Dancers wa P-Square pamoja na msanii mkubwa wa nchini Congo, Fally Ipupa
walijaribu kumshawishi Diamond ili wafanye kazi ya pamoja na dancers
wake.
Akizungumza na Bongo5 jana mmoja wa dancers hao, Imma Platnumz, alisema
hali hiyo ya kufuatwa na dancers wa P-Square inaonyesha kazi
wanayoifanya inakubalika.
“Tulikuwa tupo Nigeria tunafanya show, dancers wa P-Square wakataka
kufanya kazi na sisi,” amesema. “Wakamfuta Diamond lakini Diamond
akakataa kwa sababu walikuwa wanataka tujoin halafu tufanye show pamoja
kitu ambacho hakiwezekani,” ameongeza.
“Pia tulikutana na Fally Ipupa, aliomba kufanya show na sisi lakini
management imeshindwa kutuachia kwa sababu tuna kazi zetu binafsi.”
Jumamosi, 17 Oktoba 2015
Home »
» P-square na Fally Ipupa Walitamani Kuwachukua Dancers wa Diamond
P-square na Fally Ipupa Walitamani Kuwachukua Dancers wa Diamond
Related Posts:
Wafanyabiashara 15 Waliokaidi Agizo la Rais Kukiona Cha Moto MAKAMPUNI 15 yaliyokwepa kodi baada ya kutorosha makontena yao, yamejisalimisha Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), lakini yameshindwa kulipa kodi ndani ya siku saba za msamaha wa Rais John Magufuli. Kodi inayodaiwa kwa… Read More
Wakati Wapinzani Wakipinga Uteuzi wa Waziri Sospeter Muhongo, Mwenyewe Aibuka na Kusema Haya Makubwa WAKATI wapinzani wakipinga uteuzi wa Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, waziri huyo amewasihi wananchi kumvumilia kidogo, ili baada ya muda mfupi atoe mpango wa maendeleo ya wizara hiyo, a… Read More
Rais Magufuli Amwaga Mabilioni Bodi ya Mikopo Elimu ya Juu..Shirikisho la Wanafunzi wa vyuo vikuu Tanzania Wasema Haya Shilingi billion 473 zimetengwa kwa ajili ya kutoa mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu nchini kwa mwaka huu ikilinganishwa na Shilingi bilioni 341 zilizotolewa mwaka jana ikiwa ni ongezeko la Tsh. bilioni 132 kat… Read More
Yaya Toure ametwaa tuzo ya mchezaji bora Afrika wa BBC 2015 na kuingia katika rekodi za Okocha na Kanu … Kiungo wa kimataifa wa Ivory Coast na klabu ya Manchester City ya Uingereza Yaya Toure alikuwa ni mmoj… Read More
Baada ya Nape Kula Shavu la Uwaziri wa Habari, Utamaduni, Wasanii na Michezo.. TFF yatoa Tamko Hili Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Malinzi amemtumia salamu za pongezi mbunge wa jimbo la Mtama, Nape Nnauye kufutia kuteuliwa kuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Wasanii na Michezo kat… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni