Tumeshazoea kuona baadhi ya mastaa wa Afrika wanapoweka video zao
kwenye youtube wanapata views nyingi ndani ya siku chache lakini Good
news time hii imeangukia kwa mkali wa Tanzania.
Mmiliki wa hit single ya ‘Mdogo Mdogo’ Diamond Platnumz ameipiku
video ya wakali wa Nigeria P Square baada ya kupata views nyingi ndani
ya siku nne.
Video ya P Square ‘Shekini’ iliyowekwa youtube Nov 17 ina views
286,165 huku Diamond ambaye video yake ‘Nitampata Wapi’ iliyoweka Nov
20 ina views 354,910.
Jumapili, 23 Novemba 2014
Home »
» Rekodi aliyoivunja Diamond Platnumz na kuiacha ya P Square
Rekodi aliyoivunja Diamond Platnumz na kuiacha ya P Square
Related Posts:
Maneno ya Rais wa Simba baada ya hizi droo zao ligi kuu Rais Simba Evans Aveva kwa mara ya kwanza amefungua mdomo wake na kulizungumzia suala la sare mbili katika mechi zao za Ligi kuu bara ambapo Rais huyu amewataka mashabiki na wanachama wa Simba kuungana na kuwa pamo… Read More
Ulisikia ile show ya Jose Chameleone ambayo kiingilio ni milioni moja? amezitaja sababu 3 hapa Kwa hapa Tanzania tumezoea show kubwa kama Fiesta tunaona mastaa wakubwa kama Rick Ross, Ludacris na wengine kwa kiingilio kisichozidi elfu 20 ambapo mwaka huu anashuka T.I October 18 lakini tukirudi kwenye show bi… Read More
Raila Odinga atandikwa kiboko Raila Odinga alichapwa mara mbili kwa kiboko katika tukio ambalo limewashangaza wengi Hali ya taharuki iliibuka katika mkutano wa hadhara katika jimbo la Kwale nchini Kenya, baada ya mwanamume mmoja kwenda uku… Read More
Eti umoja wa Ma-Girlfriend wamekuja na hii baada ya Diamond kutoa zawadi ya Gari kwa Wema… September 26 ilikua ni siku ambayo mrembo kutoka Tanzania Wema Sepetu alisherehekea siku yake ya kuzaliwa ambapo ndani ya siku yake hii ukitoa party aliyoifanya kulikuwa na vitu mbalimbali vya kuvutia. Siku hiyo D… Read More
Omar Gonzalez White HouseMlango huo unavyoonekana Taarifa kutoka mjini Washngton zinaeleza kua mwanamume mmoja aliyekua ameshikilia kisu mikononi mwake aliruka uzio wa makao ya Rais wa Marekani Brack Obama na kukimbia kuelekea kwenye makazi… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni