Sina wasiwasi ni elimu yake wala uwezo wake wa kujieleza, ila nina
wasiwasi na hekima yake na busara zake kama zinaweza kustahimili mikiki
mikiki ya bunge kama alivyoonyesha Anne Makinda.
Nafikiri wote tunaujua uwezo wa Prof. Muhongo kielimu lakini alifeli somo la hekima.
Najua bunge lina sheria zake kanuni zake miiko yake na desturi zake,
lakini ni mara ngapi tumeona sheria zikikiukwa na wabunge wenyewe.
Kama tukisema yeye atakuwa "Iron Lady" kuwa kila mbunge akikosea
anamhukumu kulingana na kanuni atafukuza wangapi, naje kama atafukuza
karibu nusu ya wabunge ataonekana ni Naibu Spika mzuri au kiti
kimemshinda.
Tuchukue mfano wa refa wa mpira wa mguu anayewatoa wachezaji kwa red
kadi kila wanapofanya rafu, hivi timu ikibaki na nusu ya wachezaji huyo
refa atakuwa bora?
Najaribu tu kumwangalia huyu Naibu Spika asije siku moja akatoa machozi
kwa kuzomewa au kuulizwa maswali ya kuudhi akakiaibisha kiti.
Namuomba sana Spika Job Ndugai ajaribu kumsaidia msaidizi wake.
Tujadili kwa mstakabali wa nchi yetu.
By QuinineJamii Forums
Ijumaa, 20 Novemba 2015
Home »
» Nina Wasiwasi na Naibu Spika Kama Atalihimili Bunge Hili
Nina Wasiwasi na Naibu Spika Kama Atalihimili Bunge Hili
Related Posts:
Al Shabaab waua 36 Mandera,Kenya Wapiganaji wa Al Shabab&n… Read More
MKE WA KIONGOZI IS AKAMATWA Kiongozi wa IS Abu Bakr al-Baghdadi Vikosi vya usalama nchini Lebanon vimemkamata mkewe kiongo… Read More
Aliyewakosoa Sasha na Malia ajiuzuluSasha na Malia walikosolewa kwa kuvalia sketi fupi mbele ya umati katika White House Mfanyakazi katika chama cha Republican nchini Marekani amejiuzulu baada ya kukosolewa kwa kuwatuhumu wanawe Rais wa Marekani Barack Obam… Read More
BARNES:GERRAD BADO MZURI KWA LIVERPOOLSteven Gerrard bado ana kiwango cha juu kuendelea kuitumikia Liverpool Winga wa zamani wa Klabu ya Liverpool John Barnes anaamini kiungo na nahodha wa timu hiyo Steven Gerrard, bado ni mzuri vya kutosha kuendelea kuitumik… Read More
Man city wazidi kupanda Wachezaji wa Klabu ya Man city Kocha wa Manchester City Manuel Pellegrini amesema ushindi wa timu yake dhidi ya Southampton unadhi… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni