajima wa kuzaliwa , bali ni ndugu katika Ukoo wao huo, naye ni wa KOLOMIJE . Historia yake ya Kazi inaonyesha kuwa Aliwahi...