Aliyekuwa mkuu wa usalama nchini China Zhou Yongkang amefukuzwa kutoka Chama cha Kikomunisti na atafunguliwa mashtaka huku kukifanyika uchunguzi wa ufisadi. Zhou alikuwa kiongozi wa kitengo cha usalama cha China kabla ya kustaafu miaka miwili iliyopita na atakuwa kiongozi wa ngazi ya juu kabisa chamani kutuhumiwa kwa madai ya ufisadi na kufunguliwa mashtaka. Uamuzi wa kumkamata na kumtimua afisa huyo mkuu wa Kamati kuu ya chama cha Kikomunisti yenye wanachama 9 ulifikiwa katika mkutano wa baraza kuu la chama hicho lenye wanachama 25 hapo jana, kufuatia uchunguzi rasmi uliofanyika mapema mwaka huu. Zhou anatuhumiwa kwa uhalifu ikiwa ni pamoja na "kukubali kiasi kikubwa cha hongo" na "kujihusisha na vitendo vya uasherati na wanawake kadhaa". Washirika na jamaa kadhaa wa Zhou pia wanachunguzwa kwa madai ya rushwa.
Ijumaa, 5 Desemba 2014
Home »
» MKUU WA USALAMA WA CHAMA CHA KIKOMUNISTI CHINA AKAMATWA
MKUU WA USALAMA WA CHAMA CHA KIKOMUNISTI CHINA AKAMATWA
Aliyekuwa mkuu wa usalama nchini China Zhou Yongkang amefukuzwa kutoka Chama cha Kikomunisti na atafunguliwa mashtaka huku kukifanyika uchunguzi wa ufisadi. Zhou alikuwa kiongozi wa kitengo cha usalama cha China kabla ya kustaafu miaka miwili iliyopita na atakuwa kiongozi wa ngazi ya juu kabisa chamani kutuhumiwa kwa madai ya ufisadi na kufunguliwa mashtaka. Uamuzi wa kumkamata na kumtimua afisa huyo mkuu wa Kamati kuu ya chama cha Kikomunisti yenye wanachama 9 ulifikiwa katika mkutano wa baraza kuu la chama hicho lenye wanachama 25 hapo jana, kufuatia uchunguzi rasmi uliofanyika mapema mwaka huu. Zhou anatuhumiwa kwa uhalifu ikiwa ni pamoja na "kukubali kiasi kikubwa cha hongo" na "kujihusisha na vitendo vya uasherati na wanawake kadhaa". Washirika na jamaa kadhaa wa Zhou pia wanachunguzwa kwa madai ya rushwa.
Related Posts:
Baada ya Kumuita Nyani, Iyobo Amvaa Tena Harmorapa...!!!! KIONGOZI wa madansa ambaye ni dansa tegemezi wa Wasafi Classic Baby (WCB) Mose Iyobo amefunguka kuwa yeye hana imani na Harmorapa na anashangaa anavyotajwa kila mahali kwani yeye hajawahi kusikia kazi yake yoyote hi… Read More
Uwoya ni Gusa Unate..!!!! Msanii maarufu wa filamu Bongo, Irene Uwoya (pichani) anatajwa kuwa kati ya mastaa wa kike Bongo aliyewahi kutoka na mastaa na vigogo mbalimbali huku ikidaiwa kuwa, kila aliyekuwa naye alimuacha yeye na si kua… Read More
Ulimi Kisimini-Siri Ya Mwanamke Kufika Kileleni. Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa tendo) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa w… Read More
MSUMBIJI: Mwanamke wa Kitanzania Abakwa Mpaka Kufa. Serikali Imefungwa Pasta? Jamani, Hii inasikitisha sana tangu kuanza kusikika kwa sakata la watanzania kufurushwa uko msumbiji mengi yametokea lakini serikali yetu inaonesha kuwakandamiza watanzania kuwaonesha hawakuwa wakiish kihalali kabis… Read More
Issue ya Masogange Kushikiliwa na Polisi ka Kuhusika na Madawa ya Kulevya, Uwoya Amlipua Wema...!! Lile sakata la masogange kuwekwa ndani kwa shutuma za madawa ya kulevya, limeingia ukurasa mpya baada ya hivi karibuni rafiki wa masogange ambaye pia ni staa wa filamu aitwaye Irene uwoya, kumjia juu wema sepetu baa… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni