Jamani Leo ni Siku ya saba tangia nikute chupi ya mke wangu chumbani kwa
mdogo wangu wa kiume,nimekaa nalo moyoni naona niwashikirikishe
wenzangu nione mnishauri nini
Ni hivi Ninaishi na mke wangu,mwaka wa NNE sasa,tuna mtoto mmoja,nina
Mdogo wangu,anaishi hapa tangia January niliponunua bajaj ili awe
anaendesha ili kusaidia wazazi wetu nyumbani kijijini,sasa jumapili
iliyopita Wife aliwahi sana asubuhi kwenda kanisani pamoja na mtoto,
Mimi nilibaki nimejilaza mpaka kama SAA moja na nusu Hivi,
nilivyokumbuka kuwa nilikuwa na Ahadi Fulani, katika kufanya maandalizi
sikiweza kuiona pass, so nikaenda straight chumbani kwa dogo katika
kuitafuta ndo nilipo kutana na chupi ya mke wangu, ambayo Mimi mwenyewe
nilimununulia so imechoka choka kiasi chake,nilishikwa na butwaa kwani
namwani sana wife, dogo mwenyewe heshima kwa sana, nilichukua simu na
kupiga picha kadha na kuzificha kwenye private vault, ile chupi
nikaaicha palepale, wife hajasema chochote mpaka sasa, nawaza namna ya
kuanza kumuulizia japo ameshahisi kuwa siko normal,coz nikimuona usoni
nakuata hasira imepnada sana,kwa kifupi naogopa ukweli kuwa mke wangu
amenisaliti kwa mdogo wangu,mpaka sasa simuoni kama mke wangu tena,
namuona kama bundi kajificha chumbani kwangu, naomba mnishauri kwani
Mimi kwa haraka haraka naona nimwite kaka yake aje amchukue kabla
sijamfanya kitu mbaya, tatizo hasira zangu hupanda pole pole sana,
kuzishusha ni kazi sana
Jumanne, 25 Oktoba 2016
Home »
» Nimekuta Chupi ya Mke Wangu Chumbani Kwa Mdogo Wangu wa Kiume
Nimekuta Chupi ya Mke Wangu Chumbani Kwa Mdogo Wangu wa Kiume
Related Posts:
HIZI Hapa Sababu Tatu za Jiji la Mbeya Kuwa la Pili Kwa Wingi wa Makanisa Afrika Jiji la Mbeya ni la pili kwa wingi wa madhehebu barani Afrika likiongozwa na Lagos lililopo Nigeria. Kwa mujibu wa Mkuu wa Wilaya ya Mbeya, Paul Ntinika, jiji hilo lina makanisa 450 na Mtaa wa Sae pekee una mad… Read More
Lowassa Awajibu wanasiasa waliodai ni mgonjwa na atakufa Aliyekuwa mgombea urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, amewashukuru wananchi kwa kumpigia kura kwa wingi lich… Read More
Kiwanda cha Saruji cha Dangote Kimesitisha Uzalishaji wa Simenti...Sababu Hizi Hapa Kiwanda cha Saruji cha Dangote kimesitisha uzalishaji kutokana kuelemewa na gharama za uendeshaji hatua inayowaacha watumiaji wake njia panda. Mwezi uliopita Kiwanda hicho kilililamikia Shirika la Maendeleo ya … Read More
PAUL Makonda Atoa Siri " Wapo Wanaoshinda Kwa Waganga na Wanaovaa Hirizi Wasitumbuliwe" Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amendelea na ziara zake za kutatua kero za Wananchi ambapo leo ameianza wilaya ya Kinondoni. Akizungumza na Watumishi wa Umma wa Wilaya hiyo, Makonda alisema kuwa wap… Read More
WATUMISHI Waliosoma Vyuo Vikuu Bila Sifa Kufukuzwa Kazi Baada ya matamko kadhaa kadhaa ya serikali kuhusu Sekta ya Elimu nchini hatimaye leo limeibuka jingine la kutimua watumishi wote wa umma waliojiunga na vyuo vikuu na kutunukiwa "degree" bila kuwa na sifa. Hayo … Read More
0 comments:
Chapisha Maoni