Alhamisi, 19 Januari 2017

Gambia bado kwa moto, Adama Barrow kaapishiwa Urais akiwa nje ya nchi

Adama Barrow ambaye ni mwanasiasa wa upinzani ambaye inaaminika ndie mshindi wa uchaguzi wa Urais Gambia ameapishwa kuwa Rais wa Gambia japokua uapisho wake umefanyika nje ya taifa hilo.
Uapisho umefanyika Senegal kwenye ubalozi wa Gambia ambapo raia wengi wa Gambia wanaofanya kazi Senegal wamehudhuria kuapishwa kwa Adama na hiyo imetokana na kugoma kuoachia madaraka kwa Rais Yahya Jameh na kutangaza hali ya hatari.

RAIS DKT MAGUFULI ATEUA MABALOZI SITA KUWAKILISHA TANZANIA NCHI MBALIMBALI