Weekend hii katika mitandao ya kijamii kumesambaa video inayomuonyesha
malkia wa filamu nchini Wema Sepetu akiliwa denda na model Calisah.
Wawili hao ambao walitumia nguvu nyingi kufanya siri mahusiano yao,
wameumbuka kupitia video hiyo iliyosambaa katika mitandao ya kijamii.
Akiongea na Bongo5 Jumatatu hii, Calisah amesema hajui ni nani ambaye
amesambaza video hiyo mtandaoni kwani walikuwa nayo yeye pamoja na Wema.
“Nilikuwa nachati na Wema kawaida ghafla nikaona notification, kufungua
ndio nikakuta hiyo video na mimi ndio nilikuwa mtu wa kwanza kumuuliza
Wema kwa sababu video nilikuwa nayo mimi na Wema,” alisema Calisah.
Pia model huyo amedai video hiyo imemsababishia matatizo katika familia yake pamoja na kumpoteza bibi yake kwa presha.
Ijumaa, 18 Novemba 2016
Home »
» Model Calisah Afunguka Baada ya Kusambaa Kwa Video yake Akimla ‘Denda’ Wema Sepetu
Model Calisah Afunguka Baada ya Kusambaa Kwa Video yake Akimla ‘Denda’ Wema Sepetu
Related Posts:
Harmo Rappa Azidi Kutembelea Nyota za Wasanii Wakubwa...Amchokoza AY Msanii Ay mzee wa commercial ameamua kumuachia jina lake Rapa anayekuja kwa kasi kwenye Bongo Fleva HamoRappa. Jina la Legend alikuwa akitumia mzee wa commercial kwenye mtandao wa Twitter lakini sasa ameliachia ra… Read More
Ukweli Mchungu..Uwepo wa WCB; Bongo Fleva Inachungulia Kaburi...!!! Hayo yote nayasema kuhusu nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Adul Juma au maarufu zaidi kwa jina la Diamond. Siku za hivi karibuni, Diamond ameanzisha zoezi la kuwachukua wanamuziki na kuwaingiza kwenye kundi lake maarufu s… Read More
Exclusive..Baada ya Kutemwa Yanga,Pluijm Kutua Taifa Stars,Mpango Mzima Uko Hivi..!!! UNAAMBIWA ukiona cha nini mwenzako anasema nitakipata lini, kwani baada ya Yanga kuamua kumtema kocha wao za zamani, Hans van der Pluijm, nyota ya Mholanzi huyo imezidi kung’aa na sasa ana ofa mbalimbali kutoka ndani … Read More
Unatamani Kumuacha ila Unashindwa? Ngoja Nikwambie Kitu Kuna watu wana Mikwara sana, ukiachana nae anaanza Maneno ya shombo, wengine hudiriki kukwambia ''you cant live without me utarudi tu'', unajiuliza huyu mtu ana Hisa kwenye mishipa yangu ya moyo au ana mrija wa Oxygen… Read More
Kama Umeteseka kwa Muda Mrefu,Hizi Hapa Mbinu za Kuamsha Nguvu za Kiume Kwa Muda Mrefu..!!!! Suala la nguvu za kiume kwa sasa limeshakuwa ishu kubwa kwa vijana wengi wa sasa,kwa utafiti uliofanywa mwaka 2013 na shirika la Afya duniani unaonesha kuwa zaidi ya asilimia themanini ya wanawake hawatoshelezwi kimap… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni