Taasisi ya mwalimu Nyerere imeitaka tume ya uchaguzi ya Zanzibar ZEC
kufanya kazi kwa kuzingatia katiba ya nchi na sheria na sio kutanguliza
mbele maslahi binafsi ya kisiasa hatua ambayo inaweza kusababisha
machafuko na umwagaji wa damu.
Akizungumza na vyombo vya habari mjini Musoma, mkurugenzi mtendaji wa
taasisi hiyo mzee Joseph Butiku, amesema amekerwa na tabia ya ZEC
kusitisha uchaguzi na kushindwa kuwatangazia wananchi kiongozi wao
waliomchagua, huku ikishindwa kuheshimu matakwa ya wananchi waliopiga
kura katika visiwa vya Zanzibar.
Aidha mzee Butiku amewataka wananchi wa Zanzibar kutokubali tena kurudia
upigaji wa kura hadi hapo yatakapotolewa maelezo ya kuridhisha na
wahusika waliosababisha uchaguzi huo kufutwa pia waweze kuchukuliwa
hatua kali za kisheria
Kwa sababu hiyo amewataka viongozi kuheshimu sheria na katiba ya nchi na
kwamba chama ambacho kinadhani kimeshindwa katika uchaguzi huo kikubali
matokeo badala ya kuifanya zanzibar ni mali ya chama fulani pekeee.
Jumapili, 1 Novemba 2015
Home »
» BUTIKU: WAZANZIBAR MSIKUBALI KURUDIA UCHAGUZI
BUTIKU: WAZANZIBAR MSIKUBALI KURUDIA UCHAGUZI
Related Posts:
MIMI SISHINDANI NA MTU YEYOTE - BARAKA THE PRINCE Msanii Baraka The Prince ambaye ameachia kazi yake mpya yenye jina la 'Nisamehe' amefunguka na kusema kuwa katika muziki hakuna mtu ambaye anashindana naye kwa kuwa yeye anasimama mwenyewe na aina ya muziki anaofany… Read More
UKIFANYA HAYA MAMBO MAPENZI YATANOGA KWA ASILIMIA 90 Wanaume wengi hupuuzia hili, huona kama ni jambo lisilo na maana sana kwao na wenzi wao. Hali ni tofauti sana kwa wanawake ambao hupenda kuwasifia wanaume zao. Nitakupa mifano miwili ya namna wanandoa wa jinsia mbil… Read More
KINYWAJI KILICHOPEWA JINA ‘Poteza Ubikira’ CHAZUA GUMZO CHINA Kinywaji maarufu kwa jina ”blackout in a can’ nchini Marekani kimeingia nchini China na kuzua gumzo kwa watumiaji wa kinywa hicho.Four Loko , ni kinywaji kilicho na ladha ya matunda na asilimia 12 ya pombe kilitumik… Read More
WABUNGE WOTE WA CUF WAMKATAA PROFESA IBRAHIM LIPUMBA Wabunge wote wa Chama cha Wananchi (CUF) wametangaza rasmi kutomtambua aliyekuwa Mwenyekiti wa chama hicho, Profesa Ibrahim Lipumba. Wamemtaka Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi kutomkumba… Read More
KUTOKA BUNGENI: RAISI MAGUFULI KUHAMIA DODOMA RASMIMWAKA 2020 Leo Septemba 16, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisoma hotuba ya kuahirisha mkutano wa nne kwa Bunge la 11 uliodumu kwa muda wa wiki mbili, amesoma ratiba ya serikali kuhamia Dodoma.“Ili kufanikisha azma ya Serikali k… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni