Hii ni mara ya pili kwa msanii Diamond Platnumz kualikwa ndani ya jumba la BBA akiwa na mwanamuziki kutoka Congo, Fally Ipupa
ambapo wameshiriki chakula cha mchana pamoja na washiriki waliobaki
kwenye Jumba hilo, safari hii wasanii hao wameingia kwa ajili ya
kuhamasisha ONE Campain ambayo inahusu kilimo, moja ya
Project zilizowahi kufanywa na Kampeni hiyo ni ile nyimbo ya Cocoa na
Chocolate ambayo wameshiriki pia mastaa wengine kibao kutoka Afrika.
Alhamisi, 27 Novemba 2014
Home »
» Picha: Diamond Platnumz na Fally Ipupa kwa mara nyingine tena kwenye Mjengo wa BBA
Picha: Diamond Platnumz na Fally Ipupa kwa mara nyingine tena kwenye Mjengo wa BBA
Related Posts:
Madhara ya Chai na Kahawa Kiafya Kafeina ni nini?:1. Kafeina ni madawa ya kulevya kundi la ‘Stimulants drugs’.Utashangaa. Habari ndiyo hiyo. Hii ndiyo sababu kwa mtu aliyezoea kunywa chai hii kila siku au kahawa, siku asipokunywa kichwa humuuma, ni… Read More
Bibi Mbaroni Kwa Kumlisha Kinyesi Mjukuu Wake MWANZA: BIBI mmoja aliyejulikana kwa jina la Amina Hamisi (56) mkazi wa Mtaa wa Mahina, Kata ya Butimba, Jijini Mwanza, anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani humo baada ya kumlazimisha mjukuu wake Rehema Sadiki (7)… Read More
Mwana FA Aleta Msiba Mkubwa Kwa Kina Dada wa Mjini Kwa Huu Wimbo Wake Mpya...Dume Suruali ft. Vanessa Mdee Jana Mwana Fa ameachia ngoma yake ambayo ni mwiba mchungu kwa kina dada wa mjini wanaopenda na kuishi kwa kuombaomba. Ngoma inaitwa Dume Suruali.Nihonge nanunua nini? Kwa nini yani? Kwa kipi nsichokijua ina TV nda… Read More
Nimekuta Mafuta ya KY na Babcare Kwenye Mkoba wa Mchumba Wangu Ni jambo limenishangaza kifupi sina tabia ya kumfuatilia mpenzi wangu iwe kwenye simu au kwenye mambo mengi but hii ilinibidi tuu. Wakati mchumba wangu alipokuja kwangu weekend hii na kushinda siku tatu nikajit… Read More
Kajala: Sijawahi Kuwa na Mahusiano ya Kimapenzi na Paul Makonda Msanii wa filamu za kibongo, Kajala Masanja amevunja ukimya na kufunguka kuhusu maneno yaliyokuwa yanazunguka mwa muda mrefu mitaani yakimtaja kuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi kwa nyakati tofauti na Mkuu wa Mkoa wa… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni