Model wa Kiume Anayejulikana kama @calisah Huku Instagram Ameibuka na
Tuhuma nzito iliyopo kwenye Tasnia hiyo ya Mitindo na Urembo ...
Ameandika Haya Kwenye Ukurasa Wake wa Instagram:
|Sikutaka kuandika chochote kuhusiana na tuzo za swahilifashionweek. Ila
naamini waliopo kwenye category zote ndio waliostahili kuwepo...
Na naamjni waliangalia vigezo vyao na kuhisi pengine wao ndio
waliostahili. Mtazamo wangu kwa upcoming models wote wanaotamani kesho
na kesho kutwa kuja kua model km mimi au mwingine yeyote. Tambueni hii
tasnia imeandamwa na machoko (gays) sasa basi...... hawa watu wanahisi
wanauwezo wa kukontro models wake kwa kukidhi haja zao. Na ikiwa utaenda
nao sawa bc watakutumia vizuri na watamtumia mtu mwingine yeyote mwenye
muonekano mzuri kwakua wao wanajua kua ili usongee mbele ni lazima uwakaze.
Na usipo wakaza utaanza kuona safari yako inaanza kua ngumu na
watatafuta njia yeyote ili wakuzime na ikiwemo kutaka kupandisha watu
juu ambao walikua hawapo kwenye hiyo level ili tu wakuoneshe kua wao
wanapower. Kuna ma_disigner wengi sana ktk hii tasnia yetu. Msibabaike
kwa vitisho na msikubali kuuza utu wenu ili mpate show au kuwepo kwenye
award yoyote, mkifanye hivyo mtatumiwa na kuachwa na kisha wao kwenda
kutafuta wengine, they always looking for what new. Sijakasirika
kutokuwepo kwenye tuzo za swahilifashionweek or nah kwani nilijua muda
mrefu kua siwezi kua huko na ndio maana hua sijishulishagi kwenda hata
kwenye cast, na sijawahi kwenda kwenye cast yoyote ya swahilifashionweek
tangu inaanza.
Cz I naw evrythng. ..... Models kama hamtakua makini mtaendea kutumiwa kwa kuafurahisha watu kila cku,
sitaki na wala sitataka kua kua kwenye award yoyote na wala hakuna quma
yeyote ninarmuogopa cz hakuna anaenipa hela ya kula kati yenu nyote,
taftani hao models wenye njaa.... wawakaze halafu ndio muwape tuzo zenu,
"Ushauri wangu kwa models wengine ambao wamekua_dissaponted.
Tulieniii..... tengenezeni portfolio zenu nzuri na mtafute kazi nje ya
nchi.... tuige mfano kwa @daxx_cruz @flavianamatata na wengine
waliotangulia... mkibaki hivyo hamtafkia kokote kwa kutegemea wakina
@martinkadindaofficial na kina @mustafahasanali they got nothing to help
u... Hakuna yeyote kati yao mwenye uwezo wakukuangusha ikiwa utajiweka
vizuri na kufokas soko la mbele. Msikubali kubaika na kuuza utu wako ili
mpate jina bila ya hela| Calisah
Ijumaa, 20 Novemba 2015
Home »
» Model Maarufu Bongo Aibua Shutuma Nzito Kwenye Tasnia ya Mitindo..Adai Tasnia Imejaa Machoko ili Usonge Mbele ni Lazima Uwakaze
Model Maarufu Bongo Aibua Shutuma Nzito Kwenye Tasnia ya Mitindo..Adai Tasnia Imejaa Machoko ili Usonge Mbele ni Lazima Uwakaze
Related Posts:
Kauli ya Raisi wa Simba kuhusu usajili wa Mnigeria Emeh Izechukwu
Siku chache baada ya dirisha la usajili kufunguliwa kumekuwepo na
tetesi za usajili kumhusu mshambuliaji wa kinigeria Emeh Izuchukwu
kurudi Msimbazi.
Lakini Rais wa Simba SC, Evans Elieza Aveva amesema kwamba hawana
naf… Read More
Louis van Gaal kayatoa ya moyoni…. anataka nani ashinde Ballon d’Or 2014? Ronaldo na Messi ?
Wanaowania tuzo ya Ballon d’Or 2014 walishatangazwa ambapo list hiyo pia inawahusisha mastaa wa soka kama Cristiano Ronaldo na Lionel Messi, huku list hiyo ikiwa pia na wachezaji wa Ujerumani iliyoshinda kombe la dunia… Read More
Kwa wale watumiaji wa mboga za majani Dar, hii imetokea jana kwenye habari
Huenda
wewe ni mmoja kati ya walaji wa mbogamboga za majani lakini hujui mboga
hizi zinalimwa katika mazingira gani… sasa baraza la mazingira Tanzania
NEMC limebaini kuwa wakulima wa mboga za majani Dar wamekuwa wakitumia… Read More
Baada ya kuandikwa amemuomba Diamond collabo, Jose Chameleone ametoa haya majibu
Ni
stori nyingi tunakutana nazo kwenye vyombo vya habari kila tunapoamka
na mara nyingi tunaamka nazo kwenye mitandao ya kijamii moja wapo ikiwa
hii ya mwimbaji wa Uganda Jose Chameleone kudaiwa kumuomba Diamond waf… Read More
Ni Diamond Platnumz kwenye XXL leo Novemba 21, isikilize hapa full interview…
Kupitia youngluvega.blogspot.com
siku ya juzi ulipata taarifa kuhusu msanii wa Bongo Fleva Diamond
Platnumz kuachia nyimbo yake mpya ambapo kwa mara ya kwanza ilionyeshwa
kupitia kituo cha MTV, na jana ikawa siku ra… Read More







0 comments:
Chapisha Maoni