Kwa mujibu wa jarida la Daily Mail, inaelezwa kuwa mwanamke huyo aitwaye
Iman Ahmad Abdulati mwenye miaka 36 hajawahi kutoka ndani kwa miaka 25
na amekua akiongezeka uzito wake kwa haraka mpaka kufikia kilo 500
zinazompa shida ya kujifanyia usafi na hata kula. Ripoti ya madaktari
inaonesha kuwa mwanamke huyu anasumbuliwa na maambukizi ya bakteria
wanaoshambulia ukuaji wa mwili.
Akiwa na miaka 11 alianza kusumbuliwa na tatizo hilo ingawa wazazi wake
wanakiri kuwa hawakudhani kuwa ni tatizo lakini siku zilivyozidi kwenda
ndipo wakabaini kuwa halikua jambo la kawaida hivyo wakaamua kutafuta
wataalamu ambao walitoa ripoti kuwa ana matatizo ya mwili wake kukaa na
maji mengi bila kuyatoa nje kitu ambacho sio cha kawaida kwa binadamu.
Jumanne, 25 Oktoba 2016
Home »
» Kutana na Mwanamke Mnene Kuliko Wote Duniani… Ana Uzito wa Kilo 500
Kutana na Mwanamke Mnene Kuliko Wote Duniani… Ana Uzito wa Kilo 500
Related Posts:
UCL: PSG walivyoivunja rekodi ya Barcelona msimu huu – Beyonce na Jay Z wakishuhudia Mwanasoka wa kibrazil David Luiz jana usiku alikuwa mchezaji wa kwanza kuifunga goli FC Barcelona katika msimu mpya wa soka barani ulaya. Luiz alifunga goli hilo katika dakika ya 11 ya mchezo wa Champions League kati ya… Read More
UCL: Matokeo ya Man City vs AS Roma na rekodi mpya aliyoiweka Totti Mabingwa wa ligi kuu ya Uingereza klabu ya Manchester City imeendelea kutopata matokeo chanya katika michuano ya ligi ya mabingwa wa ulaya kwa mara ya pili mfululizo msimu huu. Wakicheza kwenye uwanja wao wa Etihad dhidi … Read More
Amber Rose kaitaja sababu nyingine ya kuachana na Wiz Khalifa, picha ya ushahidi iko hapa pia Kuvunjika kwa ndoa ya mastaa Amber Rose na Wiz Khalifa kumeendelea kuchukua nafasi kwenye headlines za dunia na hii ni baada ya Amber kutaja chanzo mojawapo cha kuvunjika kwa uhusiano huo. Kwenye interview ya Rad… Read More
UCL: Matokeo ya Chelsea vs Sporting Lisbon haya haya Usiku wa jana watu wawili waliowahi kuwa vipenzi vya nchi ya Ureno – Jose Mourinho na Nemanja Matic walirejea nchini humo katika jiji la Lisbon lakini safari hii wakiwa kama wapinzani. Huku Mourinho akionekana kuchukua ‘… Read More
Ulisikia ile show ya Jose Chameleone ambayo kiingilio ni milioni moja? amezitaja sababu 3 hapa Kwa hapa Tanzania tumezoea show kubwa kama Fiesta tunaona mastaa wakubwa kama Rick Ross, Ludacris na wengine kwa kiingilio kisichozidi elfu 20 ambapo mwaka huu anashuka T.I October 18 lakini tukirudi kwenye show bi… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni