Mzee yamemkuta leo pale kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee leo.Ameokolewa
na Mh Membe ambaye amemtoa kwa gari lake(pichani).Lakini pia Mwandishi
Sam Maela wa ITV leo mchana kapata mshike mshike wa kushiba pale
Lumumba,ilibidi aokolewa na polisi.Jamani haste haste.Kuna maisha baada
ya Uchaguzi.Lile lilikuwa gemu tu.Mwacheni huyo Mzee,
SOURCE - JAMII FORUMS
Jumapili, 1 Novemba 2015
Home »
» Mengi Azomewa Diamond Jubilee, Aokolewa na Membe
Mengi Azomewa Diamond Jubilee, Aokolewa na Membe
Related Posts:
IRELAND YAFANYA MAAMUZI KUHUSIANA NA NDOA ZA JINSIA MOJAwapiga kura wajitokeza kwa wingi nchini Ireland ili kuamua kuhusu kuhalalishwa kwa ndoa za watu wa jinsia moja. Wapiga kura wengi wameripotiwa kujitokeza kwenye kura ya maoni nchini Ireland ya kuamua iwapo ndoa za watu w… Read More
DAVID LUIZ:'NIMEWAHI KUSHIRIKI NGONO'David Luiz kushoto Mlinzi wa klabu ya Paris St-Germain David Luiz amevishtumu vyombo vya habari kwa kukosa heshima baada ya kukanusha madai kwamba yeye hajawahi kushiriki katika tendo la ngono. Ripoti hizo zilianz… Read More
Hivi ndivyo ilivyokuwa kwenye #TuzozaWatu2015.. Pichaz na list yote ya washindi iko hapa Kilichosubiriwa kwa hamu na watu wengi ni tukio zima la Tuzo za Watu ambapo fainali yake ilikuwa jana MAY 22 2015.. Kutokana na utaratibu uliowekwa washiriki wote waliteuliwa na watu na baadae mchakato ukakamilika … Read More
REAL MADRID YAWASILIANA NA BENITEZRafael Benitez Mkufunzi wa kilabu ya Napoli Rafael Benitez ameorodheshwa miongoni mwa makocha wataokumrithi Carlo Ancelotti katika kilabu ya Real Madrid. Ancelotti anatarajiwa na wengi kuachana na kilabu hiyo baada ya mec… Read More
ZAIDI YA WATU 40 WAUAWA MEXICOPolisi nchini Mexico Takriban watu 43 wameuawa wakati wa ufyatulianaji wa risasi katika jimbo la Michoacan nchini mexico kati ya vikosi vya usalama na genge moja lenye silaha. Mapigano hayo yalianza wakati magari ya poli… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni