Home »
» Baada ya Okwi kutangaza kujiunga na Simba,hiki ndicho walichokifanya Yanga.
Ikiwa imepita siku moja toka klabu ya Simba kumtangaza Emmanuel Okwi kama
mchezaji wao rasmi wa klabu hiyo,taarifa nyingine iliyotolewa leo na
uongozi wa Yanga ni kumshitaki Okwi.
Klabu ya Young Africans imemshitaki Emmanuel Okwi kwenye Shirikisho
la Soka Tanzania (TFF) na kuwasilisha nakala kwa shirikisho la soka
Barani Afrika (CAF) na shirikisho la soka duniani (FIFA) kwa kuingia
mkataba na timu nyingine wakati akiwa bado ana mkataba wa miaka miwili
na Yanga.
Related Posts:
Upepo Mchafu Wazidi Kumuandama Manji, Asakwa na Uhamiaji Kwa Kosa Hili
Baada ya Sakata la Madawa ya Kulevya kumuandama mpaka kufikia kulazwa
Hospitalini, Uhamiaji nao wamekuja na Mpya baada ya kukamata Passport
Kadhaa ofisini kwake za watu kutoka nje ambao wanafanya kazi kwenye
kampuni yak… Read More
Baada ya Kulianzisha,,Makonda Yupo Hatarini Kuuawa,Vigogo wa Madawa ya Kulevya Wapanga Mikakati ya Kummaliza kwa Gharama Yeyote Ile..!!!!
Wakati vita dhidi ya madawa ya kulevya jijini Dar vikipanuka na kugeuka
kuwa suala la kitaifa, kuna kila dalili kuwa usalama wa Mkuu wa Mkoa wa
Dar es Salaam, Paul Makonda upo hatarini, Risasi Mchanganyiko limebaini.
… Read More
Huu Ndio Msikiti ambao Diamond Anapang Kuujenga..!!!
Diamond amejitolea kujenga msikiti.
Hitmaker huyo wa ‘Marry You’ amesema kwa sasa anajenga msikiti huo lakini upo mkoani Mtwara.
“Mimi nakushukuru sana mama yangu, asante sana. Naamini kabisa nitakuja
Mtwara, Mtw… Read More
Ni kweli Diamond Platnumz aliitwa na Polisi leo, sababu na kilichotokea vipo hapa tayari
Kama kuna picha umekutana nazo
leo Mitandaoni zikimuonyesha Diamond Platnumz akiwa kituo cha Polisi
akihojiwa nina uhakika utakua umejiuliza ni nini kilitokea.
Ni kwel… Read More
Mwanake ni Sura au Msambwanda?
Kuna hili suala ambalo nimeona sio vibaya tukiulizana kujua utashi wa
kila atakayechangia tuone kipi watu wanapenda zaidi inapobidi kuchagua
kimoja.
Ni ndoto ya kila mmoja kupata mwanamke aliyetimia kuanzia sura mpaka
u… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni