Kwa mujibu wa jarida la Daily Mail, inaelezwa kuwa mwanamke huyo aitwaye
Iman Ahmad Abdulati mwenye miaka 36 hajawahi kutoka ndani kwa miaka 25
na amekua akiongezeka uzito wake kwa haraka mpaka kufikia kilo 500
zinazompa shida ya kujifanyia usafi na hata kula. Ripoti ya madaktari
inaonesha kuwa mwanamke huyu anasumbuliwa na maambukizi ya bakteria
wanaoshambulia ukuaji wa mwili.
Akiwa na miaka 11 alianza kusumbuliwa na tatizo hilo ingawa wazazi wake
wanakiri kuwa hawakudhani kuwa ni tatizo lakini siku zilivyozidi kwenda
ndipo wakabaini kuwa halikua jambo la kawaida hivyo wakaamua kutafuta
wataalamu ambao walitoa ripoti kuwa ana matatizo ya mwili wake kukaa na
maji mengi bila kuyatoa nje kitu ambacho sio cha kawaida kwa binadamu.
Jumanne, 25 Oktoba 2016
Home »
» Kutana na Mwanamke Mnene Kuliko Wote Duniani… Ana Uzito wa Kilo 500
Kutana na Mwanamke Mnene Kuliko Wote Duniani… Ana Uzito wa Kilo 500
Related Posts:
Ifahamu idadi ya majeraha kwa Manchester United. Unapozungumzia suala la majeraha ya wachezaji bila shaka mashabiki wa Manchester United wanapata homa ya ghafla . Hii ni kwa sababu timu hii imekuwa na orodha isiyoisha ya wachezaji wenye majeraha . Mbaya zaidi ni kwamba ki… Read More
Maneno 6 ya Davido baada ya ushindi wa Diamond Platnumz Channel O 2014. Ushindi wa tuzo tatu za Channel O 2014 alizochukua Mtanzania Diamond Platnumz umekua mkubwa sio tu kwa Tanzania bali Afrika na kona zake ambapo miongoni mwa walioandika baada ya Diamond kushinda ni Davido. Msanii… Read More
Walichokisema Wabunge Kafulila, Peter Msigwa, Aeshi Hilary na Maige kuhusu maamuzi ya Bunge jana Kikao cha Bunge la Tanzania kilichoahirishwa siku ya jana Novemba 29 ni moja ya vikao ambavyo vilivuta hisia za watu wengi na kutengeneza historia nyingine mpya kutokana na mjadala wa ishu ya Escrow, baada ya kikao hich… Read More
NI MWINGINE TOKA KIGOMA,DIAMOND NA KIBA MJIPANGE KIJANA AMEKUJA NA SPIDI KALI Ni msanii mwingine hatari ambae anachipukia kwenye game Mkasulu Junior huku akisindikizwa ngoma yake kali inayokwenda kwa jina la tulichart ambayo amefanya kwa producer makini MARO.Hofu yangu mi kuwapoteza hawa wakongwe amb… Read More
DIAMOND PLATNUMZ ANYAKUA TUZO 3 ZA CH0AMA14 Tar 29 Noember ni siku ambayo imewekwa historia kwenye tasnia ya muziki wa bongo fleva baada ya Diamond Platnumz kuchukua tuzo tatu za chanel O, pia ni historia kwa Afrika nzima. Diamond alikua ametajwa kwenye vipengel… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni