Dancers wa P-Square pamoja na msanii mkubwa wa nchini Congo, Fally Ipupa
walijaribu kumshawishi Diamond ili wafanye kazi ya pamoja na dancers
wake.
Akizungumza na Bongo5 jana mmoja wa dancers hao, Imma Platnumz, alisema
hali hiyo ya kufuatwa na dancers wa P-Square inaonyesha kazi
wanayoifanya inakubalika.
“Tulikuwa tupo Nigeria tunafanya show, dancers wa P-Square wakataka
kufanya kazi na sisi,” amesema. “Wakamfuta Diamond lakini Diamond
akakataa kwa sababu walikuwa wanataka tujoin halafu tufanye show pamoja
kitu ambacho hakiwezekani,” ameongeza.
“Pia tulikutana na Fally Ipupa, aliomba kufanya show na sisi lakini
management imeshindwa kutuachia kwa sababu tuna kazi zetu binafsi.”
Jumamosi, 17 Oktoba 2015
Home »
» P-square na Fally Ipupa Walitamani Kuwachukua Dancers wa Diamond
P-square na Fally Ipupa Walitamani Kuwachukua Dancers wa Diamond
Related Posts:
MBUNGE APIGWA RISASI MOGADISHU Kundi la al-shabab limesema limempiga risasi na kumuua mbunge mmoja maarufu mjini Mogadishu. Ahmed Mohamud Hayd aliuawa na watu waliokua ndani ya gari, wakati akitoka hoteli aliyofikia katika eneo linalolindwa vikali,… Read More
MAMBO YA SABASABA JIJINI DAR ES SALAAM Muonekano wa lango kuu la kuingia ndani ya banda la Makampuni ya MeTL Group kwenye maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar-es-salaam yaliyozinduliwa rasmi jana kwa kupewa baraka na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar … Read More
KAMPUNI YA TTCL YATWAA TUZO YA MAONESHO YA BIASHARA SABASABA Baadhi ya wafanyakazi wa kampuni ya TTCL wanaoshiriki Maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa wakipiga picha ya pamoja na tuzo yao mara baada ya kutwaa tuzo hiyo. Muonekano wa Banda la TTCL kwenye Maonesho ya 38 ya Biasha… Read More
MFARANSA AJA TANZANIA KUONYESHA UMAHIRI WA KUCHEZA MPIRA WA MTAANI Mwanamichezo kutoka nchini Ufaransa Sean Garnier (katikati) ambaye yuko nchini Tanzania kwa ziara maalum ya kimichezo akifafanua machache mbele ya waandishi wa habari mara baada ya kutambulishwa. Pembeni yake kulia ni Menej… Read More
AJARI YA GARI MAENEO YA POSTA IRINGA Ni ajali ambayo imehusisha gari mbili aina ya Suzuki Carry na Toyota inayomilikiwa na Asas, hata hivyo hakuna aliyejeruhiwa kwenye ajali hiyo.… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni