Home »
» Watoto elfu 250 huenda wakafa kwa njaa Sudan
Watoto elfu 250 huenda wakafa kwa njaa Sudan
Mshirikishi mkuu wa shirika la Umoja wa mataifa nchini Sudan Kusini,
Toby Lanzer, amesema kuwa takriban watoto laki mbili u nusu wamo katika
hatari ya kufa katika kipindi cha miezi kadhaa ijayo iwapo mashirika ya
utoaji misaada, hayatafikisha misaada kwa watu walio na mahitaji.
Wafuasi wa Rais Salva Kiir na mpinzani wake Riek Machar wanaendelea kupigana
Bwana Lanzer ameiambia BBC kuwa, watu wanateseka kwa sababu ya umaskini.
Vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Sudan Kusini imesambaratisha uchumi wa taifa hilo.
Watoto zaidi ya laki mbili u nusu wamo katika hatari ya kufa kwa njaa
Amesema kwamba mashirika ya utoaji misaada yatafanya yawezavyo
kuwasaidia wahitaji, lakini amani itapatikana tu nchini Sudan Kusini
iwapo viongozi watakubaliana kukomesha mapigano.
Bwana Lanzer amewasihi viongozi wa pande hasimu kusameheana ilikukomesha maafa.
Related Posts:
Diamond Platnumz Awatupia Madongo Walio Kuwa Wanasema Hajanunua Nyumba South Afrika...Adai Uswahili wake Unamlipa
Diamond Jana amefika kwa mara ya kwanza kwenye nyumba ambayo alinunua South Afrika na Kuandika Yafuatayo....
"Asa kunya nakunya mie makalio yanawauma wengine, eti inahuu....? Wambie
wasininunie mie, wakazane....… Read More
UKOCHA: Pluijm Amwaga Mboga Yanga
Usemi wa Waswahili kuwa, ukimwaga ugali, nami namwaga mboga umetimia kwa
klabu ya soka ya Yanga ambayo licha ya uongozi wake jana kukanusha
kuajiriwa kwa kocha Mzambia George Lwandamina na kuachana n… Read More
Edward Lowassa Anena Mwaka Mmoja wa Rais Magufuli
Aliyekuwa mgombea urais kupitia Chadema, Edward Lowassa amechambua
mwaka mmoja wa uongozi wa Rais John Magufuli tangu aingie madarakani
akisema kuna mafanikio machache katika baadhi ya maeneo, lakini maish… Read More
Jamaa Yake Amemwekea Tego, Msichana Yupo Tayari Kunipa Papucha ila Anaogopa Tutanasiana au Ntapata Tatizo
Nimempata dada mmoja mitaa fulani, ni mzuri sana na she is sexy.
Kiukweli tumependana nami nilivyomuona tu siku ya kwanza pale ofisini
nilimpenda nikaomba tuwe na ukaribu. Tukaanza ukaribu basi juzi juzi
hapa n… Read More
Rais Magufuli ametajwa kuwania tuzo ya ‘Forbes Africa Person of The Year’, ingia hapa kumpigia kura
Rais Dkt John Pombe Magufuli ametajwa kuwania tuzo ya ‘Forbes Africa Person of The Year.’
Anachuana na watu wengine wanne wakiwemo: Rais wa Mauritania, Ameenah
Gulib, Mwanzilishi wa Capitec Bank, Michiel Le Roux… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni