Ni msanii mwingine hatari ambae anachipukia kwenye game Mkasulu Junior huku akisindikizwa ngoma yake kali inayokwenda kwa jina la tulichart ambayo amefanya kwa producer makini MARO.Hofu yangu mi kuwapoteza hawa wakongwe ambao ametoka nao mkoa mmoja,mkoa ambao unatamba katika game ya muziki Tanzania si mwingine nazungumzia Kigoma.Tumpokee kwa mikono miwili wapenzi wa bongo fleva ili alete ushindani ndani ya sanaa ya muziki Tanzania.
Download ngoma yake hapo chini au kwenye link Mkasulu - tulichart ili upate kuisikiliza.
http://www.hulkshare.com/youngluvega/unknown-artist-unknown-album-01-01-track-01-01
Alhamisi, 27 Novemba 2014
Home »
» NI MWINGINE TOKA KIGOMA,DIAMOND NA KIBA MJIPANGE KIJANA AMEKUJA NA SPIDI KALI
NI MWINGINE TOKA KIGOMA,DIAMOND NA KIBA MJIPANGE KIJANA AMEKUJA NA SPIDI KALI
Related Posts:
Al Shabaab waua 36 Mandera,Kenya Wapiganaji wa Al Shabab&n… Read More
Man city wazidi kupanda Wachezaji wa Klabu ya Man city Kocha wa Manchester City Manuel Pellegrini amesema ushindi wa timu yake dhidi ya Southampton unadhi… Read More
Man U na Arsenal zawika,Chelsea yazuiwa Mchezaji wa chelsea Wiilian akikabiliana na mwenzake wa Sunderland Mkufunzi Gus Poyet aliihangaisha timu ya Chelsea na kuwajaribu viongozi hao wa Ligi kupi… Read More
FIFA:Madai mapya ya ufisadi yazuka Rais wa FIFA Sepp Blatter akimkabidhi rais wa Urusi Vladmir Putin Haki za kuandaa dimba la dunia la mwaka 2018 Madai zaidi yameibuka kuhusu ufisadi uliofanyika wakati wa shughuli ya kuwatafuta waandalizi wa … Read More
Obama na vurugu za Marekani &nb… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni