Habari hiyo ilimchafua 2 face kwasababu yupo ndani ya ndoa na ndio ilikuwa habari kubwa ya magazine kwa kuwekwa mbele ya cover. Baada ya magazine kutoka 2 face alifungua mashtaka dhidi ya magazine hiyo kwa kudai fidia ya Naila millioni 100.
Baada ya magazine kushindwa kuthibitisha habari hiyo wametumia page moja nzima ya tolea jipya kumuomba msamaha 2 face. Japokuwa Idibia hajajibu hadharani kuhusu msamaha huo, taarifa zinasema kwamba amekubali maombi yao.
0 comments:
Chapisha Maoni