Mwanamichezo kutoka nchini Ufaransa Sean Garnier (katikati) ambaye yuko nchini Tanzania kwa ziara maalum ya kimichezo akifafanua machache mbele ya waandishi wa habari mara baada ya kutambulishwa. Pembeni yake kulia ni Meneja Masoko wa Kampuni ya Mohn’s John Ntuli na Mkurugenzi wa Masoko Kampuni ya Mohan’s Vijay Joshi.
Mwanamichezo kutoka nchini Ufaransa Sean Garnier akionyesha staili mbali mbali za kucheza mpira mbele ya waandishi wa habari. Namtayarishaji wako Nickson Luvega.
Alhamisi, 3 Julai 2014
Home »
» MFARANSA AJA TANZANIA KUONYESHA UMAHIRI WA KUCHEZA MPIRA WA MTAANI
MFARANSA AJA TANZANIA KUONYESHA UMAHIRI WA KUCHEZA MPIRA WA MTAANI
Related Posts:
Fahamu Maajabu ya Nanasi Ambayo Yatakuacha Kinywa Wazi..!!! BAADHI ya watu wamekuwa wakidai tunda la nanasi kuwa siyo salama kwa akina mama wajawazito, ingawa suala hili bado halijathibitishwa kitaalamu, kwani wapo wanaokula na haijawahi kuripotiwa madhara. Linatumika kama tunda… Read More
NINI CHA KUFANYA BAADA YA KUMALIZA KUFANYA MAPENZI Namshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunijaalia siha njema na pia kwa kunipa mwangaza wa kuandika hiki ninachokusudia. Pia niwashukuru wapenzi wasomaji wa safu hii ambao tumekuwa tukiwasiliana na kushauriana hili na lile ka… Read More
Laurence Masha Ajitoa Kugombea Urais TLS, Amuunga Mkono Tundu Lissu Mgombea Urais wa Chama cha Wanasheria nchini (TLS) Ndg. Laurence Masha amejitoa kwenye kinyang'anyiro hicho kwa hoja kuwa anaamini uwezo wa Lissu katika kuiongoza TLS.Amewaomba mawakili wote waliopanga kumpigia kura wampigie… Read More
Ndoto za Mbwana Samatta Kucheza na Mau United Zawekwa Pending Ndoto za mshambuliaji wa timu ya KRC Genk ya Ubelgiji Mtanzania Mbwana Samatta za kukanyaga katika dimba la Old Trafford la Manchester United zimesubirishwa baada ya matokeo ya droo ya robo fainali kombe la Europa kwenda k… Read More
Baada ya Video Inayodhaniwa ni ya Mwanae Kusambaa Ikimuonyesha Akifanya Mapenzi na Jibaba,Kajala Afunguka Haya Mapya..!!!1 Muigizaji wa Filamu Tanzania Kajala Masanja amewafungukia wanaomsema kwamba ameshindwa kumlea binti yake ' Paula' na kusema anatamani awaoneshe watu hao malezi anayompatia binti yake huyo. Akipiga story na eNewz,… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni