Kwenye zama hizi za Hapa kazi tu za Mheshimiwa Rais John Magufuli,tunashuhudia mambo mengi ambayo mengine tulikua hatuyafikirii kama yanawezekana kufanyika kutoka kwa viongozi wetu,Dec 12 Mawaziri na Manaibu wao walioteuliwa na Rais Magufuli waliapishwa na baada ya kuapishwa...
Jumatatu, 14 Desemba 2015
Giroud na Ramsey waipeleka Arsenal kileleni, huku wakiiombea ushindi Chelsea
December 13 mechi za Ligi Kuu Uingereza
ziliendelea kama kawaida, baada ya December 12 kupigwa michezo kadhaa
ya muendelezo wa Ligi. Mchezo wa kwanza kupigwa Jumapili ya December 13
wa Ligi Kuu Uingereza ni mchezo kati ya Aston Villa dhidi ya Arsenal.
Arsenal wanaoufundishwa na kocha waliyedumu nae kwa...
Real Madrid wakubali kuacha point tatu katika dimba la El Madrigal dhidi ya Villarreal
Baada ya December 12 watani zao wa jadi klabu ya FC Barcelona ya Hispania kucheza mchezo wake wa 15 wa Ligi Kuu Hispania dhidi ya klabu ya Deportivo La Coruna katika uwanja wao wa nyumbani Nou Camp na kuambulia sare ya kufungana goli 2-2, December 13 ilikuwa zamu ya Real Madrid kucheza dhidi ya Villarreal.
Wakati...
Wakati Wapinzani Wakipinga Uteuzi wa Waziri Sospeter Muhongo, Mwenyewe Aibuka na Kusema Haya Makubwa

WAKATI wapinzani wakipinga uteuzi wa Waziri wa Nishati na
Madini, Profesa Sospeter Muhongo, waziri huyo amewasihi wananchi
kumvumilia kidogo, ili baada ya muda mfupi atoe mpango wa maendeleo ya
wizara hiyo, ambao pamoja na mambo mengine, utaelezea bei ya nishati
hiyo itakavyoshuka.
Akizungumza na waandishi wa habari muda mfupi baada ya
kuapishwa...
Wafanyabiashara 15 Waliokaidi Agizo la Rais Kukiona Cha Moto

MAKAMPUNI 15 yaliyokwepa kodi baada ya kutorosha makontena
yao, yamejisalimisha Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), lakini
yameshindwa kulipa kodi ndani ya siku saba za msamaha wa Rais John
Magufuli.
Kodi inayodaiwa kwa kampuni hizo ni Sh bilioni 3.75, hivyo
watachukuliwa hatua za kisheria kwa kukwepa kulipa kodi, ikiwa ni pamoja
na kufikishwa mahakamani.
Kaimu...
Mdahalo Wa Tahliso Kujadili Hotuba ya Magufuli Waingia Dosari Baada Ya Wanafunzi wa UDSM Kuupinga

WAZIRI
wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye jana alinusuru
kuvunjika kwa mdahalo ulioandaliwa na Jumuiya ya Taasisi za Elimu ya Juu
(TAHLISO), baada ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kuupinga.
Mdahalo
huo ulilenga kujadili hotuba ya Rais Dk. John Magufuli aliyosoma
bungeni Novemba 20, mwaka huu wakati akizindua Bunge la 11.
Dosari
...
Chadema Bado Hawajakubali Yaishe...Waapa Kumshughulikia Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo Bungeni

Chama
Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeahidi kumshughulikia Bungeni,
Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo kikidai kuwa bado
hajasafishwa kwenye kashfa ya akaunti ya Escrow.
Ahadi
hiyo ilitolewa juzi na Kaimu Katibu Mkuu wa Chadema Taifa, John Mnyika
katika mkutano wa hadhara wa kampeni za Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la
Handeni, akimnadi...
Asipofunga Zipu…Nay wa Mitego Atakufa Kwa Ngoma
Staa
wa Bongo Fleva, Emmanuel Eribaliki ‘Nay wa Mitego’ akijiachia na
mrembo mpya mwenye umbo dogo kwenye bwawa la kuogelea katika Hoteli ya
White Sands iliyopo Mbezi Beach jijini Dar.
KIWEMBE!
Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia staa wa Bongo Fleva, Emmanuel
Eribaliki ‘Nay wa Mitego’ kunaswa akiwa na mrembo mpya mwenye umbo dogo
yaani (mbichii) huku...
Nape: Nitaanza Kushughulikia Sheria na Nidhamu Michezoni

Waziri
wa Habari, Utamaduni, Wasanii na Michezo, Nape Nnauye ameahidi
kushughulikia sheria mbalimbali zinazosimamia sekta hiyo ili kuongeza
nidhamu michezoni.
Nape
aliyeapishwa juzi kuanza kibarua hicho, ataiongoza wizara hiyo
iliyokuwa ikiongozwa na Dk Fenella Mukangara, huku ndoto za Watanzania
zikiwa ni kuona kiwango cha michezo kilichoporomoka, kinakua.
Akizungumza
...
Diamond Platnumz na Zari Washinda Tuzo Nchini Uganda

STAA
wa muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platinumz’ pamoja na
mchumba wake Zarinah Hassan ‘Zari The Bossy Lady’ wamepata Tuzo za
Abryanz Style and Fashion (ASFA 2015) zilizofanyika Kampala, Uganda
usiku wa kuamkia leo.Wawili hao wameibuka kidedea katika kipengele cha
East Africa Most Stylish Couple.
Mbunifu
wa mavazi, Martin Kadinda naye ameibuka kidedea...