Naibu Waziri Wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto, Dkt.
Hamis Kigwangalla amesema kuwa atawaweka hadharani wanaume wote
wanaojihusisha na mapenzi ya jinsi moja (mashoga) ambao hufanya biashara
hiyo kupitia mitandao ya kijamii.
Naibu Waziri aliyasema hao jana usiku kupitia ukurasa wake wa Twitter
ambapo alieleza kuwa yupo katika ziara jimboni kwake na mara
atakaporejea jijini Dar es Salaam kabla ya kuhamia Dodoma rasmi ataiweka
orodha hiyo hadharani.
Aidha, amesema kuwa wale wote wanaodhani kuwa vita dhidi ya wanaume
wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja ni mzaha, wataona hali
itakavyokuwa kwani vita hiyo ni kubwa sana na wataishinda.
Kigwangalla ambaye pia ni mtaalamu wa afya alisema kuwa suala la mtu
kuwa shoga si suala la kibaolojia (asili) bali ni watu tu kujiendekeza
na hivyo watakahikikisha wanalikomesha.
Sheria ya ndoa ya Tanzania inapinga watu wa jinsia moja kujihusisha na
mahusiano ya kimapenzi, lakini pia ni kitu kilichozuiliwa katika vitabu
vitakatifu vya dini.
Dr. Kigwangalla,
Uchunguzi dhidi ya watuhumiwa wa ushoga unaendelea. Watakamatwa kimya
kimya! Serikali ina mkono mrefu. Wakipatikana watatusaidia wenza wao!
Dr. Kigwangalla,
Kuna watu wanadhani vita dhidi ya ushoga ni ya mzaha, ni vita kubwa na
tutaishinda. Mtandao ni mrefu na nitaendesha operation kamata kamata!
Dr. Kigwangalla, H.
Namalizia ziara jimboni. Nikirudi Dar, kabla ya kuhamia rasmi Dodoma,
nitaweka wazi orodha ya watuhumiwa wa ushoga wanaojiuza mitandaoni!
Dr. Kigwangalla, H.
Kuna nchi marafiki zetu zinafanya jitihada za kupenyeza ushoga Tanzania
na kudai ni haki ya binadamu kuchagua ampendaye, sisi tunasema NO!
Dr. Kigwangalla, H.
Ushoga hauna addiction wala siyo wa kuzaliwa nao, wanaofanya hivyo
wanajiendekeza tu! Ushoga siyo biological. Mashoga wote waache mara moja
Jumatano, 15 Februari 2017
Home »
» Naibu Waziri wa Afya kuweka hadharani majina ya mashoga Dar es Salaam
Naibu Waziri wa Afya kuweka hadharani majina ya mashoga Dar es Salaam
Related Posts:
Alinisaliti, Nilichomfanyia Hatokaa Anisahau Daima Jumamosi iliyopita nikiwa katika matembezi ya hapa na pale katika fukwe moja hapa jijini,nimekaa na co worker napata juice ya baridi huku yeye akiisindikiza siku na castle light.wanaingia wanawake wawili mmoja mnene san… Read More
Alichokisema Kafulila Baada ya Serikali Mkoani Kilimanjaro Kuharibu Shamba la Mbowe..!!! ALIYEKUWA Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila amelaani hatua ya Mkuu wa Wilaya ya Hai, Gelasius Byakanwa kutumia mamlaka yake kuvamia na kuharibu shamba la Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe. Juzi, Kamati ya U… Read More
Simba Walimdaka Niyonzima Airport...Yanga Yaambulia Patupu WAKATI Yanga wakimsubiria kiungo wao mchezeshaji, Haruna Niyonzima atue nchini kwa ajili ya kumuongezea mkataba watani wao wa Simba wenyewe hawakauki Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere ili wamsainish… Read More
Kalapina Awataka Wale Waliomteka Roma Mkatoliki Wakamteke na Yeye ili Awaonyeshe Kazi Msanii wa muziki wa Bongo Fleva na mmoja wa Watu wanaoaminika kuwa ni Mbabe kama siyo Mtemi na Ngumi Jiwe wa kutukuka Kalapina jana wakati akihojiwa na Kipindi cha XXL kinachorushwa na Clouds fm aliamua kutema nyongo / k… Read More
UVCCM Wampa za Uso Lowassa Kuhusu Sakata la Makinikia..!!! Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi(UVCCM) umemtaka Waziri Mkuu aliyejiuzulu kwa kashfa ya Rchmond Edward Lowassa kuacha uongo kwani hana historia ya kupigania maslahi ya umma. Aidha, imesema madai ya low… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni