Model wa Kiume Anayejulikana kama @calisah Huku Instagram Ameibuka na
Tuhuma nzito iliyopo kwenye Tasnia hiyo ya Mitindo na Urembo ...
Ameandika Haya Kwenye Ukurasa Wake wa Instagram:
|Sikutaka kuandika chochote kuhusiana na tuzo za swahilifashionweek. Ila
naamini waliopo kwenye category zote ndio waliostahili kuwepo...
Na naamjni waliangalia vigezo vyao na kuhisi pengine wao ndio
waliostahili. Mtazamo wangu kwa upcoming models wote wanaotamani kesho
na kesho kutwa kuja kua model km mimi au mwingine yeyote. Tambueni hii
tasnia imeandamwa na machoko (gays) sasa basi...... hawa watu wanahisi
wanauwezo wa kukontro models wake kwa kukidhi haja zao. Na ikiwa utaenda
nao sawa bc watakutumia vizuri na watamtumia mtu mwingine yeyote mwenye
muonekano mzuri kwakua wao wanajua kua ili usongee mbele ni lazima uwakaze.
Na usipo wakaza utaanza kuona safari yako inaanza kua ngumu na
watatafuta njia yeyote ili wakuzime na ikiwemo kutaka kupandisha watu
juu ambao walikua hawapo kwenye hiyo level ili tu wakuoneshe kua wao
wanapower. Kuna ma_disigner wengi sana ktk hii tasnia yetu. Msibabaike
kwa vitisho na msikubali kuuza utu wenu ili mpate show au kuwepo kwenye
award yoyote, mkifanye hivyo mtatumiwa na kuachwa na kisha wao kwenda
kutafuta wengine, they always looking for what new. Sijakasirika
kutokuwepo kwenye tuzo za swahilifashionweek or nah kwani nilijua muda
mrefu kua siwezi kua huko na ndio maana hua sijishulishagi kwenda hata
kwenye cast, na sijawahi kwenda kwenye cast yoyote ya swahilifashionweek
tangu inaanza.
Cz I naw evrythng. ..... Models kama hamtakua makini mtaendea kutumiwa kwa kuafurahisha watu kila cku,
sitaki na wala sitataka kua kua kwenye award yoyote na wala hakuna quma
yeyote ninarmuogopa cz hakuna anaenipa hela ya kula kati yenu nyote,
taftani hao models wenye njaa.... wawakaze halafu ndio muwape tuzo zenu,
"Ushauri wangu kwa models wengine ambao wamekua_dissaponted.
Tulieniii..... tengenezeni portfolio zenu nzuri na mtafute kazi nje ya
nchi.... tuige mfano kwa @daxx_cruz @flavianamatata na wengine
waliotangulia... mkibaki hivyo hamtafkia kokote kwa kutegemea wakina
@martinkadindaofficial na kina @mustafahasanali they got nothing to help
u... Hakuna yeyote kati yao mwenye uwezo wakukuangusha ikiwa utajiweka
vizuri na kufokas soko la mbele. Msikubali kubaika na kuuza utu wako ili
mpate jina bila ya hela| Calisah
Ijumaa, 20 Novemba 2015
Home »
» Model Maarufu Bongo Aibua Shutuma Nzito Kwenye Tasnia ya Mitindo..Adai Tasnia Imejaa Machoko ili Usonge Mbele ni Lazima Uwakaze
Model Maarufu Bongo Aibua Shutuma Nzito Kwenye Tasnia ya Mitindo..Adai Tasnia Imejaa Machoko ili Usonge Mbele ni Lazima Uwakaze
Related Posts:
Single mpya ya Madee umeipata?inaitwa Ni sheedah isikilize hapa. Kwa mfumo wa muziki wa Madee huu anauita muziki wa Kwata ambao ni muunganiko wa Kwaito na Takeu ndio unautengeneza Kwata,single ya 3 kutoka kwake baada ya Pombe Yangu,Tema mate tuwachape na hii Nisheeeda.Bonyeza play kusiki… Read More
Dar es salaam Julai 02, 2014, Gari hili la Magereza lapigwa risasi likiwa na wafungwa ndani. Taarifa za awali zinadai kuwa Basi lililokuwa limebeba wafungwa limeshambuliwa kwa risasi na watu wasiojulikana eneo la Mayfair Mikocheni jijini Dar es salaam.Basi hili lilikuwa likitokea mahakama ya Mwanzo Kawe ambapo kwa… Read More
Malalamiko ya Shilole kuhusu Dj wa Club anayetaka kumdhulumu Laptop yake. Kutoka kwa Soudy Brown kupitia You heard ya leo Shilole amelalamika juu ya mtu anayedai kumuazima laptop yake lakini anaonekana ana dalili za kumdhulumu baada ya simu zake kuwa hapokei, amemtaja kwa jina la Dj Ommy Crazy am… Read More
Angalia magoli 10 bora ya kombe la dunia – Messi vs Van Persie nani katisha? Michuano ya kombe la dunia ipo kwenye hatua ya robo fainali ambayo itaanza rasmi Ijumaa hii. Michuano hii ya mwaka huu imekuwa na magoli mengi na bora katika historia ya michuano hii mikubwa kabisa katika soka.youngluvega.c… Read More
Jinsi Beyonce alivyobadilisha mistari ya wimbo wake jukwaani kufuatia matatizo ya ndoa yake. Wanandoa Beyonce na Jay Z wamekuwa wakipambana na uvumi kuwa sasa ndoa yao iko juu ya mawe kutokana na matatizo makubwa yanayoendelea tangu kusambaa kwa video ikimuonyesha dada wa Beyonce Solange akimshambulia Jay Z. Na s… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni