Baada ya wizara ya habari, utamaduni, sanaa na michezo kuufungia wimbo wa Snura, Chura jana, muimbaji huyo anaonesha kutoshtushwa na hatua hiyo hasa kutokana na support anaiyopata kutoka kwa mashabiki wake.
Kwa ufupi haoneshi stress, walau kwa kile alichokiandika kwenye Instagram. “Ingekua ndio hela leo ningekua bilionea lo!!! Nawapenda sana kwakweli na nawatakia usiku mwema,” aliandika Snura kwenye Instagram.
Aliongeza hashtag: #utaipenda2_ndimuimekolea_malimao_kama__210_habarizetuwanazo_ilazaohatuna.”
Pamoja na wimbo huo kufungiwa kuchezwa kwenye redio na TV, Snura aliagizwa kuhakikisha amefuta video zake zote mtandaoni.
Alhamisi, 5 Mei 2016
Home »
» Majibu ya Snura baada ya Chura wake Kupigwa Nyundo na Serikali
Majibu ya Snura baada ya Chura wake Kupigwa Nyundo na Serikali
Related Posts:
Maalim Seif Aweka Ngumu Adai Hawawezi Kurudia Uchaguzi Zanzibar
Mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif
Sharif Hamad, amesema CUF inaendelea kutafuta haki ya Wazanzibar ya
kutaka Tume ya Uchaguzi Zanzibar (Zec) kuendelea kutangaza matokeo ya
uchaguzi … Read More
Luis Munana Afichua Siri ya Jinsi Alivyojikuta Akipendana na Wema Sepetu
Wiki iliyopita picha za mtandaoni zilionesha kuwa Wema Sepetu na
mshiriki wa Big Brother Hotshots kutoka Namibia, Luis Munana wamefunga
ndoa.
Hakuna taarifa rasmi kutoka kwa wawili hao baada ya ‘ndoa’ hiyo kufungwa
… Read More
Rais Kikwete Aachia Madara Kistaili...Awasamehe Wafungwa 4,160 Watoke Gerezani
RAIS mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete ametoa msamaha
kwa wafungwa 4,160 katika kuaga na kukabidhi madaraka ya Serikali kwa
Rais wa Awamu ya Tano, Dk John Magufuli.
Dk Magufuli aliapishwa jana kuwa Rai… Read More
Nchi Ina Wanafiki Sana wa Kisiasa...Ukawa Wamsusia Magufuli Uwanja wa Taifa ila Bungeni Wamejiandikisha Kwenda Kumsikiliza Kwasababu Kuna Posho-Habibu Mchange
Mwanasiasa Habibu Mchange Ameandika yafutayo katika ukurasa wake wa Facebook kuhusu Ukawa:
'Nchi ina WANAFIKI SANA WA KISIASA HII..
Ukawa wamesusia kuapishwa Rais lakini UKAWA HAO HAO wameenda Bungeni
kujian… Read More
Edward Lowassa/Zitto Kabwe Wapeleka Kilio CCM
Hawa jamaa wawili kwa kweli kwa pamoja tunaweza kusema wamepeleka
kilio mtaa wa Lumumba, waswahili husema kwa mjinga huenda kicheko lakini
kwa mwelevu huenda kilio.
Ujio wa Lowassa UKAWA umepeleka kilio kikubwa sana CCM… Read More






0 comments:
Chapisha Maoni