Alhamisi, 3 Julai 2014

MBUNGE APIGWA RISASI MOGADISHU

Kundi la al-shabab limesema limempiga risasi na kumuua mbunge mmoja maarufu mjini Mogadishu.
Ahmed Mohamud Hayd aliuawa na watu waliokua ndani ya gari, wakati akitoka hoteli aliyofikia  katika eneo linalolindwa vikali, wamesema watu walioshuhudia. Mlinzi wake pia ameuawa na msaidizi mmoja kujeruhiwa. Mtoa habari wa youngluvega.blogspot.com Paul Luvega amesema mauaji ya bwana Hayd- ambae ni kamanda wa zamani wa kijeshi na pia ni waziri- yameshtusha wengi duniani kote.

Related Posts:

  • WAATHIRIWA WA MABOMU MBAGALA WALALAMIKA Nyumba iliyoharibiwa na bomu kama inavyoonekana. Mkutano kati ya waandishi habari na Waathirika wa Mabomu Mbagala, ambao umefanyika katika Viwanja vya Shule ya Msingi Mbagala Kuu ,jijini Dar-Es-Salaam mapema leo . Waathi… Read More
  • MFUNGWA AKUTWA NA SIMU MWILINI  Tatizo la kuingiza bidhaa kimagendo ndani ya magereza ya Kenya imekuwa kero kubwa kwa maafisa wa magereza. Kwa baadhi ya watu simu ya mkononi ni kifaa tu cha mawasIliano ilihali kwa wengine ni kifa ambacho kinaweza … Read More
  • Shearer asema Welbeck atang'ara Arsenal  Mshambuliaji wa Arsenal Danny Wellbeck kushoto  Mshambuliaji mpya wa kilabu ya Arsenal Danny Welbeck anaweza kufunga mabao 25 kwa msimu mmoja ,hayo ni matamshi ya aliyekuwa … Read More
  • WANACHAMA 100 WA BOKO HARAM WAUAWA   jeshi la Nigeria Jeshi la Nigeria linasema kuwa limewaua zaidi ya wanamgambo 100 wa kundi la Boko Haram kufuatia shambulizi la wapiganaji hao siku ya ijumaa kazkazini mashariki mwa jimbo la Borno. Vikosi vya ser… Read More
  • UGANDA YAHARIBU SHAMBULIZI LA KIGAIDI  Vikosi vya usalama nchini Uganda  Maafisa wa polisi nchini Uganda wameimarisha usalama katika maeneo mengi ya uma katika mji mkuu wa Kampala kufuatia kukamatwa kwa washukiwa kadhaa wa makundi ya kigaidi na vil… Read More

0 comments:

Chapisha Maoni