Ingawa Nafasi yake katika muziki wa Bongo Fleva ilikuwa ikipanda taratibu kulingana na aina ya muziki aliokuwa akiumba,single iliyomtambulisha zaidi kwenye muziki wa Bongo Fleva inaitwa Kua uone ambayo alimshirikisha Ally Kiba.
Mchana wa jana imetoka taarifa kuwa amefariki dunia ambapo kwa zaidi ya mwezi mmoja alikua amelazwa kwenye hospitali ya Nyangao iliyopo Mkoani Lindi ambako ndiko nyumbani kwao.
Mipango ya mazishi imepangwa ambapo atazikwa kesho huko huko Lindi,Rest In Peace Side Boy,moja ya post zake kwenye mtandao wa Facebook aliandika ‘habari za usiku huu wapendwa!dua zenu zinahitajika coz hali yangu c poa kabisa’
Hii ni post nyingine kati ya post zake za mwishomwisho, mtoto Nasra ni yule aliekua amefichwa kwenye box kwa miaka minne
0 comments:
Chapisha Maoni