Wanaume wengi sana hua tunadanganywa na wenza wetu kua tumewaridhisha vya kutosha lakini ukweli hua hakuna kitu
Hua wanafanya kwa nia njema tu kwani wanaume hua tunajiskia amani sana
kuambiwa umemfikisha mtoto wa kike kwani ni jambo la kishujaa kama
trumph uchaguzi us
kwa uzoefu wangu,mwanamke aliefika kileleni hua anakua hivi bila hata kuuliza au kusubili kuambiwa
1.MWILI KUISHIWA NGUVU
mwanamke aliefika orgasm hua anaishiwa nguvu mwili baada ya safari ndefu
ya mikito,ukiona baada ya sex msichana anauwezo wa kufanya kazi nzito
nzito jua umefanya kazi butu sio mpaka uambiwe
2.KUPITIWA NA USINGIZI BAADA YA MECHI
ukiona ka beby kako kamepitiwa na usingiz gafla baada ya sex jua kaz imeenda sawia,ikumbukwe kufika orgasm ni mechanism inzito,
3.MUSCULAR CONTRACTION
mwanamke anaekalibia/ aliefika kileleni misuli hubana na kuachia ,hii ni
kwa mwili mzima hadi kwenye vagina,hilitendo pia hufuatiwa na mwili
kutoa jasho.
ukiona ivo ujue kazi zimeenda sawia
Wakuu huu ni uzoefu wangu niliopata nikiwa field,
Ukiona mpenz wako hajaonyesha izo dalili muhimu basi jua hakuna kitu
Kama unajua dalili zingine zile kuu na muhimu tiririka
Wazee Pigeni kazi tutokomeze fake orgasm tunazodanganywa na kupewa kiburi ili tutoe chapaa
Ijumaa, 18 Novemba 2016
Home »
» Dalili Muhimu za Mwanamke Aliefika Kileleni Mkiwa Faragha.
Dalili Muhimu za Mwanamke Aliefika Kileleni Mkiwa Faragha.
Related Posts:
Zitto Kabwe Amtetea Prof Mohongo Kwa Kuchaguliwa Kuwa Waziri, Adai Mwenye Ushahidi Dhidi ya Muhongo Aende Mahakamani Waliosema Ufisadi ni Mfumo ndio wanasema leo Prof. Muhongo hafai kuwa Waziri sababu ya Tegeta Escrow. Sijui lini mahakama ilimhukumu Muhongo! Sijui lini Muhongo kawa Mfumo. Tujifunze kuweka akiba. Prof. Sospeter Muhongo… Read More
Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Alhamisi Ya Disemba 17, Siri Kung'oka Hoseah wa Takururu Hii Hapa Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Alhamisi Ya Disemba 17, Siri Kung'oka Hoseah wa Takururu Hii Hapa … Read More
Mdahalo Wa Tahliso Kujadili Hotuba ya Magufuli Waingia Dosari Baada Ya Wanafunzi wa UDSM Kuupinga WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye jana alinusuru kuvunjika kwa mdahalo ulioandaliwa na Jumuiya ya Taasisi za Elimu ya Juu (TAHLISO), baada ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Sa… Read More
Chadema Bado Hawajakubali Yaishe...Waapa Kumshughulikia Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo Bungeni Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeahidi kumshughulikia Bungeni, Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo kikidai kuwa bado hajasafishwa kwenye kashfa ya akaunti ya Escrow. Ahadi hiyo il… Read More
Waziri Atoa Mkwara Jeshi la Polisi Atoa Siku Mbili Aletewe Taarifa Kuhusu Udhibiti wa Madawa ya Kulevya na Watu Kubambikiwa Kesi Waziri wa mambo ya ndani Charles Kitwanga amefanya ziara ya ghafla leo Dec 16 2015 katika makambi mbalimbali ya Jeshi la Polisi Dar es salaam na kutoa amri kwa viongozi wa jeshi hilo siku mbili za kuhakikisha amepata ta… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni