Ni msanii mwingine hatari ambae anachipukia kwenye game Mkasulu Junior huku akisindikizwa ngoma yake kali inayokwenda kwa jina la tulichart ambayo amefanya kwa producer makini MARO.Hofu yangu mi kuwapoteza hawa wakongwe ambao ametoka nao mkoa mmoja,mkoa ambao unatamba katika game ya muziki Tanzania si mwingine nazungumzia Kigoma.Tumpokee kwa mikono miwili wapenzi wa bongo fleva ili alete ushindani ndani ya sanaa ya muziki Tanzania.
Download ngoma yake hapo chini au kwenye link Mkasulu - tulichart ili upate kuisikiliza.
http://www.hulkshare.com/youngluvega/unknown-artist-unknown-album-01-01-track-01-01
Alhamisi, 27 Novemba 2014
Home »
» NI MWINGINE TOKA KIGOMA,DIAMOND NA KIBA MJIPANGE KIJANA AMEKUJA NA SPIDI KALI
NI MWINGINE TOKA KIGOMA,DIAMOND NA KIBA MJIPANGE KIJANA AMEKUJA NA SPIDI KALI
Related Posts:
Breaking Rapper Geez Mabovu amefariki dunia usiku huu Kabla mwaka 2014 haujaisha idadi ya watu maarufu wa Tanzania waliotangulia mbele za haki imezidi kuongezeka na hii ni baada ya taarifa kutoka Iringa zilizoanza kusambaa kuanzia saa tatu usiku November 11 2014. Taari… Read More
Rais Goodluck kugombea tena urais Rais Goodluck amekuwa akikosolewa kwa mamna anavyoshughulikia swala la Boko Haram Rais wa Nigeria Goodluck Jonathan amethibitisha rasmi kuwa atagombea tena kiti hicho mwaka ujao. Katika sherehe ya kufana katika mji … Read More
Alichojibu Guardiola baada ya kuulizwa kama ataifundisha tena BarcelonaMiaka takribani mitatu baada kuacha kuifundisha klabu ya FC Barcelona, kocha Pep Guardiola amezungumzia kama ikitokea nafasi ya kurudi Nou Camp – atakubali kuifundisha timu hiyo. Akizungumza na gazeti la Mundo Depo… Read More
Soma kuhusu binti aliyeamua kuongeza titi la tatu katika mwili wake Kweli duniani kuna vituko na ndivyo ilivyotokea kwa binti mmoja mwenye umri wa miaka21 baada yakufanyiwa upasuaji wa kuongeza titi la tatu katika mwili wake. Binti huyo aliyejulikana kama Jasmine Tridevil alitumia pauni … Read More
Taarifa kuhusu ajali ya moto ulioteketeza shule ya msingi. Hii sio picha halisi ya ajali ya moto huo. Moto mkubwa umeteketeza majengo ya Shule ya msingi Filbert Bayi na kisha kusambaa na kuteketeza mabweni yote ya Wanafunzi pamoja na madarasa. Mwenyekiti wa shule hiyo Filbert … Read More
0 comments:
Chapisha Maoni