Jamani Leo ni Siku ya saba tangia nikute chupi ya mke wangu chumbani kwa
mdogo wangu wa kiume,nimekaa nalo moyoni naona niwashikirikishe
wenzangu nione mnishauri nini
Ni hivi Ninaishi na mke wangu,mwaka wa NNE sasa,tuna mtoto mmoja,nina
Mdogo wangu,anaishi hapa tangia January niliponunua bajaj ili awe
anaendesha ili kusaidia wazazi wetu nyumbani kijijini,sasa jumapili
iliyopita Wife aliwahi sana asubuhi kwenda kanisani pamoja na mtoto,
Mimi nilibaki nimejilaza mpaka kama SAA moja na nusu Hivi,
nilivyokumbuka kuwa nilikuwa na Ahadi Fulani, katika kufanya maandalizi
sikiweza kuiona pass, so nikaenda straight chumbani kwa dogo katika
kuitafuta ndo nilipo kutana na chupi ya mke wangu, ambayo Mimi mwenyewe
nilimununulia so imechoka choka kiasi chake,nilishikwa na butwaa kwani
namwani sana wife, dogo mwenyewe heshima kwa sana, nilichukua simu na
kupiga picha kadha na kuzificha kwenye private vault, ile chupi
nikaaicha palepale, wife hajasema chochote mpaka sasa, nawaza namna ya
kuanza kumuulizia japo ameshahisi kuwa siko normal,coz nikimuona usoni
nakuata hasira imepnada sana,kwa kifupi naogopa ukweli kuwa mke wangu
amenisaliti kwa mdogo wangu,mpaka sasa simuoni kama mke wangu tena,
namuona kama bundi kajificha chumbani kwangu, naomba mnishauri kwani
Mimi kwa haraka haraka naona nimwite kaka yake aje amchukue kabla
sijamfanya kitu mbaya, tatizo hasira zangu hupanda pole pole sana,
kuzishusha ni kazi sana
Jumanne, 25 Oktoba 2016
Home »
» Nimekuta Chupi ya Mke Wangu Chumbani Kwa Mdogo Wangu wa Kiume
Nimekuta Chupi ya Mke Wangu Chumbani Kwa Mdogo Wangu wa Kiume
Related Posts:
Baada ya Okwi kutangaza kujiunga na Simba,hiki ndicho walichokifanya Yanga. Ikiwa imepita siku moja toka klabu ya Simba kumtangaza Emmanuel Okwi kama mchezaji wao rasmi wa klabu hiyo,taarifa nyingine iliyotolewa leo na uongozi wa Yanga ni kumshitaki Okwi. Klabu ya Young Africans imemshitaki Emman… Read More
Dr. Hamisi Kigwangalla atangaza nia ya kugombea Urais 2015, zisome hapa points zake. September 7 2014 Dr. Hamisi ambae ni mbunge wa Nzega kwa ruhusa ya CCM alikutana na Waandishi Dar es salaam akiwa ameongozana na mke wake pamoja na watoto wao na kisha kuweka wazi kwamba yuko tayari kugombea k… Read More
Kilichoikuta Taifa Stars kwenye mechi dhidi ya Burundi hiki hapaTimu ya taifa ya Tanzania leo ilikuwa jijini Bujumbura Burundi kukupiga na timu ya taifa ya nchi hiyo kwenye mchezo wa kirafiki. Taifa Stars leo hii imeambulia kipigo cha mabao 2-0 katika mechi yake ya kirafiki iliyomalizika… Read More
Je Toni Kroos ndio kamkimbiza Alonso Madrid? Xab Alonso ajibu.Kiungo wa kimataifa wa Spain Xabi Alonso amejiunga na klabu ya FC Bayern Munich ya Ujerumani akitokea kwa mabingwa wa ulaya Real Madrid kwa ada ya uhamisho wa paundi millioni 5. Alonso ambaye alijunga na Real Madrid… Read More
BAADA YA OKWI KUIDHINISHWA SIMBA, HIKI NDIO WALICHOAMUA YANGU Siku moja baada ya shirikisho la soka nchini TFF kumtangaza mchezaji Emmanuel Okwi kuwa huru na hivyo anaweza kusajiliwa na klabu ya Simba – leo hii uongozi wa klabu ya Yanga umeitisha mkutano wa waandishi wa h… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni