Ripoti ya siri ya Umoja wa Mataifa(UN): Rwanda ilitoa mafunzo ya kijeshi
kwa wakimbizi wa Burundi wamwondoe Nkurunziza madarakani.
Burundi imekabiliwa na machafuko tangu mwezi Aprili 2015, wakati Rais
Pierre Nkurunziza alipotangaza kwamba atawania muhula wa tatu wa urais,
ambao alishinda.
Akijibu madai hayo, waziri wa maswala ya kigeni nchini Rwanda Louise
Mushikiwabo amesema kuwa mgogoro huo wa Burundi ni mzito na wa kujitakia
miongoni mwa viongozi wa Taifa hilo na kwamba jamii ya kimataifa inafaa
kuuangazia na kuwacha kutafuta sababu za kuuepuka. ''Ni Muhimu kuelewa
kwamba usimamizi wa wakimbizi wa taifa jirani ni suala gumu, hivyo basi
Serikali ya Rwanda imelazimika kuweka sheria kali dhidi ya wakimbizi wa
Burundi''. Mushikiwabo amesema kuwa madai hayo yanatokana na hatua ya
Rwanda kuwahifadhi wakimbizi wa Burundi ambao wanadaiwa kuwa wapinzani
wa Serikali.
Waziri huyo ameongezea: Hatuwezi kuwarudisha wakimbizi hao hadi pale
kutakapokuwa na mfumo ambao utalinda maisha yao nchini Burundi
______________________
A United Nations report has accused Rwanda of recruiting and training
refugees from Burundi to oust President Pierre Nkurunziza, according to
a Reuters news agency report.
Rebel fighters told the UN panel of experts who monitored sanctions
on the Democratic Republic of Congo, that the training was done in a
forest camp in Rwanda.
“They told the group that they had been recruited in the Mahama
Refugee Camp in eastern Rwanda in May and June 2015 and were given two
months of military training by instructors, who included Rwanda military
personnel,” according to Reuters.
18 Burundian combatants including six children in South Kivu
province, in eastern Congo told the experts they were trained in
military tactics, use of assault rifles, rocket propelled grenades among
others.
Rwanda Ambassador to the UN Eugene Gasana dismissed the claims.
“This further undermines the credibility of the Group of Experts,
which seems to have extended its own mandate, but apparently
investigating Burundi,” Ambassador Gasana told Reuters.
In December, Burundi had accused Rwanda of supporting a rebel group
that was recruiting Burundi refugees in Rwanda but President Paul Kagame
dismissed the claims describing it as “childish”.
Ijumaa, 5 Februari 2016
Home »
» Siri Imefichuka..Kumbe Rwanda ilitoa Mafunzo ya Kijeshi kwa Wakimbizi wa Burundi Wamwondoe Nkurunziza Madarakani
Siri Imefichuka..Kumbe Rwanda ilitoa Mafunzo ya Kijeshi kwa Wakimbizi wa Burundi Wamwondoe Nkurunziza Madarakani
Related Posts:
Le Mutuz Mtoto wa Waziri Mkuu Mstaafu Amvaa Benard Membe..Adai Membe Ametukosea Sana Watanzania.... Lemutuz Kufuatia kauli za aliyekuwa waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa katika awamu ya nne Bernald Membe, kuonekana kupinga juhudi za Rais John Pombe Magufuli kwenye masuala mbalimbali ikiwemo suala … Read More
Njia Kumi na Moja za Kumfanya Mpenzi Wako Asitoke nje na Michepuko 1. TAMBUA THAMANI YAKE Unapokuwa Umeapa Kuwa Utampenda Mwenzako Hadi Kifo Kitakapowatenganisha, Uwe Umefanya Hivyo Kwenye Nyumba Ya Ibada Au Kwingine, Lazima Ufahamu Jinsi Ya Kutambua Juhudi Za Mpenzi Au Mwenzi Wako,… Read More
Kampuni ya UDA Yakanusha Kufilisika..Yadai ni Njama..Ripoti Kamili ipo Hapa Mabasi ya UDA Kumekuwepo na taarifa za uwongo kwenye vyombo vya habari, hasa kijarida cha Dira ya Mtanzania, na mitandao ya kijamii kuhusu uongo kuwa kufilisika kwa Shirika la Usafiri Dar Es Salaam (UDA) Limited. M… Read More
Mke wa Dr Slaa Josephine Mushumbusi Ajibu Kuhusu Tuhuma za Kuomba Mkopo Bank Kwa Kutumia Nyumba ya Slaa Mke wa Dr Slaa Amejibishana na Wadau Katika page yake ya Facebook na kujikuta akijibu tuhuma zilizozagaa jana kwenye magazeti kuwa aliomba mkopo wa sh mil 300 kwa kutumia nyumba ya Dr Slaa... Soma Majibisha yao hapa; B… Read More
Diamond Platnumz: Baada Ya Nape Nnauye Mimi Ndo Waziri wa Habari Na Michezo Mtarajiwa Diamond Platnumz amesema akiachana na muziki anataka kuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ili kuweka vitu sawa na kutoa fursa zaidi kwa vijana. Akizungumza katika kipindi cha Papaso cha TBC FM, Diamond alis… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni