Ijumaa, 13 Novemba 2015
Home »
» Soma Story ya Kusikitisha ya Huyu Dada, Mume Wake Anamlazimisha Kufanya Mapenzi ya Watu Watatu na Amegundua Kuwa ni Shoga Pia
Soma Story ya Kusikitisha ya Huyu Dada, Mume Wake Anamlazimisha Kufanya Mapenzi ya Watu Watatu na Amegundua Kuwa ni Shoga Pia
Kutoka Instagram:
MMH DUNIA HII INA MAMBO KWAKWEL.COZZ LEO NIKO KI EMOTION ZAID EMBU NGOJA NI SHARE NA NYIE BAADHI YA STORY NAZO POKEA INBOX...kuna dada nilikuwa naongeaga nae ila kutokana na sababu zangu nisingependa mtaja jina...naomba nikuletee Story yake ya kusikitisha Hapa Chini:
.
Masta hata ukinipost kweny wall yako mungu nishaidi ila tangu nimekujua umekuwa mkarimu sana kwangu ndio maana leo hii nimeamua kukufungukia ili unisaodie tu kimawazo maana kadri siku zinavyo zidi kwenda ndivyo nazid changanyikiwa...
Kama nilivyo kwambia nimeolewa huu mwaka wa 3 mimi na mume wang tumejuana huu unaenda mwaka wa 5,masta ilianza kama utan baada nilipo jifungua mtoto wang wa kwanza alipo fikisha miez 8 skumoja mume wng alinitamkia habar ya ku invite 3 person in our bedroom nilijua utani so tukajibizana na alipoona sikupenda idea akaanza jichekesha na kusema he was joking yakaisha...ila baada ya miez kadhaa aliirudia hii mada tena ila this time alijipanga na kuni Converse sana yan alinipa darasa la uwakika nikajikuta nakubali,masta kesho yake kwel akaja na mdada mashallah mpaka nyumban chumban kwangu kikatokea cha kutokea ila baada ya hapo nilijiona mjinga sana nililia siku nzima but nilikuwa dhaifu cz usiku wake baby akanileta pochi jipya la prada nikaridhika...
Mchezo ulikuwa ni huo kwa takriban kama miez 6 nahis nilijikuta nazoea mpa nilipo jikuta nina mimba, for his respect mwenyewe alinitamkia kuwa we need to stop..ila skumoja rafiki yake alikuja home amelewa na walikuwa wamegombana baada ya kutapeliana na alianza kumcharukia huku akimwita GAY sikutilia maanan cz nilijua ni mikwaruzano tu na pombe masta baada ya kujifungua mtoto wangu wa 2 in 6 month ananitamkia tena huo mchezo this time nilikuwa mkali coz tayari mtoto wang wa 1 alishaanza kuongea na sikutaka kaone huo ujinga pili habari zilikuwa zinasambaa kuwa mimi na mume wang tunahuo mchezo..basi Masta nyumba ikaanza waka moto kila siku kelele iskumoja alinitamkia kuwa either i like it or not ataendelea kufanya coz hiyo ndio furaha yake...
Wakat nimerudi Tanzania kwaajiri ya holiday siku ya kurudi marekan tulichelewa ndege Transit na coz hatukuwa na simu ya mawasiliano mimi na wanangu tulirudi home kwa kumshtukia baada ya kuingia ndani nilimkuta mume wangu akifanya mapenzi na watu wawili mmoja alikuwa mwanamke yule wa mwanzo ambae alimleta first time mwengine mwanaume, that was the most painful thing nimewahi shuudia Masta nilihisi moyo umestop nilianguka chini huku nikiwa nimembabe mtoto wangu mdogo kifuani...nimekuja stuka niko hospital.
