Michuano ya kombe la dunia imefiki hatua ya 16 bora.Huku ikionekana ni michuano ambayo
ina magoli mengi mpaka hatua hii magoli 150 yameingia wavuni.Mshambuliaji wa colombia
JAMES RODRIGUEZ ndio anaongoza mpaka sasa ana magoli matano Akifuatiwa na Neymer,
Mess na Muller ambapo wote wana magoli manne kila mmoja huku wakifuatiwa na Arjen Robben,Van persie na Benzema ambapo wote wana magoli matatu.
LIST KAMILI YA WAFUNGAJI BORA WORLD CUP
Jumanne, 1 Julai 2014
Home »
» LIST YA WACHEZAJI 16 AMBAO WANAONGOZA KWA MAGORI KOMBE LA DUNIA
LIST YA WACHEZAJI 16 AMBAO WANAONGOZA KWA MAGORI KOMBE LA DUNIA
Related Posts:
Mtoto huyu ameweza kuishi kwa miaka 12 na virusi vya Ukimwi bila kutumia dawa yoyote! Nimekutana na stori mmoja kutoka Ufaransa inayomhusu mtoto wa miaka 18 aliyeweza kuishi na Ukimwi kwa miaka 12 bila kutumia dawa zozote wala vidonge vyovyote vya ARV. Kitendo hiki kimeweka headlines… Read More
Hivi ndivyo ilivyokuwa kwenye #TuzozaWatu2015.. Pichaz na list yote ya washindi iko hapa Kilichosubiriwa kwa hamu na watu wengi ni tukio zima la Tuzo za Watu ambapo fainali yake ilikuwa jana MAY 22 2015.. Kutokana na utaratibu uliowekwa washiriki wote waliteuliwa na watu na baadae mchakato ukakamilika … Read More
IRELAND YAFANYA MAAMUZI KUHUSIANA NA NDOA ZA JINSIA MOJAwapiga kura wajitokeza kwa wingi nchini Ireland ili kuamua kuhusu kuhalalishwa kwa ndoa za watu wa jinsia moja. Wapiga kura wengi wameripotiwa kujitokeza kwenye kura ya maoni nchini Ireland ya kuamua iwapo ndoa za watu w… Read More
Watoto elfu 250 huenda wakafa kwa njaa SudanWatoto elfu 250 huenda wakafa kwa njaa Sudan Mshirikishi mkuu wa shirika la Umoja wa mataifa nchini Sudan Kusini, Toby Lanzer, amesema kuwa takriban watoto laki mbili u nusu wamo katika hatari ya kufa katika kipindi cha m… Read More
Ni Diamond Platnumz tena kwenye Headlines time hii kamshirikisha Mr. Flavour Hii ni kolabo nyingine kutoka kwa Mtanzania Diamond Platnumz ambayo hii kamshirikisha mkali kutoka Nigeria Mr.Flavour wimbo unaitwa Nana,video imefanywa na GodFather mtu wangu. Diamond Platnumz ametumia dakika hizi tatu&nb… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni