Weekend iliyopita imeisha kwa habari za 
kuisha kwa penzi la Chris Brown na Karrueche, halafu story kuibwa ya 
pili ikawa yale madongo ambayo kila mmoja akimtuhumu mwenzake kwamba 
 ndiye sababu ya mapenzi yao kuisha.
Imekuwa ni kama mchezo wa kuigiza kwa 
wawili hao kuachana na kurudiana, lakini kupitia ukurasa wake wa 
Instagram Chris ameandika ujumbe wa kumuomba radhi Karrueche huku 
akisema hajali watu wanamchukuliaje.
Ujumbe huo unasomeka hivi; ” Being 
young and dumb is one of my strong suits and emotional at best. I love 
hard and react impulsively when I’m hurt at times. I don’t think social 
media is a place to air out or hash out personal problems and a nigga 
feel hella WACK for doing it. So I AM APOLOGIZING I live in a glass 
house and the same sh*t that makes me great also is my curse. Everybody 
know I love that girl. I don’t care how my image my look to the public 
because I’m still gonna be the best at what I do. I just want baby girl 
to know I apologize!
Ujumbe huo umewekwa na picha hii






 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
0 comments:
Chapisha Maoni