Mzee yamemkuta leo pale kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee leo.Ameokolewa
na Mh Membe ambaye amemtoa kwa gari lake(pichani).Lakini pia Mwandishi
Sam Maela wa ITV leo mchana kapata mshike mshike wa kushiba pale
Lumumba,ilibidi aokolewa na polisi.Jamani haste haste.Kuna maisha baada
ya Uchaguzi.Lile lilikuwa gemu tu.Mwacheni huyo Mzee,
SOURCE - JAMII FORUMS
Jumapili, 1 Novemba 2015
Home »
» Mengi Azomewa Diamond Jubilee, Aokolewa na Membe
Mengi Azomewa Diamond Jubilee, Aokolewa na Membe
Related Posts:
SERIKALI YAANZA MAZUNGUMZO YA KUWAOKOA MADEREVA 12 WALIOTEKWA CONGO Serikali imeingilia kati na kuanza mazungumzo ya kuwaokoa madereva 12 wa malori kutoka Tanzania waliotekwa nchini Kongo (DRC) na kundi la waasi wa Mai Mai.loritanzaniaWaasi hao mbali na kuwateka madereva hao wametoa saa 24… Read More
FIESTA YARUDISHA PENZI LA SHILOLE NA NUH MZIWANDA Wapenda Kunyapia nyapia Udaku wa Mastaa wa Bongo wameachwa njia panda baada ya mastaa Nuh Mziwanda na Shilole kuanza tena kuwa karibu kwa kupostiana kwenye page zao za mitandaoni, Wawili hao ambao siku za njuma wali… Read More
RUBBY ATANGAZA KUJISIMAMIA MWENYEWE BAADA YA KUTEMANA NA CLOUDS FM, ADAI SASA NI YEYE NA MASHABIKI WAKE Msanii wa Bongo Fleva, mwanadada Ruby ambaye amewahi kutamba na wimbo wake wa “Na Yule’ amefunguka na kusema kwa sasa amebadili uongozi wake na kujisimamia yeye kwani anataka kusimama yeye pamoja na mashabiki zake.R… Read More
UKIFANYA HAYA MAMBO MAPENZI YATANOGA KWA ASILIMIA 90 Wanaume wengi hupuuzia hili, huona kama ni jambo lisilo na maana sana kwao na wenzi wao. Hali ni tofauti sana kwa wanawake ambao hupenda kuwasifia wanaume zao. Nitakupa mifano miwili ya namna wanandoa wa jinsia mbil… Read More
KINYWAJI KILICHOPEWA JINA ‘Poteza Ubikira’ CHAZUA GUMZO CHINA Kinywaji maarufu kwa jina ”blackout in a can’ nchini Marekani kimeingia nchini China na kuzua gumzo kwa watumiaji wa kinywa hicho.Four Loko , ni kinywaji kilicho na ladha ya matunda na asilimia 12 ya pombe kilitumik… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni