Mke wa Dr Slaa Amejibishana na Wadau Katika page yake ya Facebook na
kujikuta akijibu tuhuma zilizozagaa jana kwenye magazeti kuwa aliomba
mkopo wa sh mil 300 kwa kutumia nyumba ya Dr Slaa...
Soma Majibisha yao hapa;
Bryton Myrium Chadema
"Mama ni kweli ulitumia nyumba ya dr slaa kumuombea mkopo jamaa mwingine sory kama nimekosea kuulliza"
Josephine Mushumbusi
"Sandra Bahati mbaya sana huwa siamini taarifa za magazeti,hivyo huwa
hazipotezi mda Wangu sana. Pili hiyo ni taarifa hakuna mahala
wamewasiliana na mimi.
Tusubiri,maana najua wapi pa kuwauliza taarifa hizo walizitoa wapi.
Ufupi bado mtu WA kuniumiza hajazaliwa"
Aggrey Charles
"Mama Josephine Mushumbusi kwa nafasi yako nadhani ugeiga hata zuri moja
la Lowassa la UKIMYA. Kwani ni lazima ujibu kila kitu mama? Na ukijibu
utajibu mangapi? Ushauri wangu kwako tulia kimya ujisomee tu huku
mitandaoni siku zisogee. Mimi ni moja ya wafuasi wazuri wa Mh Dr W. SLAA
ila si mama (yaani wewe) lakini heshima yenu ipo kwangu siku zote.
UKIMYA wako utakuongezea kitu kuliko huku kuja kulumbana na vijana wenye
njaa ya kuona kuna kitu kipya kinazaliwa katika nchi. Watu wenye njaa
na kiu ya mabadiliko halisi hugombana na yeyote wanayemwona kama
kikwazo. Ni Ushauri tu mama".
Josephine Mushumbusi
"Sometimes it is too much.
Nimekuawa kimya sana.
Na nafikiri ni Leo tu nimeonekana hapa.
Lowasa Hana ukimya naomba tusifananishwe"
Ijumaa, 5 Februari 2016
Home »
» Mke wa Dr Slaa Josephine Mushumbusi Ajibu Kuhusu Tuhuma za Kuomba Mkopo Bank Kwa Kutumia Nyumba ya Slaa
Mke wa Dr Slaa Josephine Mushumbusi Ajibu Kuhusu Tuhuma za Kuomba Mkopo Bank Kwa Kutumia Nyumba ya Slaa
Related Posts:
Jamani Nitoke Nnje ya Ndoa..?Nahitaji Ushauri Wenu...!!! Nimevumilia majaribu ya ndoa yamenishinda, ninaishi na mke wangu lakini hatuna furaha yaani kama tumelazimishwa! Hakuna kabisa furaha, tumejaribu kukaa chini na kujadili mara nyingi sana lakini huwa anadai haku… Read More
Ukweli Mchungu..Uwepo wa WCB; Bongo Fleva Inachungulia Kaburi...!!! Hayo yote nayasema kuhusu nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Adul Juma au maarufu zaidi kwa jina la Diamond. Siku za hivi karibuni, Diamond ameanzisha zoezi la kuwachukua wanamuziki na kuwaingiza kwenye kundi lake maarufu s… Read More
Ishara Za Kujua Iwapo Umemkuna Mwanamke Wako Vizuri Kunako 6 X 6..!!! Leo acha niwape dondoo kadhaa kuhusu namna ya kujua kama umemkuna ipasavyo mwanamke wakati wa tendo la ndoa. 1.Kufinya shuka kwa nguvu au kitanda kwa nguvu wakati unampa mambo ni ishara mojawapo ya kuonye… Read More
Kama Umeteseka kwa Muda Mrefu,Hizi Hapa Mbinu za Kuamsha Nguvu za Kiume Kwa Muda Mrefu..!!!! Suala la nguvu za kiume kwa sasa limeshakuwa ishu kubwa kwa vijana wengi wa sasa,kwa utafiti uliofanywa mwaka 2013 na shirika la Afya duniani unaonesha kuwa zaidi ya asilimia themanini ya wanawake hawatoshelezwi kimap… Read More
Exclusive..Baada ya Kutemwa Yanga,Pluijm Kutua Taifa Stars,Mpango Mzima Uko Hivi..!!! UNAAMBIWA ukiona cha nini mwenzako anasema nitakipata lini, kwani baada ya Yanga kuamua kumtema kocha wao za zamani, Hans van der Pluijm, nyota ya Mholanzi huyo imezidi kung’aa na sasa ana ofa mbalimbali kutoka ndani … Read More
0 comments:
Chapisha Maoni