Msanii Nuh Mziwanda ambaye kwa sasa anafanya poa na wimbo wake mpya ambao amemshirikisha Alikiba amefunguka na kusema kuwa hata kama ikitokea mpenzi wake huyo wa zamani akitaka kurudiana na yeye ni kitu kisichowezekana kwa sasa.
Akizungumza kwenye kipindi cha 5SELEKT kinachorushwa na ting’a namba moja kwa vijana Nuh Mziwanda amesema kuwa kwa sasa yeye amefunga ukurasa wa mapenzi na Shilole hivyo hata ikitokea akataka kurudiana na yeye hawezi kufanya hivyo kwani ameshaanza maisha mapya ambayo anaona ni ya furaha zaidi.
Mbali na hilo Nuh Mziwanda ameeleza kuwa kwa sasa hataki tena maisha ya kiki na skendo alizoita kuwa ni za ajabu ajabu bali anataka kujenga jina lake kutokana na kazi zake kwenye muziki pamoja na kutengeneza muziki kama ‘Producer’
Ijumaa, 6 Mei 2016
Home »
» Nuh Mziwanda Afunguka Kuhusu Kurudiana na Shilole
Nuh Mziwanda Afunguka Kuhusu Kurudiana na Shilole
Related Posts:
HABARI KUHUSU HELIKOPTA YA CCM ILIYOANGUKA MBUGANI IKIWA NA MBUNGE DEO FILIKUNJOMBE Usiku wa kuamkia leo October 16 2015 majukwaa ya siasa Tanzania yametawaliwa na ajali ya Helikopta ambayo imeanguka na kulipuka kwenye mbuga ya Wanyama ya Selous ambapo Waziri wa maliasili na utalii Lazaro Nyaland… Read More
Mkuu wa Majeshi Jenaral Davis Mwamunyange Arejea Nchini Mzima wa Afya..Baada ya Tetesi za Kulishwa Sumu Sakata la Mkuu wa majeshi lililotikisa Mitandao Mbalimbali hapa nchini kuhusu afya yake hatimaye Mkuu huyo wa Majeshi amerejea Nchini kutoka kwenye ziara ya Kikazi nje ya Nchi,Mkuu huyo wa Majeshi hakuoneka … Read More
BAADHI YA VITUKO VILIVYOPO NDANI YA DAFTARI LA WAPIGA KURA..PICHA ZIMEPIGWA JANA WAKATI UKAWA WAKIONGEA NA WAANDISHI WA HABARI Huyu Kaandikishwa kwa jina la GGGHUH GGJGJHGHG GGHGGGHG Mwangalie vizuri mzungu na majina yake. Picha ya pembeni… Read More
JERRY SLAA AANDIKA HAYA KUHUSU AJALI YA HELIKOPTA YA CCM..KUMBE BABA YAKE NAYE YUMO KATIKA AJALI HIYO Jerry Silaaa Ameandika Haya Katika Ukurasa Wake wa Instagram @jerrysilaa - Baba yangu Capt.William Silaa akiwa na Mhe.Deo Filikunjombe na abiria wengine walipata matatizo ya engine ya helicopter 5Y-DKK jana jion… Read More
LULU, WEMA WAFIKA PABAYA..KISA UHUSIANO NA DAIMOND .. Pamoja na wenyewe kudai hawajui kilichotokea, mastaa wawili wenye sura za mauzo kunako sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ na Wema Isaac Sepetu, kwa sasa wanadaiwa kufikia pabaya kufuatia bifu zito linalofukuta … Read More
0 comments:
Chapisha Maoni