Adama Barrow ambaye ni mwanasiasa wa upinzani ambaye inaaminika ndie mshindi wa uchaguzi wa Urais Gambia ameapishwa kuwa Rais wa Gambia japokua uapisho wake umefanyika nje ya taifa hilo.
Uapisho umefanyika Senegal kwenye ubalozi wa Gambia ambapo raia wengi wa Gambia wanaofanya kazi Senegal wamehudhuria kuapishwa kwa Adama na hiyo imetokana na kugoma kuoachia madaraka kwa Rais Yahya Jameh na kutangaza hali ya hatari.
Alhamisi, 19 Januari 2017
Home »
» Gambia bado kwa moto, Adama Barrow kaapishiwa Urais akiwa nje ya nchi
Gambia bado kwa moto, Adama Barrow kaapishiwa Urais akiwa nje ya nchi
Related Posts:
MWANAMZIKI DIAMOND PLATNUMZ KUVUNJA REKODI YAKE MWENYEWE Kanichambua kama karanga mama. Chambua kama karangaaa Good morning mabibi na mabwana. Inatia moyo sana kuona msanii kutoka bongo land anaweka rekodi na kuivunja mwenyewe. Mpaka sasa hakuna msanii yeyote barani… Read More
STAA WA GENK KATAJWA KATIKA LIST YA KIKOSI BORA CHA WIKI EUROPA, MAN UNITED HAKUNA Usiku wa Septemba 15 2016 michuano ya Europa League ilichezwa barani Ulaya, klabu ya KRC Genk inayochezewa na mtanzania Mbwana Samatta ilicheza dhidi ya Rapid Wien ya Austr… Read More
Profesa Lipumba Apata Pigo, Baraza la Wadhamini CUF Lagoma Kumtambua, Lapanga Kufunga Jengo la Chama TAMKO LA BODI YA WADHAMINI YA THE CIVIC UNITED FRONT (CUF – CHAMA CHA WANANCHI) KUFUATIA KIKAO CHAKE KILICHOFANYIKA JANA, TAREHE 2 OKTOBA, 2016 Kwa kuzingatia hali iliojitokeza katika chama chetu cha THE CIVIC UN… Read More
ZITTO, KAFULILA WAMTWISHWA MZIGO WA ESCROW RAISI MAGUFULI Wakati Baraza la Usuluhishi la Benki ya Dunia likitoa hukumu ya kutaka Tanesco kuilipa Benki ya Standard Chartered-Hong Kong (SCB-HK) Sh320 bilioni, wanasiasa wawili walioibua sakata hilo bungeni wamechachamaa … Read More
Nyie ni Wanafiki Wema Sepetu- Sitaki Kusikia Team Wema, Niacheni na Maisha yangu Wengi Nyie ni Wanafiki Muigizaji maarufu nchini asiyekaukwa na scandal, wema Isaac sepetu, hivi karibuni ameibuka na kuwataka wote wanaotumia mitandao ya kijamii kumsapoti( team wema) kuanzia Leo waache kwani hawajui na wamekua waki… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni