Sina wasiwasi ni elimu yake wala uwezo wake wa kujieleza, ila nina
wasiwasi na hekima yake na busara zake kama zinaweza kustahimili mikiki
mikiki ya bunge kama alivyoonyesha Anne Makinda.
Nafikiri wote tunaujua uwezo wa Prof. Muhongo kielimu lakini alifeli somo la hekima.
Najua bunge lina sheria zake kanuni zake miiko yake na desturi zake,
lakini ni mara ngapi tumeona sheria zikikiukwa na wabunge wenyewe.
Kama tukisema yeye atakuwa "Iron Lady" kuwa kila mbunge akikosea
anamhukumu kulingana na kanuni atafukuza wangapi, naje kama atafukuza
karibu nusu ya wabunge ataonekana ni Naibu Spika mzuri au kiti
kimemshinda.
Tuchukue mfano wa refa wa mpira wa mguu anayewatoa wachezaji kwa red
kadi kila wanapofanya rafu, hivi timu ikibaki na nusu ya wachezaji huyo
refa atakuwa bora?
Najaribu tu kumwangalia huyu Naibu Spika asije siku moja akatoa machozi
kwa kuzomewa au kuulizwa maswali ya kuudhi akakiaibisha kiti.
Namuomba sana Spika Job Ndugai ajaribu kumsaidia msaidizi wake.
Tujadili kwa mstakabali wa nchi yetu.
By QuinineJamii Forums
Ijumaa, 20 Novemba 2015
Home »
» Nina Wasiwasi na Naibu Spika Kama Atalihimili Bunge Hili
Nina Wasiwasi na Naibu Spika Kama Atalihimili Bunge Hili
Related Posts:
Polisi yaongea kwanini Diamond Platnumz hakufikishwa Mahakamani kama wale wa Singida Mohamed Mpinga ni Mkuu wa kikosi cha usalama barabarani Tanzania na amekubali kukaa kwenye Interview na Ayo kujibu baada ya watu ku-comment kwenye mitandao ya kijamii baada ya kuona Diamond amepost picha akiwa… Read More
Ripoti ya Ugunduzi Mpya wa Bara la 8 Duniani Wanasayansi wafahamisha kuwa bara la 8 lawezekana kuwa lipo chini ya bahari ya Pasifiki. Kwa mujibu wa taarifa iliyochapishwa katika jarida la Marekani la 'Geological Society of America' ni kwamba bara hilo lim… Read More
Ulimi Kisimini-Siri Ya Mwanamke Kufika Kileleni. Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa tendo) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa w… Read More
Mbeya : Mama Afukua Kaburi la Mwanae,Kisa Kamili Hiki Hapa...!!! Katika hali isiyo ya kawaida mama mmoja mwenyeji wa mkoa huu wa mbeya mji mdogo wa mbalizi, usiku wa kuamkia leo alienda kaburini alikokua kafukiwa mwanae aliyefariki dunia Siku ya jumatatu na kuzikwa jumanne ya wiki … Read More
Makonda Hakukosea Kumtaja Wema Sepetu - Martin Kadinda Meneja wa zamani wa Wema Sepetu, Martin Kadinda amedai Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda hakukosea kumtaja Wema Sepetu kwenye list yake ya watuhumiwa wa biashara haramu ya madawa ya kulevya kutokana na aina ya… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni