Mwanamichezo kutoka nchini Ufaransa Sean Garnier (katikati) ambaye yuko nchini Tanzania kwa ziara maalum ya kimichezo akifafanua machache mbele ya waandishi wa habari mara baada ya kutambulishwa. Pembeni yake kulia ni Meneja Masoko wa Kampuni ya Mohn’s John Ntuli na Mkurugenzi wa Masoko Kampuni ya Mohan’s Vijay Joshi.
Mwanamichezo kutoka nchini Ufaransa Sean Garnier akionyesha staili mbali mbali za kucheza mpira mbele ya waandishi wa habari. Namtayarishaji wako Nickson Luvega.
Alhamisi, 3 Julai 2014
Home »
» MFARANSA AJA TANZANIA KUONYESHA UMAHIRI WA KUCHEZA MPIRA WA MTAANI
MFARANSA AJA TANZANIA KUONYESHA UMAHIRI WA KUCHEZA MPIRA WA MTAANI
Related Posts:
RAISI KIKWETE AWAONYA WANAOPANGA KULINDA KURA VITUONI Rais Jakaya Kikwete amesema watu wanaopanga kubaki katika vituo vya kupigia kura baada ya kumaliza zoezi hilo kwa lengo la kulinda kura kunaashiria uvunjaji amani, hivyo serikali imejipanga kupambana na hali hiyo siku ya… Read More
ZARI NA DAIMOND ETI BASI TENA..BIASHARA KWISHNEY BIASHARA imekwisha! Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia ‘kapo’ ya staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ kudaiwa kuwa waliweka misingi ya penzi zito ili Diamond apate mt… Read More
JERRY SLAA AANDIKA HAYA KUHUSU AJALI YA HELIKOPTA YA CCM..KUMBE BABA YAKE NAYE YUMO KATIKA AJALI HIYO Jerry Silaaa Ameandika Haya Katika Ukurasa Wake wa Instagram @jerrysilaa - Baba yangu Capt.William Silaa akiwa na Mhe.Deo Filikunjombe na abiria wengine walipata matatizo ya engine ya helicopter 5Y-DKK jana jion… Read More
BAADHI YA VITUKO VILIVYOPO NDANI YA DAFTARI LA WAPIGA KURA..PICHA ZIMEPIGWA JANA WAKATI UKAWA WAKIONGEA NA WAANDISHI WA HABARI Huyu Kaandikishwa kwa jina la GGGHUH GGJGJHGHG GGHGGGHG Mwangalie vizuri mzungu na majina yake. Picha ya pembeni… Read More
LOWASA AIONYA TUME YA UCHAGUZI KWA KINACHOENDELEA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU OCT 25 Mgombea urais anaesubiri kuapishwa Edward Lowassa akiwa katika jimbo la Magu ameitaka tume ya uchaguzi kuwa makini kama kweli tume hiyo iko huru la sivyo wataiingiza nchi katika matatizo makubwa ambayo hayajawahi kutokea… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni