Jumanne, 14 Novemba 2017

Dk Cheni Awapa Makavu Wanaomsakama Lulu Kuhusu Dhamana

Dk Cheni Awapa Makavu Wanaomsakama Lulu Kuhusu Dhamana
MSANII mkongwe katika tasnia ya maigizo Bongo na mshereheshaji (MC), Mahsein Awadhi ‘Dk. Cheni’ ambaye ni mlezi wa mwigizaji Elizabeth Michael ‘Lulu’ ametoa maoni yake kwenye mtandao wa kijamii baada ya kuibuka maneno mengi kwenye mitandao hiyo ambapo watu wengine wanasema Lulu amepewa adhabu ndogo na wengine wakipendekeza angefungwa kwa miaka mitano na kuendelea.

Dk Cheni amewalaumu wasiomtakia mema Lulu akisema mambo yote mabaya yanaweza kumtokea yoyote, kwa hiyo kufurahia jambo baya limpatalo mtu si jambo jema.  Pia ametoa asante kwa wote wanaomwombea mema Lulu na waendeleee kufanya hivyo.

Ujumbe aliotuma msanii huyo ni huu hapa chini:

Linapokukuta jambo wapo wataokuonea huruma na wapo watakaokuwa na furaha ila niwakumbushe jambo hakuna ajuwaye kesho yake kubwa kila mapito mwambie Mungu Asante.

Watanzania walio wengi wanakuombea yaliyo mema Tunakuahidi tupo nawe kukushika mkono kwa kila hatua Maombi yao Mungu atayasikia hata kama hukumu imepita Tupo na wewe na Mungu yupo na wewe.
                             
                             

Related Posts:

  • MKE WA KIONGOZI IS AKAMATWA                      Kiongozi wa IS Abu Bakr al-Baghdadi Vikosi vya usalama nchini Lebanon vimemkamata mkewe kiongo… Read More
  • Aliyewakosoa Sasha na Malia ajiuzuluSasha na Malia walikosolewa kwa kuvalia sketi fupi mbele ya umati katika White House Mfanyakazi katika chama cha Republican nchini Marekani amejiuzulu baada ya kukosolewa kwa kuwatuhumu wanawe Rais wa Marekani Barack Obam… Read More
  • Al Shabaab waua 36 Mandera,Kenya                                   Wapiganaji wa Al Shabab&n… Read More
  • BARNES:GERRAD BADO MZURI KWA LIVERPOOLSteven Gerrard bado ana kiwango cha juu kuendelea kuitumikia Liverpool Winga wa zamani wa Klabu ya Liverpool John Barnes anaamini kiungo na nahodha wa timu hiyo Steven Gerrard, bado ni mzuri vya kutosha kuendelea kuitumik… Read More
  • Man city wazidi kupanda                Wachezaji wa Klabu ya Man city  Kocha wa Manchester City Manuel Pellegrini amesema ushindi wa timu yake dhidi ya Southampton unadhi… Read More

0 comments:

Chapisha Maoni