Kinacho niuma zaidi dada yangu baada ya kutoka hospital nilikuwa tayari kumsamehe mume wangu kama angeliniomba msamah lakini haikuwa hivyo baada ya Two Montn ananiambia nichague moja NIENDELEE KUWA NA YEYE NA NIKUBALI MATAKWA YAKE YA KUINGIZA WATU NDANI AU TUACHANE...Masta nilikosa jibU na kujikuta natoa machozi aliniambia kuwa ananipa muda nijifikilie lakini sasa masta maneno ya watu kusema kuwa ni gay yalikuwa ya kizidi ila sababu sikuwa na uelewa mzuri wa haya mambo nilikuwa nikibisha coz mume wang alikuwa na uwezo wa kunibebesha mimba...mpaka siku nyingine tena nilimfumania kweny gari lake akiwa na mwanaume mwenzie wakifanya uchafu wao...
Dadangu roho inaniuma na siku nyingi sana nilikuwa natafuta njia ya kutoa hili dukuduku moyon coz sijawah muelezea mtu masta naogopa walimwengu watanicheka coz always huwa wananisema naringa na kujifanya kuwa nina pesa kisa navaa vitu vya gharama...baada ya hilo tukia mume wangu kwa mdomo wake alinitamkia kuwa yeye anai enjoy kufanya mapenz na wanaume pamoja na wanawake at the same time so kama mke anataka nimsapoti...hivi navyo kwambia atanaka divorce kisa nimekataa kukubaliana na yeye na kuhusu watoto he doesnt seems to care masta wanangu bado wadogo na wakiume wameshazoea kila siku daddy daddy daddy coz ana waspoil mume ananambia nikiachana nae hataki kujua anything about me na watoto atakuwa anatuma tu pesa...shida sio pesa masta NISAIDIE NIFANYE NINI NAHISI NAKUWA KICHAA SOON...naogopa kuwaadisia ndugu na rafiki zangu Masta
.
.
MWISHO...DUH EMBU TUMSAIDIE HUYU DADA KIMAWAZO
Related Posts:
Alichofanya Kapteni Komba kwa familia yake siku mbili kabla ya kifo chake Kifo cha Mbunge wa Mbinga Magharibi na Mjumbe wa Halmashauri kuu ya taifa CCM kapteni John Komba ambaye amefariki dunia akiwa hospital ya TMJ February 28 kilitanguliwa na kitu ambacho kinadhaniwa kama kilikua ni … Read More
Nimekuwekea matokeo ya EPL hapa, yakiwemo ya Man UTD vs Sunderland Baada ya kuwa na mfululizo wa matokeo yasiyo ya kuridhisha katika ligi kuu ya England tangu kuanza kwa mwaka 2015, klabu ya Manchester United leo iliwakaribisha kwenye uwanja wao wa nyumbani Sunderland. Mchezo huo wa ra… Read More
SHAMBULIZI GARISSA:SERIKALI YAJITETEAWilliam Ruto Serikali ya Kenya imeitetea idara yake ya usalama kufuatia shutma kwamba ilichelewa kukabiliana na shambulio la chuo kikuu cha Garissa ambapo takriban watu 150 waliuawa. Shambulio hilo lilisitishwa baad… Read More
Waziri MEMBE amesema huu ni mchango wa Marehemu Kapteni KOMBA kwenye mgogoro wa Ziwa Nyasa Leo ni siku ambayo mwili wa Marehemu Kapteni John Damian Komba umepumzishwa katika makaburi ya Kijijini kwao Lituhi, Mbinga mkoa wa Ruvuma. Leo kwenye kipindi cha Power Breakfast Clouds FM, alisikika Waziri wa Ma… Read More
Chelsea yashinda huku Costa akijeruhiwaDiego Costa akianguka katikakati ya wachezaji wa stoke city Mkufunzi wa kilabu ya Chelsea Jose Mourinho amesema kuwa ilikuwa hatari kumchezesha mshambuliaji Diego Costa baada ya kujeruhiwa wakati wa ushindi wa Chelsea wa… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni