Jumamosi, 17 Oktoba 2015

HUYU NDO MKE WA MAREHEMU MBUNGE DEO FILIKUNJOMBE ALIYE FARIKI KWENYE AJALI YA HELIKOPTA YA CCM

Huyu Ndo Mke wa Marehemu Mbunge Deo Filikunjombe Aliyefariki Kwenye Ajali ya Helkopta ya CCM
 


P-square na Fally Ipupa Walitamani Kuwachukua Dancers wa Diamond

Dancers wa P-Square pamoja na msanii mkubwa wa nchini Congo, Fally Ipupa walijaribu kumshawishi Diamond ili wafanye kazi ya pamoja na dancers wake.

Akizungumza na Bongo5 jana mmoja wa dancers hao, Imma Platnumz, alisema hali hiyo ya kufuatwa na dancers wa P-Square inaonyesha kazi wanayoifanya inakubalika.

Tulikuwa tupo Nigeria tunafanya show, dancers wa P-Square wakataka kufanya kazi na sisi,” amesema. “Wakamfuta Diamond lakini Diamond akakataa kwa sababu walikuwa wanataka tujoin halafu tufanye show pamoja kitu ambacho hakiwezekani,” ameongeza.

“Pia tulikutana na Fally Ipupa, aliomba kufanya show na sisi lakini management imeshindwa kutuachia kwa sababu tuna kazi zetu binafsi.”

MWANAMUZIKI ALI KIBA ATOA WIMBO MPYA...USIKILIZE HAPA JINA LA WIMBO MAUMIVU

Huu ni wimbo mpya wa msanii Ali Kiba ambao umevuja unaitwa “Maumivu” Producer: Manecky

PICHA ZA MABAKI YA HELIKOPTA ILIYOPOTEZA UHAI WA MBUNGE DEO FILIKUNJOMBE

Mwili wa Deo Filikunjombe ukitolewa Eneo la tukio baada ya kuteketea kwa Moto kufuatia ajali ya helkopta.

Waliofariki mbali ya Filikunjombe wengine ni Mwenyekiti wa TLP Mkoa wa Iringa Blanka Francis Haule ,Egdi Francis Nkwela na rubani wa helkopta hiyo Wiliam  Slaa.

Miili yote imepelekwa jijini Dar esalaa kutoka katikati ya mbuga ya Selou kitalu R3 .

Mwili wa Filikunjombe utaagwa leo jumamosi jijini  Dar na kusafirishwa kwenda Ludewa kwa mazishi yatakayofanyika jumapili .

Mkuu wa Majeshi Jenaral Davis Mwamunyange Arejea Nchini Mzima wa Afya..Baada ya Tetesi za Kulishwa Sumu


Sakata la Mkuu wa majeshi lililotikisa Mitandao Mbalimbali hapa nchini kuhusu afya yake hatimaye Mkuu huyo wa Majeshi amerejea Nchini kutoka kwenye ziara ya Kikazi nje ya Nchi,Mkuu huyo wa Majeshi hakuoneka Hadharani kwa Muda mrefu ndipo zikaanza taarifa za kulishwa chakula chenye Sumu.