Ni aina mbali mbali za vipodozi kwa wanaume na wanawake,vimetengenezwa kwa ubora wa hali ya juu visivyo na kemikali.Ni vipodozi asili kabisa kulingana na ngozi yako jaribu aina hizi uone maajabu ya vitu asilia.
Bidhaa hizi ni mali ya kampuni ya Oriflame ambazo zimethibitishwa na wataalamu wa kimataifa na wa taifa.Baadhi ya bidhaa zake ni Cleaning Gel,Face Toner,Lotions,Lipstick,Perfumes,Bioclinic,Ecollagen,Optimals,Essentials Scrub,Gel Wash,Essentials soap,Pure skin scrub,Eye shadow,Mascara,Deodorant,Shower Gel,Foot cream,Baby oil na nyinginezo nyingi kutokana na mahitaji yako.
Utapata bidhaa hizi kutoka kwa wakali wao mashuhuli anaepatikana Dar es salaam anaetambulika kwa jina la LIGHTNESS MALUGU anapatikana kwa namba 0767792969 kwa maelezo zaidi na kufanya manunuzi.Bei zao ni nafuu sana ambazo anaweza kununua hadi mtu wa hali ya chini kabisa.
KWA MWONEKANO MZURI,MATUNZO YA NGOZI YAKO,NYWELE NA AFYA YAKO TUMIA BIDHAA KUTOKA ORIFLAME PEKEE.
Kwa mawasiliano zaidi 0767792969.
Jumatano, 17 Septemba 2014
Home »
» NI ZAIDI YA VIPODOZI,NI ASILI VISIVYO NA KEMIKALI;ORIFLAME.
NI ZAIDI YA VIPODOZI,NI ASILI VISIVYO NA KEMIKALI;ORIFLAME.
Related Posts:
Urais CCM waiweka pabaya kamati kuu, Mganga akutwa akiroga mahakamani na NEC yasitisha uandikishaji? MWANANCHI Mbio za urais ndani ya CCM sasa zimefikia pabaya baada ya kuibuka hofu ya kuwapo kwa mpango wa kuivuruga Kamati Kuu kabla ya haijakutana kuchuja majina ya makada watakaotakiwa kupigiwa kura na Halm… Read More
ZAIDI YA WATU 40 WAUAWA MEXICOPolisi nchini Mexico Takriban watu 43 wameuawa wakati wa ufyatulianaji wa risasi katika jimbo la Michoacan nchini mexico kati ya vikosi vya usalama na genge moja lenye silaha. Mapigano hayo yalianza wakati magari ya poli… Read More
JESHI LA KENYA LAFANYA SHAMBULIO SOMALIA Ndege za kijeshi za Kenya zashambulia Somalia Jeshi la Kenya limeshambulia maeneo mawili ya jimbo la Gedo nchini Somalia,ambalo ni makao ya wapiganaji wa kundi la Alshabaab,ikiwa ni s… Read More
REAL MADRID YAWASILIANA NA BENITEZRafael Benitez Mkufunzi wa kilabu ya Napoli Rafael Benitez ameorodheshwa miongoni mwa makocha wataokumrithi Carlo Ancelotti katika kilabu ya Real Madrid. Ancelotti anatarajiwa na wengi kuachana na kilabu hiyo baada ya mec… Read More
Chelsea yashinda huku Costa akijeruhiwaDiego Costa akianguka katikakati ya wachezaji wa stoke city Mkufunzi wa kilabu ya Chelsea Jose Mourinho amesema kuwa ilikuwa hatari kumchezesha mshambuliaji Diego Costa baada ya kujeruhiwa wakati wa ushindi wa Chelsea wa… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni