Ni moja kati ya wasanii waliofanya vizuri katika tasnia ya muziki wa Tanzania kwa mwaka 2014 toka Kilimanjaro.Ramjey ndo jina lake katika sanaa akiwa amemshirikisha Rita ngoma yake inakwenda kwa jina la Sijajua kosa langu ambayo imefanywa na producer Malwo kutoka studio ya Sunlight.Ni msanii ambae amejaaliwa sauti nzuri na anaitendea haki kwa ngoma kali aliyoiachia hivi karibuni.Ili kuiskiliza ngoma ya huyu mkali toka Kilimanjaro mkoa ambao haubahatishi katika muziki DOWNLOAD hapa chini ili uweze kusikiliza.
Jumanne, 2 Desemba 2014
Home »
» NI MSANII ANAEKUJA VIZURI KUTEKA SANAA YA MUZIKI TANZANIA TOKEA KILIMANJARO
NI MSANII ANAEKUJA VIZURI KUTEKA SANAA YA MUZIKI TANZANIA TOKEA KILIMANJARO
Related Posts:
Imebainika Mashine ya CT Scan Iliyofungwa Muhimbili Hospital ni ya Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) WIZARA ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto imekiri kwamba mashine ya CT Scan iliyofungwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili ilikuwa ni ya kituo cha kisasa cha kutolea huduma za afya cha Benjamin Mkapa… Read More
Rais Magufuli Afunguka na Kusema Yeye si Kichaa wala Dikteta ila Inafika Wakati Lazima Afanye Hivyo!! RAIS Dk. John Magufuli amesema anapochukua hatua yeye si kichaa, si dikteta, si shetani wala si mnyama, ila ni mpole, lakini amefika mahali lazima afanye hivyo kwani ndani ya Serikali yanafanyika mambo ya ajabu. Kauli h… Read More
Bomoa Bomoa Zaikumba Sinza...Baa za Uwanjani Legho Zavunjwa BAADHI ya baa zilizopo katika viwanja vya Legho, Ubungo jijini Dar, leo zimevunjwa kufuatia agizo la mahakama kwa kile kilichodaiwa wamiliki walivamia eneo ambalo siyo lao. Akizungumza na mwandishi wetu, dalali wa mahaka… Read More
IDADI YA WANAOSUBIRI KUNYONGWA TANZANIA YAONGEZEKAJanuari 29, 2009 Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo Pinda alimwaga machozi Bungeni na kufikia hatua ya kutoa kauli kali juu ya wanaofanya vitendo vya kikatili vya mauaji dhidi ya watu wenye ulemavu wa ngozi kwamba “wanaoua albino na… Read More
Mbunge Godbless Lema Awachana CCM Laivu....Hawawezi Kukaa Madarakani Kwa Maisha yote Mbunge wa arusha mjini Godbless lema amesema leo bungeni swala la Zanzibar si la kichama,Ni swala la nchi na lisipotafutiwa ufumbuzi lina athari kwa kila mtu, Lema ameenda mbali zaidi na kuwaambia Wabunge Wa CCM hii nch… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni