Forbes wametoa orodha mpya ya wasanii wa hip hop wenye fedha zaidi, The Forbes Five.
Diddy ameongoza orodha hiyo mwaka huu kwa kuwa na utajiri ufikao dola milioni 750. Nafasi ya pili imekamatwa na Dr Dre mwenye dola milioni 710 huku Jay Z akifuatia kwa dola milioni 610.
Mwanzilishi wa Cash Money, Birdman amefuatia katika nafasi ya nne akiwa na dola milioni 110. Drake amechukua nafasi ya 50 Cent na kukamata nafasi ya tano kwa utajiri wa dola milioni 60.
Alhamisi, 5 Mei 2016
Home »
» P Diddy Aongoza Orodha ya Forbes ya Wana Hip Hop Watano Wenye Mkwanja zaidi
P Diddy Aongoza Orodha ya Forbes ya Wana Hip Hop Watano Wenye Mkwanja zaidi
Related Posts:
FEYENOORD KAVUNJA REKODI YA MAN UNITED KATIKA HISTORIA Bado mashabiki wa Man United wanashangazwa na maamuzi ya kocha Jose Mourinho kumuacha nahodha wao Wayne Rooney jijini Manchester na kusafiri hadi Uholanzi kucheza mche… Read More
DAKIKA 10 ZILIZOBADILI FURAHA YA KRC GENK YA SAMATTA EUROPA LEAGUE Usiku wa Alhamisi ya Septemba 15 2016 ilikuwa siku ambayo macho ya watanzania wengi waliyaelekeza Australia kumuangalia nahodha wao wa timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars Mbwana Samatta akia… Read More
INSTAGRAM: MANENO MATATU ALIYOYAANDIKA SHILOLE BAADA YA KUMPOST NUH MZIWANDA Jana September 15 2016 Mrembo kutoka Bongoflevani Shilole amezichukua headlines baada ya kupost kwa mara ya kwanza aliyekuwa mpenzi wake wa zamani Nuh Mziwanda, Shilole ametumia mtandao wake wa… Read More
SIASA WALICHOKIONGEA CUF KUHUSU KUWAVUA UANACHAMA WANACHAMA WAKE AKIWEMO PROF LIPUMBA Baada ya headline za Chama cha wananchi CUF kuwavua uanachama baadhi ya wanachama wake akiwemo aliyewahi kuwa mwenyekiti wake Profesa Ibrahim Lipumba JANA September 15 2016 kamati ya uongozi … Read More
GOLI LA RONALD0 DHIDI YA SPORING CP LIMEVUNJA REKODI ZA UEFA Baada ya michezo nane kuchezwa usiku wa Septemba 13 2016, Jumanne ya septemba 14 michezo 9 ya hatua ya makundi ya michuano ya klabu Bingwa barani Ulaya ilichezwa barani Ulaya, miongoni mwa michezo iliyochezwa usi… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni