Jamani Leo ni Siku ya saba tangia nikute chupi ya mke wangu chumbani kwa
mdogo wangu wa kiume,nimekaa nalo moyoni naona niwashikirikishe
wenzangu nione mnishauri nini
Ni hivi Ninaishi na mke wangu,mwaka wa NNE sasa,tuna mtoto mmoja,nina
Mdogo wangu,anaishi hapa tangia January niliponunua bajaj ili awe
anaendesha ili kusaidia wazazi wetu nyumbani kijijini,sasa jumapili
iliyopita Wife aliwahi sana asubuhi kwenda kanisani pamoja na mtoto,
Mimi nilibaki nimejilaza mpaka kama SAA moja na nusu Hivi,
nilivyokumbuka kuwa nilikuwa na Ahadi Fulani, katika kufanya maandalizi
sikiweza kuiona pass, so nikaenda straight chumbani kwa dogo katika
kuitafuta ndo nilipo kutana na chupi ya mke wangu, ambayo Mimi mwenyewe
nilimununulia so imechoka choka kiasi chake,nilishikwa na butwaa kwani
namwani sana wife, dogo mwenyewe heshima kwa sana, nilichukua simu na
kupiga picha kadha na kuzificha kwenye private vault, ile chupi
nikaaicha palepale, wife hajasema chochote mpaka sasa, nawaza namna ya
kuanza kumuulizia japo ameshahisi kuwa siko normal,coz nikimuona usoni
nakuata hasira imepnada sana,kwa kifupi naogopa ukweli kuwa mke wangu
amenisaliti kwa mdogo wangu,mpaka sasa simuoni kama mke wangu tena,
namuona kama bundi kajificha chumbani kwangu, naomba mnishauri kwani
Mimi kwa haraka haraka naona nimwite kaka yake aje amchukue kabla
sijamfanya kitu mbaya, tatizo hasira zangu hupanda pole pole sana,
kuzishusha ni kazi sana
Jumanne, 25 Oktoba 2016
Home »
» Nimekuta Chupi ya Mke Wangu Chumbani Kwa Mdogo Wangu wa Kiume
Nimekuta Chupi ya Mke Wangu Chumbani Kwa Mdogo Wangu wa Kiume
Related Posts:
Death Has Forgotten Me, Now I Have Lost All Hope to Die....179-Year-Old Man Cries Out (Pictured) An Indian man who claims to be born in 1835 is not only the oldest man in the world, but also the man who has lived the longest since the history of mankind (according to the Guinness World Records). A… Read More
Kigogo wa Bandari Afariki Kwa Presha...Undani wa Kifo chake Waelezwa Hapa WAKATI Rais John Magufuli akiwa kwenye zoezi la kutumbua majipu kwenye Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), mshtuko mkubwa umetokea kufuatia kigogo mwenye wadhifa wa Artsan One… Read More
Taarifa Sahihi Kuhusu Hotel ya Serena Kufungwa Kwa Amri ya Serikali Kwa Kosa la Kukwepa Kulipa Kodi Serena Hotel HOTELI ya kimataifa ya Serena jana ilikumbwa na msukosuko wa kuandamwa na waandishi wa habari baada ya kusambaa kwa tetesi kuwa imefungwa kwa amri ya serikali kwa kosa la kukwepa kulipa kodi. Tetesi h… Read More
Diamond Platnumz na Mama yake Wakaa Kikao Kizito..Kisa ZariSupastaa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ na mama’ke mzazi, Sanura Kassim ‘Sandra’ wamelazimika kukaa kikao kizito ili kupata muafaka wa mzazi mwenzake na staa huyo, Zarina Hassan ‘Zari The Boss Lady’ kurejea Bongo n… Read More
Watorosha Makontena Bandarini Bila Kulipia Ushuru Hawa Hapa...Majina Yatajwa Mamlaka ya Mapato Nchini (TRA) imetaja majina ya kampuni 43 na wamiliki wa makontena 329 ambayo yalipitishwa bandarini bila kulipiwa na kufichuliwa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wiki iliyopita. Aidha, TRA im… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni