Muigizaji maarufu nchini asiyekaukwa na scandal, wema Isaac sepetu, hivi
karibuni ameibuka na kuwataka wote wanaotumia mitandao ya kijamii
kumsapoti( team wema) kuanzia Leo waache kwani hawajui na wamekua
wakimuaribia sana maisha yake, mrembo huyo aliendelea kutiririka kuwa
team hizo zimekua zikimgombanisha na watu wengi na kuwa asilimia nyingi
ni wanafiki, hivyo amewaomba wote wanajiita team wema waache mara moja
na waanze kutumia majina yao kwenye mitandao ya kijamii.
Jumanne, 20 Septemba 2016
Home »
» Nyie ni Wanafiki Wema Sepetu- Sitaki Kusikia Team Wema, Niacheni na Maisha yangu Wengi Nyie ni Wanafiki
Nyie ni Wanafiki Wema Sepetu- Sitaki Kusikia Team Wema, Niacheni na Maisha yangu Wengi Nyie ni Wanafiki
Related Posts:
SAKATA la Oparesheni UKUTA: Viongozi wa Dini Waendelea Kusubiri Maombi Yao Kujibiwa na Rais Magufuli Viongozi wa dini nchini waliopanga kumwona Rais John Magufuli kwa mazungumzo kuhusu hali ya siasa nchini wanaendelea kusubiri maombi yao kujibiwa licha ya kupita zaidi ya siku 90 sasa. Mkuu wa Kanisa la Kiinji… Read More
Kiwanda cha Saruji cha Dangote Kimesitisha Uzalishaji wa Simenti...Sababu Hizi Hapa Kiwanda cha Saruji cha Dangote kimesitisha uzalishaji kutokana kuelemewa na gharama za uendeshaji hatua inayowaacha watumiaji wake njia panda. Mwezi uliopita Kiwanda hicho kilililamikia Shirika la Maendeleo ya … Read More
Aunt Ezekiel: Achana na Mimi Wewe Wema Sepetu MASTAA wawili waliokuwa mashosti siku za nyuma, Aunty Ezekiel na Wema Sepetu ‘Madam’ wameingia kwenye msuguano tena hivi karibuni huku hali ikionesha kuwa mastaa hao kwa sasa ndiyo basi tena. Hali hiyo imetoke… Read More
HIZI Hapa Sababu Tatu za Jiji la Mbeya Kuwa la Pili Kwa Wingi wa Makanisa Afrika Jiji la Mbeya ni la pili kwa wingi wa madhehebu barani Afrika likiongozwa na Lagos lililopo Nigeria. Kwa mujibu wa Mkuu wa Wilaya ya Mbeya, Paul Ntinika, jiji hilo lina makanisa 450 na Mtaa wa Sae pekee una mad… Read More
Ndoa Ina Mwaka Sasa Inanishinda, Sina Hamu ya Kufanya Tendo la Ndoa na Mke Wangu Naombeni ushauri jamani, Nimeoa na ndoa yangu ina mwaka sasa. Mke wangu ana tabia nzuri sana kiasi kwamba kila mtu ananisifia kuwa nimepata mke bora.Tatizo linakuja kitandani, yaani si enjoy chochote kile kutok… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni