Ni aina mbali mbali za vipodozi kwa wanaume na wanawake,vimetengenezwa kwa ubora wa hali ya juu visivyo na kemikali.Ni vipodozi asili kabisa kulingana na ngozi yako jaribu aina hizi uone maajabu ya vitu asilia.
Bidhaa hizi ni mali ya kampuni ya Oriflame ambazo zimethibitishwa na wataalamu wa kimataifa na wa taifa.Baadhi ya bidhaa zake ni Cleaning Gel,Face Toner,Lotions,Lipstick,Perfumes,Bioclinic,Ecollagen,Optimals,Essentials Scrub,Gel Wash,Essentials soap,Pure skin scrub,Eye shadow,Mascara,Deodorant,Shower Gel,Foot cream,Baby oil na nyinginezo nyingi kutokana na mahitaji yako.
Utapata bidhaa hizi kutoka kwa wakali wao mashuhuli anaepatikana Dar es salaam anaetambulika kwa jina la LIGHTNESS MALUGU anapatikana kwa namba 0767792969 kwa maelezo zaidi na kufanya manunuzi.Bei zao ni nafuu sana ambazo anaweza kununua hadi mtu wa hali ya chini kabisa.
KWA MWONEKANO MZURI,MATUNZO YA NGOZI YAKO,NYWELE NA AFYA YAKO TUMIA BIDHAA KUTOKA ORIFLAME PEKEE.
Kwa mawasiliano zaidi 0767792969.
Jumatano, 17 Septemba 2014
Home »
» NI ZAIDI YA VIPODOZI,NI ASILI VISIVYO NA KEMIKALI;ORIFLAME.
NI ZAIDI YA VIPODOZI,NI ASILI VISIVYO NA KEMIKALI;ORIFLAME.
Related Posts:
Huyu Hapa Mpenzi Mpya wa Idriss Sultan....Wagandana Kama Ruba Huko MTV Awards Inasemekana eti Idriss na Mrembo ajulikanaye kama Sanchoka kwa sasa ni wapenzi baada ya kuonekana pamoja huko Afrika Kusini walipoenda kwa ajili ya MTV awards... Picha na Video mbali mbali wakiwa pamoja za… Read More
Vyakula Vinavyoongeza Hamu na Nguvu ya Kufanya Tendo la Ndoa Tatizo la uwezo wa kufanya tendo la ndoa linazidi kukua miongoni wa wanandoa na wapenzi wengi. Takwimu za kitafiti zinaonyesha kuwa karibu ndoa 4 kati ya 10 zenye umri wa miaka 3 na kuendelea zinakabiliana na t… Read More
Mastaa wa Kike Kutoka Familia za Mboga Saba Bongo NAIJUA familia ya mboga saba? Wengine wanapenda kuwaita watoto wa kishua ama familia bora. Hii ikiwawakilisha watoto wanaozaliwa kwenye familia yenye uwezo mkubwa wa kiuchumi, kiasi cha kutumia mlo mmoja ukiwa n… Read More
Thomas Ulimwengu Aondoka TP Mazembe, Afuata Ndoto zake Kucheza Ulaya Baada ya kucheza misimu mitano kwenye klabu ya TP Mazembe, mchezaji wa Taifa Stars, Thomas Ulimwengu ameondoka kufuata ndoto zake kucheza Ulaya. Mchezaji huyo aliyekuwa akivaa jezi namba 28 na aliyepewa jina … Read More
Nimekuta Chupi ya Mke Wangu Chumbani Kwa Mdogo Wangu wa Kiume Jamani Leo ni Siku ya saba tangia nikute chupi ya mke wangu chumbani kwa mdogo wangu wa kiume,nimekaa nalo moyoni naona niwashikirikishe wenzangu nione mnishauri nini Ni hivi Ninaishi na mke wangu,mwaka wa NNE … Read More
0 comments:
Chapisha Maoni