Jumapili, 1 Novemba 2015

Mengi Azomewa Diamond Jubilee, Aokolewa na Membe

Mzee yamemkuta leo pale kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee leo.Ameokolewa na Mh Membe ambaye amemtoa kwa gari lake(pichani).Lakini pia Mwandishi Sam Maela wa ITV leo mchana kapata mshike mshike wa kushiba pale Lumumba,ilibidi aokolewa na polisi.Jamani haste haste.Kuna maisha baada ya Uchaguzi.Lile lilikuwa gemu tu.Mwacheni huyo Mzee,
 SOURCE - JAMII FORUMS

Related Posts:

  • Mtoto wa kizazi cha 'msaada' azaliwa  Womb Transplant baby  Mwanamke mmoja nchini Sweden amejifungua mtoto kutokana na kizazi alichowekewa kupitia upasuaji. Mwanamke huyo mwenye umri wa miaka 36 alizaliwa bila kizazi kabla ya kuwekewa kizazi cha m… Read More
  • Tanzania vs Uganda katika Kickboxing. Mtanzania anayefanya vizuri kwenye mchezo wa kickboxing Emmanuel Shija hivi karibuni ataipeperusha bendera ya Tanzania nchini Uganda wakati atakapopanda ulingoni kupambana na  Mganda Moses Golola katika pambano la … Read More
  • Wanajeshi 9 wa Umoja wa Mataifa wauawa  Mwanajeshi wa Umoja wa Matifa mali  Ujumbe wa Umoja wa mataifa nchini Mali unasema kuwa watu waliokuwa na silaha ambao walikuwa wakitumia pikipiki wamewaua walinda amani tisa wa Umoja wa Mataifa kaskazini ma… Read More
  • HATMA YA AFCON 2015 ? Shirikisho la soka barani afrika CAF limewaondoa mashindanoni waliokuwa wenyeji wa michuano ya AFCON Morocco baada ya taifa hilo kushikilia msimamo wake wa kutokuwa tayari kuandaa michuano ya AFCON mwaka 2015 kutokana na… Read More
  • Je Amisi Tambwe atacheza leo! Simba watoa majibu hapa MSHAMBULIAJI wa Simba SC, Amisi Tambwe juzi alizua hofu kwa kocha Patrick Phiri na rais wa klabu hiyo, Evans Aveva baada ya kuumia mazoezi Uwanja wa Boko , Dar es Salaam. Tambwe aliumia goti baada ya kugongana na beki Abdi… Read More

0 comments:

Chapisha Maoni