Taarifa ambayo imekua kama ya ghafla ni kuhusu Aliyekuwa mchezaji kiungo wa Yanga Athumani Iddi ‘Chuji’ kijiunga na timu ya Azam Fc na asubuhi ya leo ameonekana akiwa mzoezini Uwanja wa Azam Complex Chamazi, Dar es Salaam.
Azam ni timu yenye mafanikio makubwa sana katika ulimwengu wa soka kwa kipindi kifupi tangu ilipoanzishwa timu hiyo. Na mleta habari wako Tony Power.
Alhamisi, 3 Julai 2014
Home »
» Huyu hapa Mchezaji mwingine wa Yanga aliyehamia Azam Fc.
Huyu hapa Mchezaji mwingine wa Yanga aliyehamia Azam Fc.
Related Posts:
DADA WA DAIMOND ESMA PLATNUMZ AKIRI KUMPENDA SANA PETIT MAN AWAOMBA NYAKU NYAKU WASIMNYAKUE Dada wa Diamond ameamua kufunguka ya moyoni na kudai anampenda sana mume wake Petit Man ambae walitengana kwa muda kutokana na kutokuelewa hapa na pale lakini kwa sasa inaonekana wameweka mambo sawa...Ameandika haya… Read More
GAVANA BOT AFICHUA SIRI YA KILIO CHA FEDHA KUPOTEA MTAANI Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Profesa Benno Ndulu jana alitolea ufafanuzi hali ya kiuchumi nchini huku akieleza siri ya kilio kinachovuma cha fedha kupotea mtaani na nyingine zikidaiwa kufichwa.Akizungumza na waa… Read More
EDWARD LOWASSA AMPONGEZA RAISI JOHN POMBE MAGUFULI Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Tanzania na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, Edward Lowassa amempongeza Rais Magufuli kwa kuondoa urasimu katika taasisi za serikali na kusema hiyo itasaidia kurejesha utendaji kazi kwa ufan… Read More
NAMANGA: EDWARD LOWASSA ASIMAMISHWA NA WANANCHI WAMWELEZE UGUMU WA MAISHA Mh Edward Lowassa Mjumbe wa kamati kuu wa chama Cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA ) na Chama kikuu cha Upinzani TANZANIA na Waziri Mkuu mstaafu amesimamishwa na Wananchi wa Namanga Mpakani mwa Tanzania na Kenya … Read More
FAIZA ALLY AFUNGUKA KUMPENDA SUGU KUTOKA MOYONI..ADAI HAOGOPI KUCHEKWA KWA KIGEUGEU CHAKE Faiza Ally Amefunguka haya Katika ukurasa wake wa Instagram:Leo nimeamka akili yangu inawaza mapenzi tu... Mkatae mkubali mapenzi yana nafasi kubwa sana ktk maisha... Na mapenzi hayana baunsa...😅 Mimi nampenda sana… Read More
iko poa
JibuFuta