Hii ni mara ya pili kwa msanii Diamond Platnumz kualikwa ndani ya jumba la BBA akiwa na mwanamuziki kutoka Congo, Fally Ipupa
ambapo wameshiriki chakula cha mchana pamoja na washiriki waliobaki
kwenye Jumba hilo, safari hii wasanii hao wameingia kwa ajili ya
kuhamasisha ONE Campain ambayo inahusu kilimo, moja ya
Project zilizowahi kufanywa na Kampeni hiyo ni ile nyimbo ya Cocoa na
Chocolate ambayo wameshiriki pia mastaa wengine kibao kutoka Afrika.
Alhamisi, 27 Novemba 2014
Home »
» Picha: Diamond Platnumz na Fally Ipupa kwa mara nyingine tena kwenye Mjengo wa BBA
Picha: Diamond Platnumz na Fally Ipupa kwa mara nyingine tena kwenye Mjengo wa BBA
Related Posts:
Magazeti ya leo July 02 2014 … Read More
Kuhusu kukamatwa kwa watuhumiwa wa mauaji ya Sista aliyepigwa risasi Ubungo. Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam inawashikilia watuhumiwa wawili wa ujambazi ambao wanahusishwa na mauaji ya Mtawa wa Kanisa Katoliki Sista Clezensia Kapuli.Mbali na watuhumiwa hao pia watu wengine sita wanashi… Read More
Zawadi kutoka kwa Barakah Da Prince – Sio Fine Kutoka Mwanza anaitwa Barakah Da Prince Mwanzoni ulimsikia na wimbo wa Jichunge ambao video yake ilifanywa na Director Nisher kutoka Arusha,leo July 02 ameamua kuachia wimbo wake ambao kasema ni zawadi maalum kwa mashabiki … Read More
Taarifa kuhusu ndege iliyodondoka alfajiri ya July 02 Kenya. Imeripotiwa kuwa wanne waliokua kwenye Ndege iliyokua ikitokea uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta Nairobi, Kenya kuelekea Mogadishu, Somalia wamepoteza maisha baada ya Ndege hiyo kuanguka katika eneo la Utawala dakika chache … Read More
Full time ya USA vs Belgium – walichofanya Lukaku na De Bruyne Mechi za hatua ya 16 zimemalizika rasmi usiku wa kuamkia leo kwa mchezo kati ya Marekani dhidi ya Belgium.Katika mchezo huo uliokuwa mgumu kwa pande zote, mpaka dakika zote 90 zinamalizika hakukuwa na mtu aliyefanikiwa kuli… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni